mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Maybe Arteta anapokosea ni kumuingiza moja kwa moja kwenye mfumo huyu Kai
Kwa Kai tunahitaji kuwa na subira, tutapata kilicho Bora
Kutokana na majerui, inverted MD ilibidi partey achukue hiyo position
Sasa Zin karudi
Kuhusu false namba 9 au namba 9. Sasa Nketiah na Jesus wapo
Mbadala wa xhaka acheze Kai / Rice
Partey acheze pivoted MD 6
After all tuheshimu taaluma za watu. Kuna kitu Arteta kakiona kwa Kai ambacho wengi hatujakiona
Kama ilivyokua kwa odegard na huyu Fabio ambae Jana naweza kusema ndio man of the match
Kwa Kai tunahitaji kuwa na subira, tutapata kilicho Bora
Kutokana na majerui, inverted MD ilibidi partey achukue hiyo position
Sasa Zin karudi
Kuhusu false namba 9 au namba 9. Sasa Nketiah na Jesus wapo
Mbadala wa xhaka acheze Kai / Rice
Partey acheze pivoted MD 6
After all tuheshimu taaluma za watu. Kuna kitu Arteta kakiona kwa Kai ambacho wengi hatujakiona
Kama ilivyokua kwa odegard na huyu Fabio ambae Jana naweza kusema ndio man of the match

