Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,396
Navumilia kuweka akiba ya maneno kwa Havertz naona nitashindwa, it is like we have nine players on the pitch
Hii ya beki wa kulia Partey ni kenge sana, full backs wapo kibao na wengine anataka kuwauza.Kocha acheze mfumo wake... akiona kazidiwa ndo abadilishe mfumo... anajifanya kujua kwingi
Arteta anataka acheze back 3 na inverted full back atakae enda kucheza kati na rice ni kama kule man city na stones na sasa ni akanji ila too bad beki za leo hizo 3 apart from saliba wengine ni presha sanaHii ya beki wa kulia Partey ni kenge sana, full backs wapo kibao na wengine anataka kuwauza.
Hawa wapumbav wanaleta uboya hawajui tu.Wenger orphans naona mambo yamewakalia shingoni mnajua nimewawekea shingapi.