Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta on Havertz:

"I saw an action when he played backwards and he could have turned"

"That's more I think the demands of everybody to play forward and to impact the game in the final third because we had the urgency to win."
 
Arteta on Havertz:

"I saw an action when he played backwards and he could have turned"

"That's more I think the demands of everybody to play forward and to impact the game in the final third because we had the urgency to win."
Jamaa kumbe anaona uozo wake halafu anajisahaulisha.
 
Kai, hakutakiwa kuingia moja kwa moja ila aje taratibu na tutamuelewa.

Arsenal inatamani kusajili winger na tatizo sio pesa.
Akija winger mpya basi wachezaji wafuatao watalazimika kuondoka kwa style ya keran tierney ili kupata dakika zaidi.

Nelson
Maquinhos
Vieira
Amardou couribery(academy player)

Saka hana mpango wa kudrop alipo,kwa hiyo kwa mchezaji ambaye anatafuta future kwanza kabla ya pesa ni ngumu kukubali kuwa back up ya saka hapo arsenal.
Arsenal walimtaka kudus,ila wanaangalia potential players kwenye hiyo wingi hasa walioko klabuni.
 
Nottingham Forest, close to reaching an agreement for Nuno Tavares! Loan deal discussed with Arsenal after new round of talks #NFFC

It could be completed in 24h and it will include an option to buy clause.

Told Nuno already said yes after interest revealed two weeks ago.
 
Nuno Tavares | Update

As first called by @RyanTaylorSport & @FabrizioRomano he's close to #NottinghamForest.
Talks are progressing well between #NFFC and #AFC over a loan with option to buy.
Player side already accepted #NFFC, the agreement should be finalized tomorrow
#Arsenal
 
Manchester United defender Raphaël Varane will miss the game against Arsenal this weekend due to suffering an injury against Nottingham Forest.

#ARSMUN
 
The away side also have Luke Shaw, Mason Mount and Tyrell Malacia out. New signing Rasmus Højlund is expected to return from injury to make the squad for the first time since joining.

#ARSMUN
 
TRANSFER -

Sources claim that an offer way above market value may tempt the Gunners into selling Emile Smith Rowe before Friday’s deadline.

(@SamiMokbel81_DM Tier 1 )

mailplus.co.uk/edition/sport/…
 
TRANSFER -

Sources claim that an offer way above market value may tempt the Gunners into selling Emile Smith Rowe before Friday’s deadline.

(@SamiMokbel81_DM Tier 1 )

mailplus.co.uk/edition/sport/…
Moja Kati ya wachezaji ambao mashabiki wanaimani nae kubwa huyu akiwemo
Hadi Kuna kipindi wakawa wanamuita KDB
 
Nuno Tavares to Nottingham Forest, here we go! Deal agreed with Arsenal on loan until June 2024 #NFFC

Understand loan fee will be bit higher than £1m plus £12m buy option.

Medical tests being completed today, new left back for Forest + Murillo deal done since Friday.
 
Ebu na Mimi nitie neno kwa Emil Smith Rowe

Arteta bila kupepesa macho anasema Rowe yupo kwenye plan zake, hii haizuii kusikiliza offer
Tena Bora offer itokea kwenye timu ambayo haipo Epl wanaweza wakalegezewa

Sasa offer itoke kwenye timu ya Epl, alafu wa jiji la London daaah sio chini ya £80m

Ipo hivi Rowe akibaki ni fresh zaidi ila ikija offer tamu anapigwa bei
Binafsi naombea deal li-collapse

Chelsea anataka swap deal, yani mudryk plus pesa ili amchukue Rowe
Sasa Kenge nadhani watakua wamekubali kuwa either Mudryk walipigwa au ha-fit kwenye mifumo yao
Hapo hapo, utajiuliza Sterling anafit vipi alafu mudryk anashindwa vipi?

Kama mudryk akija itakua mbadala sahihi zaidi kwa saka
Ana drive force nzuri, ana speed
Biashara ikifeli itakua Bora zaidi, tubaki na Rowe wetu

Kuna michuano mingi baada ya international break
Ligi, Uefa, FA, Carabao
Nelson, Fabio, Rowe,.. wote watapata muda wa kutosha


IMG-20230829-WA0005.jpg
 
Ebu na Mimi nitie neno kwa Emil Smith Rowe

Arteta bila kupepesa macho anasema Rowe yupo kwenye plan zake, hii haizuii kusikiliza offer
Tena Bora offer itokea kwenye timu ambayo haipo Epl wanaweza wakalegezewa

Sasa offer itoke kwenye timu ya Epl, alafu wa jiji la London daaah sio chini ya £80m

Ipo hivi Rowe akibaki ni fresh zaidi ila ikija offer tamu anapigwa bei
Binafsi naombea deal li-collapse

Chelsea anataka swap deal, yani mudryk plus pesa ili amchukue Rowe
Sasa Kenge nadhani watakua wamekubali kuwa either Mudryk walipigwa au ha-fit kwenye mifumo yao
Hapo hapo, utajiuliza Sterling anafit vipi alafu mudryk anashindwa vipi?

Kama mudryk akija itakua mbadala sahihi zaidi kwa saka
Ana drive force nzuri, ana speed
Biashara ikifeli itakua Bora zaidi, tubaki na Rowe wetu

Kuna michuano mingi baada ya international break
Ligi, Uefa, FA, Carabao
Nelson, Fabio, Rowe,.. wote watapata muda wa kutosha


View attachment 2732727
Yaani nyie Kondoo kwa kudanganyana. Chelsea wawape Mudryk wachukue hiyo takataka, injury prone.
Hivi hamuoni huyo aliyepost ni Kondoo mwenzenu tu kama nyie ameamua kufikiria tu kupost anachokiwaza akilini mwake, halafu nyie kondoo mnahis eti Mudryk atauzwa?
Makondoo mnavyojazana ujinga mnahis Mudryk kaflop aisee.
 
Ebu na Mimi nitie neno kwa Emil Smith Rowe

Arteta bila kupepesa macho anasema Rowe yupo kwenye plan zake, hii haizuii kusikiliza offer
Tena Bora offer itokea kwenye timu ambayo haipo Epl wanaweza wakalegezewa

Sasa offer itoke kwenye timu ya Epl, alafu wa jiji la London daaah sio chini ya £80m

Ipo hivi Rowe akibaki ni fresh zaidi ila ikija offer tamu anapigwa bei
Binafsi naombea deal li-collapse

Chelsea anataka swap deal, yani mudryk plus pesa ili amchukue Rowe
Sasa Kenge nadhani watakua wamekubali kuwa either Mudryk walipigwa au ha-fit kwenye mifumo yao
Hapo hapo, utajiuliza Sterling anafit vipi alafu mudryk anashindwa vipi?

Kama mudryk akija itakua mbadala sahihi zaidi kwa saka
Ana drive force nzuri, ana speed
Biashara ikifeli itakua Bora zaidi, tubaki na Rowe wetu

Kuna michuano mingi baada ya international break
Ligi, Uefa, FA, Carabao
Nelson, Fabio, Rowe,.. wote watapata muda wa kutosha


View attachment 2732727
Rowe ni wa kubaki arsenal na endapo akiuzwa
ni Ukichaa kama vichaa wengine
 
Chelsea enquired about a swap deal last week: ESR for Mudryk. Was a no from Arsenal at the time.
 
Arsenal knock back Chelsea's initial approach for Emile Smith Rowe. Gunners not keen on selling to direct rival as things stand.

Sami Mokbel81-Tier 1
 
Sources have indicated that Chelsea have shown a willingness to include players as a sweetener in any deal with Arsenal.

(@SamiMokbel81_DM)
 
Back
Top Bottom