hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,302
- 26,698
Kai anatumia Kiungo au false 9Hamis utakuja kuelewa baadaye sana.
Unamjua Douglas Costa? James Rodriguez?
Hiyo ni mifano miwili tu ya players ambao kocha alihisi kocha mwenzake hajui kumtumia mchezaji husika. Wapinzani wanatroll wanakuambia sasa hivi wapo 003
Mm ni muumini wa 4-3-3 ya Double 8 ndan awepo Zinny
But kwasasa hatungeweza kucheza hivo Coz Zinny na Timber hawakuwepo
Wanaolaumu mfumo mfumo , hawaoneshi ubaya wa huo mfumo
Mm nafahamu Leno ,fabiansk,Martinez tukikutana nao wanakaza Sana ,
Hivi tungecheza kama manjesta je?
Ndio Maana nashangaa mashabiki wa manjesta wanaokuja humu , Arsenal kasare lakin huwez kusema tuna Hali mbaya
Mm napenda LCM wapokezane Rice ,Kai, Vieira ,Smith Rowe , Trossard kulingana na mechi
Hivi ni kweli Kai ndiye sababu ya kutoa sare Jana ?
Mbona Trossard hakuwa vzr , hata Martinelli bado hajaanza ku click ,why mbuz wakafara Kai ?
Hiki kitu ndio sikipend maana ni tabia za mashabiki wa manjesta na Chelsea,

