Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Tuache upigaji ramli
Kikos kitakachoanza kesho Ni kutokana na wachezaji mazoezini kupambania namba
Tupunguze chuki dhidi ya kai, hata Kama mchezaji humpend Basi tusifikie kupiga ramli akianza tutakawia kushinda ,
Wangapi humu mlikuwa hamtaki hata Jesus asajiliwe
Nketiah auzwe ,n.k
Leo wapo wapi



Kai ni mamluki toka darajani, Kai ametumwa Asenyo kwa lengo moja tu la kuishusha timu daraja.
Mikel kasema

