Lembua hua unanichekesha na logic zako za kipimbi.Hii timu sio ya top 4 hata
UCL mnatolewa kwenye group stage au R16
Umesuluhu, umefungwa, umeshinda dhidi ya timu imepanda daraja unajiona una timu ya top four.
Arsenal kacheza na timu zote tatu zilikua hapa lwenye ligi na hajafungwa hana timu ya top 4.
Wewe unaandika huku unatumia masaburi kufikiri?
