Arteta sijui kapatwa na nini mambo anayoyafanya Sikutegemea kabisa aisee. Arsenal haitishi kabisa yani last season ukicheza na Arsenal unajua uko kwenye matatizo.
Na red card juu, watapgwa kumi leo.Liva anabanduliwa
Acha apigwe miti tuLiva anabanduliwa
Ukipangiwa hivi lazima uteme bungo.... bado sijaona kikosi cha kuzuia huu msala.Tuweke tofauti pembeni, nyumbu tukamzabue hiviView attachment 2730586
Pepepeeeeepepeeeee shwaaaaahAcha apigwe miti tu
Kwani kapigwa ngapi?Acha apigwe miti tu
Wewe ndugu acha POROJO zako sijui za inverted,sijui mfumo,sijui Kai anasaidia ku-win mipira ya juu kumbe ni UHARO tu, yaani as if Mpira huwa unaangalia mwenyewe na kuja kutupa porojo JF,acha ufala


dadamlamayai ulipotelea wapi aiseeeee au ndio moderator walikukula kichwa? Timu ndogo ni timu ndogo tu


yule mpiga zumali jana katukandia saaana sijui leo ana la kusema kuhusu timu yake kufungwa kama mtoto mdogo na Liver

yule mpiga zumali jana katukandia saaana sijui leo ana la kusema kuhusu timu yake kufungwa kama mtoto mdogo na Liver
![]()


Ila Nyukesto wametuangusha sana leo, yaani baada ya ile redcard ya VVD uwanja ulikua tayari umeshalala upande mmoja walikua wanauwezo wa kuwashona zaidi hata ya goli 3, yaani hawa jamaa na wenyewe kumbe wana kaUnyumbu flani hivi, shida sijui na wao kujiita United? Ila Nyukesto wametuangusha sana leo, yaani baada ya ile redcard ya VVD uwanja ulikua tayari umeshalala upande mmoja walikua wanauwezo wa kuwashona zaidi hata ya goli 3, yaani hawa jamaa na wenyewe kumbe wana kaUnyumbu flani hivi, shida sijui na wao kujiita United?
Labyrinth 84 leo mmezingua kinyama sana aiseee ndugu yangu, yaani hawa livakuku hua wanatunyanyasa sana Utd nikaamini baada ya Gordon kutupia goli la kwanza na vvd kula umeme mtatulipia vile vipigo vya mbwa koko nikajisahau kumbe na nyie pia ni United tu kama sisi.





Nyukesto ukiwazibiti kwenye counter At umewamaliza baada ya red liver wakaja na mpango kazi uo, baada ya hapo kwisha habari yao, yan kipind cha pili liver walionekana kama wapo level kabisa kiwanjani wala hakukua na pengoIla Nyukesto wametuangusha sana leo, yaani baada ya ile redcard ya VVD uwanja ulikua tayari umeshalala upande mmoja walikua wanauwezo wa kuwashona zaidi hata ya goli 3, yaani hawa jamaa na wenyewe kumbe wana kaUnyumbu flani hivi, shida sijui na wao kujiita United?
Labyrinth 84 leo mmezingua kinyama sana aiseee ndugu yangu, yaani hawa livakuku hua wanatunyanyasa sana Utd nikaamini baada ya Gordon kutupia goli la kwanza na vvd kula umeme mtatulipia vile vipigo vya mbwa koko nikajisahau kumbe na nyie pia ni United tu kama sisi.
Ila Nyukesto wametuangusha sana leo, yaani baada ya ile redcard ya VVD uwanja ulikua tayari umeshalala upande mmoja walikua wanauwezo wa kuwashona zaidi hata ya goli 3, yaani hawa jamaa na wenyewe kumbe wana kaUnyumbu flani hivi, shida sijui na wao kujiita United?
Labyrinth 84 leo mmezingua kinyama sana aiseee ndugu yangu, yaani hawa livakuku hua wanatunyanyasa sana Utd nikaamini baada ya Gordon kutupia goli la kwanza na vvd kula umeme mtatulipia vile vipigo vya mbwa koko nikajisahau kumbe na nyie pia ni United tu kama sisi.
Mna mentality ya timu ndogoDaaah madogo wamezingua sana wakaanza kuleta mpira wa kibishoo kama hawa false hopers wa humu , gemu ilikua tumalize mapema kabisa.
Eddie howe naye ni fala tu amekariri subs gordon alikua anampa kashikashi trent alivyotoka plus tonali pale kati basiii matokeo ndo yakawa kama vile .
Mna mentality ya timu ndogo
Ni mda sasa wa Newcastle kuwa na kocha bora lasivyo itaendelea kuwa midtable timuDaaah madogo wamezingua sana wakaanza kuleta mpira wa kibishoo kama hawa false hopers wa humu , gemu ilikua tumalize mapema kabisa.
Eddie howe naye ni fala tu amekariri subs gordon alikua anampa kashikashi trent alivyotoka plus tonali pale kati basiii matokeo ndo yakawa kama vile .