Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal's transfer window concludes with the sale of Rob Holding to Crystal Palace in a deal worth around £4m.

Including add-ons, Arsenal spent around £210m on transfer fees this summer, and generated around £80m through sales. Net spend of around £130m. #AFC
 
Masingeli amesababisha mpaka timu yake sasa hivi inaitwa Domodomo Fc.
Ndugu yangu Masingeli kesho Nyumbu tukiwashona utafute tu pakujificha maana Arsenyau wenzako wanalalamika kua msimu ulioisha mmekosa kombe kwa sababu ya domo lako.




#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
 
Players & coaches after meeting Arteta: “he sees and thinks the game at a different level, every detail has an explanation for it”

Mashabiki uchwara: “just go back to the back 4 mate!”



#Arsenal
20230901_152729.jpg
 
Masingeli amesababisha mpaka timu yake sasa hivi inaitwa Domodomo Fc.
Ndugu yangu Masingeli kesho Nyumbu tukiwashona utafute tu pakujificha maana Arsenyau wenzako wanalalamika kua msimu ulioisha mmekosa kombe kwa sababu ya domo lako.




#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
Bado narudia manjesta hauna timu yakupata hata sare pale Emirates

Hao mashabiki Ni wehu Kama wewe

Hao hao mashabiki ndio unakuta waliosema wamehamia PSG au Newcastle,

Mashabiki wa Arsenal Ni smart na Wana uelewa mkubwa wa soka
 
Niliwahi uliza humu wanao questions tactics za Mikel ,je mmewahi fundisha hata timu za kanisa au msikiti?


Je mnajua Kuna structure 43 za defensive ?


Arteta on if he will switch to a back 4 against United:

“Well I played different against City. There were 43 defensive structures.”

“Every game is a different story” #afcView attachment 2735811
Sasa wewe unavyosema Erik hafai umewahi kufundisha timu gani mzee?

Mbona unaanza kuleta hoja za kinyumbu?

Binadamu tumejaaliwa akili, hizo ndiyo tunatumia kufananisha na kuchanganua. Akili zako zinakuaminisha Kai ni mchezaji mzuri kwa mwingine haipo hivyo.

Mimi hua nasema Pochettino mbovu wewe unasema ni mzuri na kila.mtu anatoka hoja zake. Kwanini kwa Arteta hutoi hoja unakimbilia hoja anazotakiwa kuleta nyumbu?
 
Sasa wewe unavyosema Erik hafai umewahi kufundisha timu gani mzee?

Mbona unaanza kuleta hoja za kinyumbu?

Binadamu tumejaaliwa akili, hizo ndiyo tunatumia kufananisha na kuchanganua. Akili zako zinakuaminisha Kai ni mchezaji mzuri kwa mwingine haipo hivyo.

Mimi hua nasema Pochettino mbovu wewe unasema ni mzuri na kila.mtu anatoka hoja zake. Kwanini kwa Arteta hutoi hoja unakimbilia hoja anazotakiwa kuleta nyumbu?
Hamisi anatupa burudani kama ya MR BEAN
 
Ili wazee humu ndani mmezidi aisee haswa nyie fans wenzangu wa arsenal...mm sioni kosa la hamis77 yan hadi nyie mnafata mkumbo wa timu pinzan mnamsema..kwan kuna kosa mtu kutetea timu yake?? Hiv mnajua maana ya ushabiki nyie hata kama anaongea kwa mahaba sabb ni shabiki na hilo namsapoti badala nyie muwe na ushabiki basi kutwa mnamsema.

Kuna haja gani ya kuwa na jukwaa la.arsenal sasa ikiwa mashabiki wanamzodoa mwenzao?..haiingii akilini kuna shabiki wa timu nyingne anakuja kuprovoke hapa kisa kai na arteta then wote na nyie mnawaunga mkono.

Haya tuseme sawa kai hajui, arteta hajui sasa wewe kama fan wa arsenal impact yako nn zaidi ya kuzidi kuonyesha umoja sabb tayr ni timu yetu na ndo wa kwetu.

Acheni unafki bwana inaonekana humu watu wengi mna unafki sana yan sjui kwann hammkubali huyu jamaa wakati mm namterm as shabiki wa kweli hana hisia mbili mbili.

Acheni mambo ya kiswahili nyie fans wenzangu wa arsenal tuwe kitu kimoja msiwape wapinzan picha kwamba sisi wenyewe hatupendani, huo ni uswahili na unafki yan mtu anjiita kabsa shabiki wa arsenal halaf anamsema mwenzie maneno kibao kisa tu ana mdefend kai na arteta acheni mambo ya kiseng*.
 
Bado narudia manjesta hauna timu yakupata hata sare pale Emirates

Hao mashabiki Ni wehu Kama wewe

Hao hao mashabiki ndio unakuta waliosema wamehamia PSG au Newcastle,

Mashabiki wa Arsenal Ni smart na Wana uelewa mkubwa wa soka
Masingeli unauponza ujueeee shauri yako, maana kesho sio mnachezea kipigo bali ni mtachezea kipigo cha mbwa koko.
Screenshot_20230224_154105.jpg
tapatalk_-668442562_616x616.jpg
Screenshot_20230301_174227.jpg
 

Attachments

  • FpsSeiBXsAA5Ddf.jpg
    FpsSeiBXsAA5Ddf.jpg
    78.7 KB · Views: 1
Halaf kesho ikishinda ni nyie nyie mnaanza mbwe mbwe tena stupid fans
Unakurupuka tu kijinga jinga tunaongelea mfumo humu wa sasa jinsi unavyopwaya so kama Hamisi anaukubali wengine wasiusemee ili?grow up young boy myself siwezi kuargue na anybody ambaye atakuwa kinyume na mwenzake sometimes hata bosi wetu hehehehe Hamisi nakubaliana sometimes sikubaliani nae licha wote ni Arsenal fans
 
Ili wazee humu ndani mmezidi aisee haswa nyie fans wenzangu wa arsenal...mm sioni kosa la hamis77 yan hadi nyie mnafata mkumbo wa timu pinzan mnamsema..kwan kuna kosa mtu kutetea timu yake?? Hiv mnajua maana ya ushabiki nyie hata kama anaongea kwa mahaba sabb ni shabiki na hilo namsapoti badala nyie muwe na ushabiki basi kutwa mnamsema.

Kuna haja gani ya kuwa na jukwaa la.arsenal sasa ikiwa mashabiki wanamzodoa mwenzao?..haiingii akilini kuna shabiki wa timu nyingne anakuja kuprovoke hapa kisa kai na arteta then wote na nyie mnawaunga mkono.

Haya tuseme sawa kai hajui, arteta hajui sasa wewe kama fan wa arsenal impact yako nn zaidi ya kuzidi kuonyesha umoja sabb tayr ni timu yetu na ndo wa kwetu.

Acheni unafki bwana inaonekana humu watu wengi mna unafki sana yan sjui kwann hammkubali huyu jamaa wakati mm namterm as shabiki wa kweli hana hisia mbili mbili.

Acheni mambo ya kiswahili nyie fans wenzangu wa arsenal tuwe kitu kimoja msiwape wapinzan picha kwamba sisi wenyewe hatupendani, huo ni uswahili na unafki yan mtu anjiita kabsa shabiki wa arsenal halaf anamsema mwenzie maneno kibao kisa tu ana mdefend kai na arteta acheni mambo ya kiseng*.
Masingeli umekuja na ID nyingine kuomba support kwa wale wanaopinga porojo zako?
Yaani Masingeli unataka humu watu wote wanaojiita ni mashabiki wa Arsenal basi lazima wakubali kua misukule?
Yaani humu hata mtu akipinga kitu kwa hoja bado anatasingiziwa kua ana chuki binafsi na Masingeli au yeye ni Mamluki.
Mbona kwenye majukwaa mengine ya Chelsea, Liverpool, Manchester watu wanapingana kwenye hoja na kuwakosoa wachezaji mpaka kocha lakini huoni wakibughudhiwa, wakibezwa, wakikejeliwa au kutukanwa na kuitwa mamluki, ila humu ukimpinga Masingeli tu moja kwa moja unaonekana wewe ni mhaini!!!!!!!
 
Kwa upeo finyu wa Masingeli Arteta ni Malaika, hakosei. Kila kitu kwake yeye ni sawa as long as ni Arteta kasema.

Huu ni ushabiki uliopitiliza. Anawaambia kondoo wake msiwe kama mashabik wa Man u au chelsea kuwakosoa makocha. kama kocha anazingua asikosolewe kisa hatujawahi kuwa hata kocha wa timu ya kanisa.
Eti haujawai kuwa kocha ata timu ya kanisa
 
Unakurupuka tu kijinga jinga tunaongelea mfumo humu wa sasa jinsi unavyopwaya so kama Hamisi anaukubali wengine wasiusemee ili?grow up young boy myself siwezi kuargue na anybody ambaye atakuwa kinyume na mwenzake sometimes hata bosi wetu hehehehe Hamisi nakubaliana sometimes sikubaliani nae licha wote ni Arsenal fans
Yaani humu kua Arsenal fan ni lazima ukubali kua wote mna akili moja, ukikataa ukondoo unaonekana wewe ni mamluki.
Humu kuna umuhimu wa kuanzisha kampeni ya kataa ukondoo maana watu wamefungwa akili wamekua kama misukule.
 
Yaani humu kua Arsenal fan ni lazima ukubali kua wote mna akili moja, ukikataa ukondoo unaonekana wewe ni mamluki.
Humu kuna umuhimu wa kuanzisha kampeni ya kataa ukondoo maana watu wamefungwa akili wamekua kama misukule.
Ww ni mzee wa kuuma na kupuliza😅😅😅...unajua litimu lako livivu na kule kwny jukwaa Lenu huwa unatapika kwlikwli...Sasa ile spirit unaleta hdi hmu kufarakanisha watu...kapambanenj kumtoa glazer kule sio kutuletea vita hmu ndani....Kai anatupa burudani sana🤠🤠🤠
 
Back
Top Bottom