Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hamis utakuja kuelewa baadaye sana.

Unamjua Douglas Costa? James Rodriguez?

Hiyo ni mifano miwili tu ya players ambao kocha alihisi kocha mwenzake hajui kumtumia mchezaji husika. Wapinzani wanatroll wanakuambia sasa hivi wapo 003
Kai anatumia Kiungo au false 9

Mm ni muumini wa 4-3-3 ya Double 8 ndan awepo Zinny

But kwasasa hatungeweza kucheza hivo Coz Zinny na Timber hawakuwepo

Wanaolaumu mfumo mfumo , hawaoneshi ubaya wa huo mfumo

Mm nafahamu Leno ,fabiansk,Martinez tukikutana nao wanakaza Sana ,

Hivi tungecheza kama manjesta je?

Ndio Maana nashangaa mashabiki wa manjesta wanaokuja humu , Arsenal kasare lakin huwez kusema tuna Hali mbaya

Mm napenda LCM wapokezane Rice ,Kai, Vieira ,Smith Rowe , Trossard kulingana na mechi

Hivi ni kweli Kai ndiye sababu ya kutoa sare Jana ?

Mbona Trossard hakuwa vzr , hata Martinelli bado hajaanza ku click ,why mbuz wakafara Kai ?

Hiki kitu ndio sikipend maana ni tabia za mashabiki wa manjesta na Chelsea,
 
Hata Fabio Vieira walisema atolewe mkopo au auzwe ,now Kama hawapo vile

Wanatokea pale anapokosea

Upo off point, tunachosema, Havertz is not fit to start, ajifue, akiwa fit tutam-support. Vieira is different from Havertz, kipindi hayupo fit , kuna vitu ulikuwa unaviona kwake sio hii takataka ya arteta - Havertz. Acha kuabudu, nadhani hata nafsi yako inakusuta.
I guess arteta atakuwa ameishapokea phone call kutoka kwa Edu na investor kuhusu hiyo takataka yake
 
Uzuri wote team yetu tunaijua hali halisi ipoje let's wait hyo game ya Sunday Vs Manchester United Partey awe beki number 2 and Kai awe mzururaji utapotea humu JF Fernandez na Marcus Rashford watakavyofurahi kwa counter zao!
Kaumia Timber na Zinny ndo anarudi ,ulitaka Inverted LB acheze Nan mkuu au Kaz ni kulaumu tu
 
Upo off point, tunachosema, Havertz is not fit to start, ajifue, akiwa fit tutam-support. Vieira is different from Havertz, kipindi hayupo fit , kuna vitu ulikuwa unaviona kwake sio hii takataka ya arteta - Havertz. Acha kuabudu, nadhani hata nafasi yako inakusuta.
I guess arteta atakuwa ameishapokea phone call kutoka kwa Edu na investor kuhusu hiyo takataka yake
Mlishaponda wachezaji wangapi walipofanya vzr mbona hatuoni mkikiri

Kai ataendelea kucheza daily


Hata Øde mlimuandama Sana humu

Leo mnamuimba
 
Kai anatumia Kiungo au false 9

Mm ni muumini wa 4-3-3 ya Double 8 ndan awepo Zinny

But kwasasa hatungeweza kucheza hivo Coz Zinny na Timber hawakuwepo

Wanaolaumu mfumo mfumo , hawaoneshi ubaya wa huo mfumo

Mm nafahamu Leno ,fabiansk,Martinez tukikutana nao wanakaza Sana ,

Hivi tungecheza kama manjesta je?

Ndio Maana nashangaa mashabiki wa manjesta wanaokuja humu , Arsenal kasare lakin huwez kusema tuna Hali mbaya

Mm napenda LCM wapokezane Rice ,Kai, Vieira ,Smith Rowe , Trossard kulingana na mechi

Hivi ni kweli Kai ndiye sababu ya kutoa sare Jana ?

Mbona Trossard hakuwa vzr , hata Martinelli bado hajaanza ku click ,why mbuz wakafara Kai ?

Hiki kitu ndio sikipend maana ni tabia za mashabiki wa manjesta na Chelsea,
Kaka Kai naturally siyo mshambuliaji hata kidogo kumuweka false 9 ni kuipa timu uzito.

Kai akiwa false 9 hapo Arsenal, na Jesus au Balogun unaprefer nani awe false 9.

Naturally Kai ni AM jamaa anasikia raha kuassist na anaweza kuassist kuliko kuscore. If thats the case kwanini Arteta asicheze kwa kuangalia strength ya mchezaji? Ni kwanini Xhaka alionekana mzuri na Martinelli akashine ila siyo Kai?

Unafikiri ni bahati mbaya?

Kama uliangalia mechi itakua uliiona timu alivyokuepo Kai na alivyotoka. Tap in aliyomiss, low cross ya Saka ambayo ilimpita huku kasimama hapo hapo.
 
Mlishaponda wachezaji wangapi walipofanya vzr mbona hatuoni mkikiri

Kai ataendelea kucheza daily


Hata Øde mlimuandama Sana humu

Leo mnamuimba

Hujanielewa; Ukweli unasemwa. Ukicheza vizuri tutasema na kukupongeza, ukicheza hovyo tutakusema. Last season there was a time Partey alikuwa hovyo, tulimsema. Sasa hivi anacheza vizuri tunampongeza. Sisi sio makondoo.
We call a spade a spade not otherwise
 
Tunaweka akiba ya maneno

Kushinda vs Luton tayari mshajiona mna timu ?

Mimi sijazungumzia Chelsea mbona unakimbilia huko wakati mada sio Chelsea
Chelsea sisis tunaijua wenyewe iko kwenye transition ya rebuilding hata tusipoingia top 6 hatujali
Timu yetu bado sio stable
Hapa nimeleta mada ya Arsenal wewe unaleta hasira juu
Hii inaonyesha point yangu ni ya kweli

Arteta kaiharibu ile Arsenal ya mwaka jana kwa kuweka additions mbaya hasa ya Havertz na kumruhus Xhaka aondoke
 
Huyo Morgan alishawahi kuomba msamaha kwa Arteta ,

Uzuri my manager hasikilizagi wabwatukaji

Since Ozil, auba saga ,


Since wapiga kelele waliposema asitumie 4-3-3
Safari hii yuko sawa kwa Havertz
Arteta anataka kufanya the same mistakes Potter na Lampard waliofanya kumkumbatia Havertz kila mechi hata kama ana poor form
 
Hujui kitu bruv.

Mashabiki wa Arsenal kwa % kubwa tuliamini na tulijua timu yetu ya msimu uliopita inakamata top four. A trophy would have been a bonus ila sisi tulijua top four ni rahisi.

Hatukuhitaji mtu wa nje aje atuambie. Kama ulisema, bas ulifanya hivyo kujifurahisha coz sisi tulijua kabla yako. Sisi tulijua tangu msimu wa pili haujaisha, tangu tupo pre season tunawafunga nyinyi nne.

Na msimu huu tangu pre season tunasema Kai anaharibu timu, mechi ya kwanza inachezwa watu tukagawanyika.

Hatukuhitaji wewe uje kutuambia tutakua wapi.

Hujui kitu
Hata kama wewe ni hsabiki huna hati miliki ya kuisemea timu. Kila mtu anayo haki ya kuisemea kila timu
Arsepimbi ya msimu huu imeghoshiwa sana. Bado kidogo tu mtaanza kupoteana humu
 
Ilikuwa ni UJINGA kuruhusu MPAMBANAJI Xhaka kuondoka kisha kuleta LEGELEGE na UHARO kama Kai Harvert,Xhaka ilikuwa hata ikitokea vurugu anasimama imara kutetea Timu

Sioni tatizo kuondoka Xhaka, tatizo lipo kwenye replacement it is like arteta alipewa mgao. Even his price tag was far unrealistic
 
Hata kama wewe ni hsabiki huna hati miliki ya kuisemea timu. Kila mtu anayo haki ya kuisemea kila timu
Arsepimbi ya msimu huu imeghoshiwa sana. Bado kidogo tu mtaanza kupoteana humu
Mimi sijasema usiisemee timu nimesema haina haja kutuambia kwakua tunaona. Mfano mi ninavyosema Pochettino siyo kocha ni hamuwezi kunikataza lakini haina haja mi kuja kuwaambia kwakua nyinyi wenyewe mnaona
 
Xhaka kuondoka siyo tatizo.

Mimi nawaambia hapa namba ya Xhaka Emile anacheza bila shida namba ya Xhaka Rice anacheza bila shida.

Given Partey awe kati.

Shida ni Kai haonyeshi msaada kwenye kudefend wala kwenye kuattack.

Changamoto inaanzia hapo
 
Xhaka kuondoka siyo tatizo.

Mimi nawaambia hapa namba ya Xhaka Emile anacheza bila shida namba ya Xhaka Rice anacheza bila shida.

Given Partey awe kati.

Shida ni Kai haonyeshi msaada kwenye kudefend wala kwenye kuattack.

Changamoto inaanzia hapo
Tusubiri tuone Mimi tungekuwa hatu creaate chances ,sawa

Ila ni Hali ya mchezo tu, uzuri Zinny amerudi ,tunarud kwenye 4-3-3

Tusifike kulumbana Kama mashabiki wa manjesta au chelkenge ambao kumfunga Luton tayari wanasema Arsenal Wana timu mbovu Yao nzuri
 
Tusubiri tuone Mimi tungekuwa hatu creaate chances ,sawa

Ila ni Hali ya mchezo tu, uzuri Zinny amerudi ,tunarud kwenye 4-3-3

Tusifike kulumbana Kama mashabiki wa manjesta au chelkenge ambao kumfunga Luton tayari wanasema Arsenal Wana timu mbovu Yao nzuri
Kai akiwepo upande wake haucreate chances.

Chief usidhani ni bahati mbaya.
 
Xhaka kuondoka siyo tatizo.

Mimi nawaambia hapa namba ya Xhaka Emile anacheza bila shida namba ya Xhaka Rice anacheza bila shida.

Given Partey awe kati.

Shida ni Kai haonyeshi msaada kwenye kudefend wala kwenye kuattack.

Changamoto inaanzia hapo
khai ilikuwa ni biashara haramu bado hamuamini kama tuliwapiga?? khai mlipigwoooo..
 
Hata Fabio Vieira walisema atolewe mkopo au auzwe ,now Kama hawapo vile

Wanatokea pale anapokosea

Sasa Mkuu tofauti ya Fabio amekuja kutoka ligue nyingine huko hajazoea na wala hajamaster mikikimikiki ya EPL tofauti na Havertz ambae Amekua EPL Mda mrefu sasa. Huyu Havertz hata kufungua kuomba mipira hafanyi, basi sawa hafungui kuomba mpira lakini hata kutunza basi mpira unaopewa hafanyi ni anapoteza tu mipira. Yaan ball control Jamaa Hana kabisaa na isitoshe anakimbia kimbia tu na kujificha kwenye kivuli cha mabeki.

Check Mtu kama Declan Rice unaona kabisa Jamaa ambitions na fighting aliyonayo. Why Havertz? Kifupi kwa mechi ya jana, mimi nasema Havertz katugharim ni kama tulikua pungufu tu
 
Back
Top Bottom