Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Je wajua?

Gabriel Magalhaes 10 Premier League goals

Jadon Sancho 9 Premier League goals
 
Mikel is genius, anaunda chama la kusumbuana na Man City kwa muda mrefu, Pep is genius too, binafsi ukimuondoa Mikel labda kama utamleta RDZ kwa mbali naweza kukufikiria but not otherwise.
Kwasasa Mimi makocha wangu ninaowakubali ni watatu tu

Roberto Di Zerbi

Pep Guardiola

Mikel Arteta

Ukiwatoa hao labda Don Anceloti ,
 
Saliba Young player of the Year ligue 1

Ligue one best XI

Now


First year in the Premier League and already in the best XI.


Generational Talent
20230829_233123.jpg
 
Chelsea loaning Cucurella a year after signing him for £62m

But the media and some toxic fans wants to talk about Havertz after 3 PL games, which he won 2 and drew 1
 
Wazoee ,hawa hawa walikuwa wanasema Fabio Vieira hafai ,na bla blaa kibao

Kwasasa huwezi waona wakitoa credit ,jinsi kipaji Cha huyu jamaa kilivyo, na kwa uwezo wa huyu jamaa soon ataanza kuwa first eleven

Arsenal ilikuwa ishatumbukia shimon ,Leo makocha wamekuwa wengi wanataka mfumo fulan , View attachment 2732856
First eleven ipi

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Partey sio namba 6, hajawahi kuwa namba 6, ni kiburi cha Mikel tu kuforce vitu visivyowezekana but i thank God Arteta karudi kwenye basics, Guardiola hawezi mchezesha Partey namba 6 kamwe, Arsenal tutachukua EPL / UCL huku Declan Rice akiwa namba sita afu nitakukumbusha hizi comment zako.

last time kushinda EPL /UCL ni lini ? Hizi false hope ila arsenal fans mna imani nzito sana na timu yenu. Declan kucheza namba 6 hilo tutalikumbuka lakini arsenal kuchukua EPL/UEFA hilo haliwezi kutokea kamwe!
 
Wenzio wengi washapita na unjuka kama huu afu wameishia kusikojulikana, toka kina milango mitatu paka wale wa Newcastle, kwa mazingira yako mi nakuona form one tu badili mfumo babu haulipi huo.
Wamebaki kutafuta mbuz wa kafara

Huwa nacheka Sana mtu anazungumzia eti Arteta atafukuzwa , habari ni hii huyu jamaa huenda akakaa zaidi ya Arsene Wenger
 
Last five meetings at the Emirates:

Arsenal 3-2 United
Arsenal 3-1 United
Arsenal 0-0 United
Arsenal 2-0 United
Arsenal 2-0 United
Kwa miaka 5o ijayo Ushindi wa nyumbu pale Emirates itakua kupata sare tu
Tofauti na hapo ni FIMBO mwanzo mwisho
 
Chelsea loaning Cucurella a year after signing him for £62m

But the media and some toxic fans wants to talk about Havertz after 3 PL games, which he won 2 and drew 1
Ila Kenge Wana biashara kichaa kinoma
Ata inshu ya lukaku walimnunua kwa £90m msimu mmoja mbele wakamtoa kwa mkopo kwa yule yule aliyewauzia kwa bei ya kitapeli

Mudryk Kama tutamtaka tutambeba kwa chini ya £40m
Hapo installation Kama 4 hivi
 
You better shut ya mouth bruv! kabla ya Mikel ulikuwa huna hata ndoto za kuwaza big trophies. Sasa hiyo jeuri unaitoa wapi mzee au kuna kitu kichwani hakijakaa sawa?
Kwamba tunapangiana cha kuongea??

Amepewa muda + hela. We are supporting him this season, lakini ni lazima at end of season tuone makombe yapi.
 
Wanachekesha Sana hawa jamaa

Kabla ya mikel hata Ndoto tu za kugombea top 4 hazikuwepo ,leo wanajifanya wajuaji wa kumpangia had Nan acheze nan asicheze

Kipind yupo Emery hawakuwepo humu waliikimbia timu

Sasa hivi Mikel kaaminiwa na anapewa pesa ,wao ndio wajuaji Sasa

Hivi wanadhan Stan anatoa pesa tu, ni sababu amemuamin Mikel
Mkuu, wadau wameanza kuzishabikia Arsenal, Manchester United, Chelsea na Liverpool before JF haijaanzishwa.

Mapenzi ya timu hayapimwi kwa kuwa active JF.

Arteta amepewa muda + hela. Its time to deliver. Hata Chelsea walimpa full support GP, lakini walivyoona hamna muelekeo, wakamla kichwa.

Ampange Kai kama centre back, Saka as DM, but end of season, tunataka tuone trophies.
 
Mkuu, wadau wameanza kuzishabikia Arsenal, Manchester United, Chelsea na Liverpool before JF haijaanzishwa.

Mapenzi ya timu hayapimwi kwa kuwa active JF.

Arteta amepewa muda + hela. Its time to deliver. Hata Chelsea walimpa full support GP, lakini walivyoona hamna muelekeo, wakamla kichwa.

Ampange Kai kama centre back, Saka as DM, but end of season, tunataka tuone trophies.
Basi muwe mnakaa kimya msiwapangie watu kwakuibuka Sasa na kuleta makasirikio

Tunaweka kumbukumbu sawa yaliyotokea nyuma , Kama hukuwepo jifunze kwanza au usilazimishe mawazo yako

Humu humu walikuwepo watu walioponda sajili za kina Øde, Rams, Jesus,Zinny, n.k na kumbukumbu zipo

Humu humu usajili wa Trossard ulikataliwa kuwa umri wake mkubwa humu humu


Na hao hao ndio wanarudi kuponda sajili nyingine Kama Kai ,Vieira kwa kufata mikumbo

Na Mchezaji anayeandamwa baadae akiwaumbua hatuoni wakikiri hadharani

Bali wanageukia mchezaji mwingine

So hizo tabia wanazichukua hasa manjesta au chelkenge ambao ndio kazi zao

Zimekuja had tabia za kimamluki mtu anasema amehama timu ,lakin kutwa kuponda tu
 
Back
Top Bottom