Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
The equalizer
2-1Nanyie bila penalty saizi hampati magoal.
Wayaaaaaaaaa
Hii ndio arsenal ninayo ifahamu
He's back where he belongZinchenko now control the game
Pesa ya Havertz ingepelekwa kwenye kituo cha orphans IMEPOTEA game imebadilika baada ya kutoka




Next mach vs Man utd kivumbi kitawaka
Dakika 9 nyingi hizo kwa 2-2Pamoja na red hili liteam letu limeshindwa kushinda