Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Genius Tetta
images.jpg
 
Hii ya beki wa kulia Partey ni kenge sana, full backs wapo kibao na wengine anataka kuwauza.
Arteta anataka acheze back 3 na inverted full back atakae enda kucheza kati na rice ni kama kule man city na stones na sasa ni akanji ila too bad beki za leo hizo 3 apart from saliba wengine ni presha sana
 
Mjinga mmoja anakosa big chances 2

Na hii siyo bahati mbaya coz we all know huyu mwana ana poor finishing

Watu unawaambia hii timu haishindi kama ambavyo inatakiwa iwe wanaokota maneno online wanakuletea
 
Back
Top Bottom