Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hamisi anatupa burudani kama ya MR BEAN
Hahaha dah
Ili wazee humu ndani mmezidi aisee haswa nyie fans wenzangu wa arsenal...mm sioni kosa la hamis77 yan hadi nyie mnafata mkumbo wa timu pinzan mnamsema..kwan kuna kosa mtu kutetea timu yake?? Hiv mnajua maana ya ushabiki nyie hata kama anaongea kwa mahaba sabb ni shabiki na hilo namsapoti badala nyie muwe na ushabiki basi kutwa mnamsema.

Kuna haja gani ya kuwa na jukwaa la.arsenal sasa ikiwa mashabiki wanamzodoa mwenzao?..haiingii akilini kuna shabiki wa timu nyingne anakuja kuprovoke hapa kisa kai na arteta then wote na nyie mnawaunga mkono.

Haya tuseme sawa kai hajui, arteta hajui sasa wewe kama fan wa arsenal impact yako nn zaidi ya kuzidi kuonyesha umoja sabb tayr ni timu yetu na ndo wa kwetu.

Acheni unafki bwana inaonekana humu watu wengi mna unafki sana yan sjui kwann hammkubali huyu jamaa wakati mm namterm as shabiki wa kweli hana hisia mbili mbili.

Acheni mambo ya kiswahili nyie fans wenzangu wa arsenal tuwe kitu kimoja msiwape wapinzan picha kwamba sisi wenyewe hatupendani, huo ni uswahili na unafki yan mtu anjiita kabsa shabiki wa arsenal halaf anamsema mwenzie maneno kibao kisa tu ana mdefend kai na arteta acheni mambo ya kiseng*.
Duh na matusi mmeanza.

Mpira siyo uchawi kwamba unafanyika sirini, upo wazi kila mtu anaona.

Nakupa mfano:

Aaron Ramsey alikua shit, na fans tukakubaliana na Wenger akakubali matokeo akaanza kumpa dakika kidogo kidogo. Baadaye akawa lit na fans wote tukakubali kwamba kweli Ramsey kaiva.

Shida inakuja hapa. Muda ambao Wenger ilibidi asubiri kujiaminisha kwamba huyu mtu anahitaji dk kidogo kidogo kuna games tulisuluhu zingine tulifungwa.

So kwa Kai Arteta anaamini kuna spark jamaa anaikosa na ataipata akimpa dk zaidi. Shida ni kwamba kutokana na hilo inabidi Gabriel akae benchi, Partey awe RB na upande wa Kai tangu aanze umekua ndiyo upande ambao hauzalishi mashambulizi.

Kwahiyo usidhani watu tukiandika ni kwa vile hatuangalii mechi na hatujui timu yetu imetokea wapi.
 
Ili wazee humu ndani mmezidi aisee haswa nyie fans wenzangu wa arsenal...mm sioni kosa la hamis77 yan hadi nyie mnafata mkumbo wa timu pinzan mnamsema..kwan kuna kosa mtu kutetea timu yake?? Hiv mnajua maana ya ushabiki nyie hata kama anaongea kwa mahaba sabb ni shabiki na hilo namsapoti badala nyie muwe na ushabiki basi kutwa mnamsema.

Kuna haja gani ya kuwa na jukwaa la.arsenal sasa ikiwa mashabiki wanamzodoa mwenzao?..haiingii akilini kuna shabiki wa timu nyingne anakuja kuprovoke hapa kisa kai na arteta then wote na nyie mnawaunga mkono.

Haya tuseme sawa kai hajui, arteta hajui sasa wewe kama fan wa arsenal impact yako nn zaidi ya kuzidi kuonyesha umoja sabb tayr ni timu yetu na ndo wa kwetu.

Acheni unafki bwana inaonekana humu watu wengi mna unafki sana yan sjui kwann hammkubali huyu jamaa wakati mm namterm as shabiki wa kweli hana hisia mbili mbili.

Acheni mambo ya kiswahili nyie fans wenzangu wa arsenal tuwe kitu kimoja msiwape wapinzan picha kwamba sisi wenyewe hatupendani, huo ni uswahili na unafki yan mtu anjiita kabsa shabiki wa arsenal halaf anamsema mwenzie maneno kibao kisa tu ana mdefend kai na arteta acheni mambo ya kiseng*.
Mkuu sawa tumekusikia lakini tuseme tu ukweli pale kwa Kai tumepigwa.
 
Halafu sasa uzuri mashabiki wa Arsenal hua katika 100 ni 20 ndiyo watamkunjia Kocha, waliobaki watakubali kua anafaa ila aangalie nani ni nini

Hili jukwaa limetoka mbali, kuanzia tunachezea banter, tunapigwa game mfululizo, watu wanaodai ni mashabiki wakapotea tukabaki watu hatuzidi wawili.

Tumerudi on track na id mpya zinakuja kuandika matusi.
 
Ww ni mzee wa kuuma na kupuliza...unajua litimu lako livivu na kule kwny jukwaa Lenu huwa unatapika kwlikwli...Sasa ile spirit unaleta hdi hmu kufarakanisha watu...kapambanenj kumtoa glazer kule sio kutuletea vita hmu ndani....Kai anatupa burudani sana
humu tunataka kuanzisha kampeni ya "Masingeli bringback our team"
Masingeli sasa hivi amejimilikisha hili jukwaa lazima twende nae toe to toe mpaka ateme ndoano.
Mpaka kesho baada ya mechi Masingeli asipotema ndoano niulizwe mimi.
Sasa hivi humu hata kuhoji haturuhusiwi, ukihoji tu Masingeli anakwambia uonyeshe leseni ya ukocha na utaje timu uliyofundisha hata kama ni timu ya kanisa au msikitini.
 
Halafu sasa uzuri mashabiki wa Arsenal hua katika 100 ni 20 ndiyo watamkunjia Kocha, waliobaki watakubali kua anafaa ila aangalie nani ni nini

Hili jukwaa limetoka mbali, kuanzia tunachezea banter, tunapigwa game mfululizo, watu wanaodai ni mashabiki wakapotea tukabaki watu hatuzidi wawili.

Tumerudi on track na id mpya zinakuja kuandika matusi.
tena wewe Castr umetoka mbali sana na hii timu, katika mashabiki wakongwe wa Arsenal wewe ni miongoni mwao, binafsi katika mashabiki wa Arsenal humu jukwaani wewe hua nakuheshimu sana, najua wapi ulitoka na hii timu mpaka kufikia hapo mlipo, ajabu kuna watu hivi sasa wanataka kuwanyang'anya mpaka uhuru wa kutoa maoni tu juu timu yenu kisa hamjawahi kufundisha hata timu ya kanisa
 
Halaf kesho ikishinda ni nyie nyie mnaanza mbwe mbwe tena stupid fans
Sasa wewe unajielewa kweli? Kwahiyo results ndio kitu kinacho-matter kwako?

So tukishinda then what?

Jukumu la kocha ni kuhakikisha tunapata matokeo, na sisi fans tuna haki ya kuhoji tumeshinda vipi.. thus why kwenye kukosoa tunakosoa.

Sio kwa kuwa timu imeshinda basi tusihoji kama tumecheza vibaya.

Kwani kuna timu ambayo haimkosoi kocha?
Nenda jukwaa la Liverpool kawaone wale kops walivyo na matumaini na timu yao, but still they talk football, kwamba palipozingua panaongelewa.

Eti kwenye timu yetu tu ndio kuna watu wanajiona wao ndio wao.

Last results: 2-1, 0-1, 2-2 against bottom-half teams na mfumo waueleweki.

And still some people feed as sh*t, wtf*!
 
Sasa wewe unajielewa kweli? Kwahiyo results ndio kitu kinacho-matter kwako?

So tukishinda then what?

Jukumu la kocha ni kuhakikisha tunapata matokeo, na sisi fans tuna haki ya kuhoji tumeshinda vipi.. thus why kwenye kukosoa tunakosoa.

Sio kwa kuwa timu imeshinda basi tusihoji kama tumecheza vibaya.

Kwani kuna timu ambayo haimkosoi kocha?
Nenda jukwaa la Liverpool kawaone wale kops walivyo na matumaini na timu yao, but still they talk football, kwamba palipozingua panaongelewa.

Eti kwenye timu yetu tu ndio kuna watu wanajiona wao ndio wao.

Last results: 2-1, 0-1, 2-2 against bottom-half teams na mfumo waueleweki.

And still some people feed as sh*t, wtf*!
Huyu Mdau ana tatizo somewhere sio bure kaongea upupu wa hali ya juu huyu atakuwa shabiki feki
 
Sasa wewe unajielewa kweli? Kwahiyo results ndio kitu kinacho-matter kwako?

So tukishinda then what?

Jukumu la kocha ni kuhakikisha tunapata matokeo, na sisi fans tuna haki ya kuhoji tumeshinda vipi.. thus why kwenye kukosoa tunakosoa.

Sio kwa kuwa timu imeshinda basi tusihoji kama tumecheza vibaya.

Kwani kuna timu ambayo haimkosoi kocha?
Nenda jukwaa la Liverpool kawaone wale kops walivyo na matumaini na timu yao, but still they talk football, kwamba palipozingua panaongelewa.

Eti kwenye timu yetu tu ndio kuna watu wanajiona wao ndio wao.

Last results: 2-1, 0-1, 2-2 against bottom-half teams na mfumo waueleweki.

And still some people feed as sh*t, wtf*!

Mashabiki ni wadau wakubwa wa timu; ukinunua jezi/scurf/ kofia/sticker/ tracksuit ya timu unakuwa umechangia kwenye timu. Hela iliyotumika kumnunua Havertz kuna mchango wangu. So when things are going wrong, I have to speak out my mind
 
Ww ni mzee wa kuuma na kupuliza...unajua litimu lako livivu na kule kwny jukwaa Lenu huwa unatapika kwlikwli...Sasa ile spirit unaleta hdi hmu kufarakanisha watu...kapambanenj kumtoa glazer kule sio kutuletea vita hmu ndani....Kai anatupa burudani sana
Jukwaa limepoa hili ngoja tulichangamshe kidogo.
Masingeli mzee wa ngwasuma ameamua kujifanya yeye ni Profesa Lipumba halafu hili jukwaa ameligeuza kama vile chama chake cha CUF, yeye ndio kasababisha mpaka Seif Sharif Hamadi (Labyrinth 84 ) amehamia ACT (Newcastle) Masingeli usipoacha udikteta wa kutaka watu kabla ya kuhoji waonyeshe timu alizowahi kufundisha chama kitakufia mikononi hiki shauri yako, utapoteza wanachama mmoja mmoja mpaka utajikuta umebaki peke yako humu.
"Masingeli bringback our team"



#Arsenyo ndoo
#Kai Kiatu
 
hamis77 ameenda kwenye jukwaa la Liverpool kuwaambia kuwa wamepigwa kwa Ryan Gravenbech, mchezaji ambae ndio kasajiliwa jana hajacheza hata mechi moja, at the same time yeye ana Kai Havertz ambae mpaka sasa ana mechi ya 3 na alichokicheza anajua yeye na Arteta wake.

Nieleweke, sio kama namchukia jamaa, in fact alichokisema kule sio kiutani maana ingekua hivyo nisingeileta humu, yeye ameweka na facts zake uchwara na anategemea watu wamsikilize wamuamini. Goddamit!😂😂
 
tena wewe Castr umetoka mbali sana na hii timu, katika mashabiki wakongwe wa Arsenal wewe ni miongoni mwao, binafsi katika mashabiki wa Arsenal humu jukwaani wewe hua nakuheshimu sana, najua wapi ulitoka na hii timu mpaka kufikia hapo mlipo, ajabu kuna watu hivi sasa wanataka kuwanyang'anya mpaka uhuru wa kutoa maoni tu juu timu yenu kisa hamjawahi kufundisha hata timu ya kanisa
Inaonesha kutokuwai kufundisha ata timu ya kanisa imewaumiza Sana
 
Mashabiki ni wadau wakubwa wa timu; ukinunua jezi/scurf/ kofia/sticker/ tracksuit ya timu unakuwa umechangia kwenye timu. Hela iliyotumika kumnunua Havertz kuna mchango wangu. So when things are going wrong, I have to speak out my mind
Unatakiwa umwambie Arteta Ili ajirekebishe!..sio kutuambia sisi!.. hapa unatupigia tu kelele maana hatutakusaidia Kwa lolote!... Ki ukweli tunajifurahisha tu hapa... Edu na Arteta hawajui kama Huku Tanzania Kuna watu hawaridhiki... Nakupongeza kwa kuchangia timu Kwa kununua jezi!.. Kuna watu wanajiita Mashabiki hawajawai kununua hata leso tu ya kufutia jasho yenye chat ya Arsenal.. ila Sasa Huku jukwaani wanavulumisha matusi magumu magumu!
 
Ningependa hapo kwa Jesus aanze Kai

Partey arudi kwa white

White aingie Kati

Tienry Henry akisema ukiwachezesha rice na partey kwenye dimba timu unakua more defensive than attacking

Kumtumia saliba na Gabriel in the back kwa Timu Kama nyumbu, ni matumizi mabaya ya resources
Na kujipunguzia magoli
IMG-20230902-WA0008.jpg
 
Hili jukwaa jinsi Masingeli mzee wa ngwasuma avyoliendesha huko tunapoelekea kama huna leseni ya ukocha itakua ni marufuku kucomments humu.
bado hamjasema

hamis77 mbona wenyewe wa gunnerstunamkubali sana, kupishana na mawazo ni kawaida
Ila Kuna chokochoko hazivumiliki, na uzuri wa hamis77 anaposimamia ni hapo hapo.

Sasa kilichotokea asilimia 95% kinachoendelea unyumbuni alishakisema, chuki juu yake ndio zinaanza

Kule ukengeni fc, na kocha wao Potter kipindi kile, aliwaambia vitu criticals na kweli vilivyotokea wote mliona

Sasa mtu Kama huyu Kama sio kuchukiwa Basi ni kumuundia kamati za kumchafua tu
 
Unatakiwa umwambie Arteta Ili ajirekebishe!..sio kutuambia sisi!.. hapa unatupigia tu kelele maana hatutakusaidia Kwa lolote!... Ki ukweli tunajifurahisha tu hapa... Edu na Arteta hawajui kama Huku Tanzania Kuna watu hawaridhiki... Nakupongeza kwa kuchangia timu Kwa kununua jezi!.. Kuna watu wanajiita Mashabiki hawajawai kununua hata leso tu ya kufutia jasho yenye chat ya Arsenal.. ila Sasa Huku jukwaani wanavulumisha matusi magumu magumu!

Lengo langu lilikuwa kuonyesha kwamba fans wasijione wanyonge. Wana haki ya kuhoji. Kitu kimoja unapaswa kuelewa, hapa jukwaani we don’t communicate with KSE/ Edu/Arteta; we are just expressing our feelings within ourselves. Kumbumbuka
Timu na investors wanategemea fans kwa zaidi
ya asilimia 80. Kwa hiyo lazima tuseme
 
bado hamjasema

hamis77 mbona wenyewe wa gunnerstunamkubali sana, kupishana na mawazo ni kawaida
Ila Kuna chokochoko hazivumiliki, na uzuri wa hamis77 anaposimamia ni hapo hapo.

Sasa kilichotokea asilimia 95% kinachoendelea unyumbuni alishakisema, chuki juu yake ndio zinaanza

Kule ukengeni fc, na kocha wao Potter kipindi kile, aliwaambia vitu criticals na kweli vilivyotokea wote mliona

Sasa mtu Kama huyu Kama sio kuchukiwa Basi ni kumuundia kamati za kumchafua tu
Kwenye majukwaa mengine Masingeli hua tunamchukulia kama mpinzani tu, ni kawaida kwa wapinzani jambo liwe zuri au baya we unakandia tu kiushabiki, ila humu ameamua kujimilikisha hili jukwaa, anapiga marufuku mpaka watu kumquote, sasa hivi amevuka mipaka yaani anakiuka mpaka haki za binadamu yaani ule uhuru wa maoni kwenye hili jukwaa haupo tena, ukitaka kuchangia unaambiwa uonyeshe kwanza timu unayofundisha aidha iwe ni ya msikiti au kanisa
 
Unatakiwa umwambie Arteta Ili ajirekebishe!..sio kutuambia sisi!.. hapa unatupigia tu kelele maana hatutakusaidia Kwa lolote!... Ki ukweli tunajifurahisha tu hapa... Edu na Arteta hawajui kama Huku Tanzania Kuna watu hawaridhiki... Nakupongeza kwa kuchangia timu Kwa kununua jezi!.. Kuna watu wanajiita Mashabiki hawajawai kununua hata leso tu ya kufutia jasho yenye chat ya Arsenal.. ila Sasa Huku jukwaani wanavulumisha matusi magumu magumu!
Naona mmeamua kuanza kututukana sasa sisi mashabiki wa Arsenal wa JF
 
Kwenye majukwaa mengine Masingeli hua tunamchukulia kama mpinzani tu, ni kawaida kwa wapinzani jambo liwe zuri au baya we unakandia tu kiushabiki, ila humu ameamua kujimilikisha hili jukwaa, anapiga marufuku mpaka watu kumquote, sasa hivi amevuka mipaka yaani anakiuka mpaka haki za binadamu yaani ule uhuru wa maoni kwenye hili jukwaa haupo tena, ukitaka kuchangia unaambiwa uonyeshe kwanza timu unayofundisha aidha iwe ni msikiti au kanisa
 
Back
Top Bottom