Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna kocha anayesikiliza kelele za mashabiki

Zinny ndio amerudi kutoka injury
Ni kweli.

Lakini unajua nani hua anasikilizia kelele za mashabiki? Mmiliki wa timu.

Arsenal hua haina utaratibu wa kufukuza makocha Emery hakusikiliza kelele za mashabiki na akaenda.

Kwa timu za top 4 ambazo siyo Arsenal nyingi makocha waliondoka baada ya hizo kelele za mashabiki.
 
Huko mitandaoni kuna pass mbili huyo UHARO Kai alipewa akapoteza mpaka mtu unashangaa,ndio kimekuwa kibwagizo jinsi alivyo mpuuzi,halafu ukija JF unamkuta Hamis anakwambia ndio anasaidia ku-win eti mipira ya juu,ipi hiyo??yule Kai ni UHARO kama miharo mingine tu
Kila timu mashabiki huwa wanatafuta mbuz wa kafara

Inachekesha Sana ,yaan Kai kupoteza pass inahusihana Nini na Fulham kupaki Basi


Inanikumbusha manjesta walikuwa wanasema pogba anazingua ,alipoondoka wakahamia kwa magwaya ,alipopigwa bench wakahamia kwa Degea , kaondoka wanatafuta mwingine ,kila mshabiki kakamata mbuzi wake


Nyie nyie mashabiki ndio mlikuwa mnasema asitumie 4-3-3

Leo mnasema Tena atumie 4-3-3


Mlimuandama Sana Fabio Vieira ,now mmekaa kimya
 
Ni kweli.

Lakini unajua nani hua anasikilizia kelele za mashabiki? Mmiliki wa timu.

Arsenal hua haina utaratibu wa kufukuza makocha Emery hakusikiliza kelele za mashabiki na akaenda.

Kwa timu za top 4 ambazo siyo Arsenal nyingi makocha waliondoka baada ya hizo kelele za mashabiki.
Fatilia Kwanini makocha kama Emery walifukuzwa

Emery alikuwa hana tofaut na anavyocheza Ten hag ,hakuwahi kuwa na playing style, mashabiki wakaandamana

Shida ya mashabiki wasasa wanataka Arteta arudi kwenye 4-3-3 kitu ambacho sio kibaya , coz Zinny amerejea na Ndiye huwa ni cheat code kwa 4-3-3

Kinachonichekesha mashabiki kutafuta mbuz wa kafara
 
Kai havertz ametugawa mashabiki
Hivi Jana Kuna magoli Kai alikosa?

Tatizo ni chuki tu Wala hakuna kingine

Hii tabia walikuwa nayo manjesta kwa pogba ,wanayo mpaka leo ,wameambukiza had huku


Kwann mtu asiwasifie Fulham kwakushikilia bomba
 
Fatilia Kwanini makocha kama Emery walifukuzwa

Emery alikuwa hana tofaut na anavyocheza Ten hag ,hakuwahi kuwa na playing style, mashabiki wakaandamana

Shida ya mashabiki wasasa wanataka Arteta arudi kwenye 4-3-3 kitu ambacho sio kibaya , coz Zinny amerejea na Ndiye huwa ni cheat code kwa 4-3-3

Kinachonichekesha mashabiki kutafuta mbuz wa kafara
Hamis utakuja kuelewa baadaye sana.

Unamjua Douglas Costa? James Rodriguez?

Hiyo ni mifano miwili tu ya players ambao kocha alihisi kocha mwenzake hajui kumtumia mchezaji husika. Wapinzani wanatroll wanakuambia sasa hivi wapo 003
 
Huko mitandaoni kuna pass mbili huyo UHARO Kai alipewa akapoteza mpaka mtu unashangaa,ndio kimekuwa kibwagizo jinsi alivyo mpuuzi,halafu ukija JF unamkuta Hamis anakwambia ndio anasaidia ku-win eti mipira ya juu,ipi hiyo??yule Kai ni UHARO kama miharo mingine tu

Kuna siku nilisema hapa, kuna watu wanamuabudu arteta
 
Ni mjinga tu atakayeamini Kai Havertz ana nafasi ya kuanza kikosi cha Arsenal ahead ya wachezaji waliopo kule mbele.. Hakuna Fluidity mbele akiwepo, ubunifu hafifu.. Wengi wanaomtetea Kai Havertz wanatumia tu historia yake alipokuwa Leverkursen kumlinda, lakini uhalisia wa anachokifanya kwa sasa Arsenal ni kuirudisha timu phase mbili nyuma ambapo tumeanza kusahau.. Kuna muda mpaka Declan Rice jana alianza kumind attitude za jamaa.
 
Sasa wewe aliyekuambia mm nafata mkumbo Nani

Mbona jf nzima ukiwepo wewe ulisema last season hatutaingia top 6 ,


Yaani unataka nifate mkumbo wa wengi ?
Uzuri wote team yetu tunaijua hali halisi ipoje let's wait hyo game ya Sunday Vs Manchester United Partey awe beki number 2 and Kai awe mzururaji utapotea humu JF Fernandez na Marcus Rashford watakavyofurahi kwa counter zao!
 
Back
Top Bottom