makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,827
- 103,923
Trossard nje, kafanya baya gani, kwanini asiendw nje kai, kisha trossard akacheza kwa kai,na mechi za maandalizi ya msimu alicheza position hiyo na akafanya vizuri.
Hii ya beki wa kulia Partey ni kenge sana, full backs wapo kibao na wengine anataka kuwauza.Kocha acheze mfumo wake... akiona kazidiwa ndo abadilishe mfumo... anajifanya kujua kwingi
Arteta anataka acheze back 3 na inverted full back atakae enda kucheza kati na rice ni kama kule man city na stones na sasa ni akanji ila too bad beki za leo hizo 3 apart from saliba wengine ni presha sanaHii ya beki wa kulia Partey ni kenge sana, full backs wapo kibao na wengine anataka kuwauza.
Hawa wapumbav wanaleta uboya hawajui tu.Wenger orphans naona mambo yamewakalia shingoni mnajua nimewawekea shingapi.