arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Wabaki na mzigo wao....Ize tu....Comment zako tu Mimi huwa natambua uwezo wako wa kufikiri ni mdogo
Unaweza kuniambia habari ya Chelsea kumtaka Smith na kufanya swap na makalio mudrky imetokea vyanzo gan,halafu uniambie hivyo vyanzo Kama ni udaku au lah
Kuna muda hatuwajibu sababu akili kubwa kujibu akili ndogo ni matumiz mabaya ya MB, haiwezekani niweke GB 30 nijibu comment zinazoonesha kiwango kidogo Cha uelewa Kama chako
Habari ya Smith Rowe kutakiwa Chelsea na swap ya makalio mudrky imesemwa had na vyanzo vya kuaminika kutoka Chelsea
Ila wewe kazi ya smartphone unajua ni kucheza game ,kubetia na kuingia Jf kuandika utumbo
Ni uhuru wa maoni kila mtu anao....j2 tunasubiri Antony aje kutufundisha boliKuna shabiki la Arsenal linapiga spana hatari humu safi sana. Tunawekea ulinzi endelea kupiga spana kutoa false hopes zote😀
Anacheza mpira mkubwa sana yule fundiHavertz hata kutoa pasi anahanyahanya,ni UHARO tu ule
Kwa kiungo hii hii ya boli Kai unategemea unifunge hutaaminiNi uhuru wa maoni kila mtu anao....j2 tunasubiri Antony aje kutufundisha boli
Nimeshikilia maana mmezid unafikiHatukutaka wapi wewe! umeshikilia 'hatukutaka' utafkiri wewe ndo ulikua sahihi.
Acha kujifanya uko sahihi muda wote. Sehemu mtu akizingua lazima asemwe.
Inawezekana vipi mtu awe sahihi muda wote?
Sisi hatujakataa kama Arteta ni kocha mzuri lakini haimaanishi kama hakosei.
Pep mwenyewe alizingua kwenye fainali ya UEFA 2021/22 kwa kucheza bila ya kiungo mkabaji huku akimuacha Rodri nje.. na ali admit.
Kwahiyo usijione muda wote wewe na Arteta wako mko sahihi.
Hata ikitokea Havertz akashinda hat-trick jumapili dhidi ya Man Utd haimaanishi kama alikua sahihi tangu mwanzo.
Huo muda anaopewa Kai angepewa ESR/Trossard/Fabio kwenye ile position tungekua tunaongea mambo mengine.
Huna timu ya kupiga hata pass 5 kwa usahihiWatu wakiona hili picha wanaweza wasilete timu uwanjani View attachment 2733353
Babu Evans yupo😀😀 nyie jpili kichapo kipo pale pale.Huna timu ya kupiga hata pass 5 kwa usahihi
Beki magwaya
Jumapili kipigo kinawahusu
Emile ana finishing nzuri na ball striking nzuri kumzidi Mudryk, Sterling, Kai, Nkunku, Noni, Jackson, Chukwuemeka na forwards zote za chelsea.Ebu na Mimi nitie neno kwa Emil Smith Rowe
Arteta bila kupepesa macho anasema Rowe yupo kwenye plan zake, hii haizuii kusikiliza offer
Tena Bora offer itokea kwenye timu ambayo haipo Epl wanaweza wakalegezewa
Sasa offer itoke kwenye timu ya Epl, alafu wa jiji la London daaah sio chini ya £80m
Ipo hivi Rowe akibaki ni fresh zaidi ila ikija offer tamu anapigwa bei
Binafsi naombea deal li-collapse
Chelsea anataka swap deal, yani mudryk plus pesa ili amchukue Rowe
Sasa Kenge nadhani watakua wamekubali kuwa either Mudryk walipigwa au ha-fit kwenye mifumo yao
Hapo hapo, utajiuliza Sterling anafit vipi alafu mudryk anashindwa vipi?
Kama mudryk akija itakua mbadala sahihi zaidi kwa saka
Ana drive force nzuri, ana speed
Biashara ikifeli itakua Bora zaidi, tubaki na Rowe wetu
Kuna michuano mingi baada ya international break
Ligi, Uefa, FA, Carabao
Nelson, Fabio, Rowe,.. wote watapata muda wa kutosha
View attachment 2732727
Ndo maana tumesema hatutaki....wabaki na Mudi waoEmile ana finishing nzuri na ball striking nzuri kumzidi Mudryk, Sterling, Kai, Nkunku, Noni, Jackson, Chukwuemeka na forwards zote za chelsea.
Usiwaone kenge wajinga kutaka kumuachia Mudi
Kuna mashabiki wa ukengeni wanakwambia mudiriki anajuaEmile ana finishing nzuri na ball striking nzuri kumzidi Mudryk, Sterling, Kai, Nkunku, Noni, Jackson, Chukwuemeka na forwards zote za chelsea.
Usiwaone kenge wajinga kutaka kumuachia Mudi
Bado huna timu ya kustahimili msako pale EmiratesBabu Evans yuponyie jpili kichapo kipo pale pale.
Kama nawaona Bruno na Rash wanavyofurahia kuona kiungo la boli Kai likianza na Partey kwenye RB ni mwendo wa kaunta kamba
Yeah ni kweli, Kuna kipindi Smith alikua supersubEmile ana finishing nzuri na ball striking nzuri kumzidi Mudryk, Sterling, Kai, Nkunku, Noni, Jackson, Chukwuemeka na forwards zote za chelsea.
Usiwaone kenge wajinga kutaka kumuachia Mudi
Ila Fabio now namuona mtu sana... mechi na city na mechi na fulham kaumwaga sana .Ilifikia kipindi mtu anakwambia Fabio Vieira atolewe mkopo Mara Arteta alipoteza pesa kumsajili
Unamwambia mtu Fabio kafika Arsenal injury ,kakosa pre season , amekuwa Hawa fit Mara kwa Mara ,still ana namba G/A nzuri kuliko Anthony masebene,Sancho , mudrky ,
Anakomaa tu atolewe mkopo
Most Premier League expected assists (xA) per 90 mins minutes since the start of 2022/23* (Understat)
1. Kevin De Bruyne - 0.6 xA per 90
2. Bruno Fernandes - 0.49xA per 90
3. Fabio Vieira - 0.47xA per 90
4. Trent Alexander Arnold - 0.38xA per 90
*Min 450 mins
Ndio mana nikwambia uwe unachuja habar, we unajiona unaakili kubwa kumbe tunakuona mwehu tu. Jifunze kuchuja habari au unahis hili jukwaa wanaingia makondoo peke yake.Comment zako tu Mimi huwa natambua uwezo wako wa kufikiri ni mdogo
Unaweza kuniambia habari ya Chelsea kumtaka Smith na kufanya swap na makalio mudrky imetokea vyanzo gan,halafu uniambie hivyo vyanzo Kama ni udaku au lah
Kuna muda hatuwajibu sababu akili kubwa kujibu akili ndogo ni matumiz mabaya ya MB, haiwezekani niweke GB 30 nijibu comment zinazoonesha kiwango kidogo Cha uelewa Kama chako
Habari ya Smith Rowe kutakiwa Chelsea na swap ya makalio mudrky imesemwa had na vyanzo vya kuaminika kutoka Chelsea
Ila wewe kazi ya smartphone unajua ni kucheza game ,kubetia na kuingia Jf kuandika utumbo
Mimi Nina vyanzo vya habari zaidi ya 100 ,na vipo grouped kuanzia Tier 1 had4Ndio mana nikwambia uwe unachuja habar, we unajiona unaakili kubwa kumbe tunakuona mwehu tu. Jifunje kuchuja habari au unahis hili jukwaa wanaingia makondoo peke yake.
Soon anaingia first elevenIla Fabio now namuona mtu sana... mechi na city na mechi na fulham kaumwaga sana .
Yan huyu dogo kama namuona Benardo kwa mbali. Ameanza kunifurahisha mpaka najiuliza kwa nini aanzi.Soon anaingia first eleven
Arsenal ya Sasa inasajili talent then zinapikwa
Fabio Vieira kwasasa inabidi aanze alongside Øde
But itabid Partey au Rice mmoja aanzie bench
Inabidi Rice aanze kuzoea taratibu kukamata dimba ,Partey Hana maisha marefu
Arteta hana akili kihivyo,acha kumpa sifa asizostahiliNachokiona kwa sasa . Arteta ni mtu mwenye akili sana.Hivi kwa akili zako timamu ushawahi kujiuliza kwa nini Gabriel hajaanza mechi tatu za mwanzo. Je unafikiri itakuwa hvyo hadi mwisho wa msimu. Unahisi kwa nini mechi na City Partey , Rice na Ode walicheza pamoja . Kama upo timamu utaamini kabisa hii ndo Formation yetu ya kwanza Msimu huu. Lakini je kila mechi utaingia hivi Baadae kuna timu Zitakupasua tu Baada ya kuelewa jinsi ya kukuzuia. Arteta kaamua kuja na mbinu kwamba kila mchezaji ajue kwamba anauwezo wa kukosa namba akileta masikhara . Na atafanyaje kama plan yake A itakapofeli . Kai hajasajiliwa kama M badala wa Xhaka . Jaribuni kuliona hilo ila arteta anataka kumfanya awe na uwezo wa kutumika nafasi zaidi ya moja. Ili kuleta ushindani na kuweza kutumika mda wowote mbinu zinapobadilika . Hujiulizi kwa Nini ushawahi kumuona Fabio akicheza kwa Saka.