Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta anajiona ni gwiji kwenye ukocha kumbe hamna kitu why unamforce Partey acheze kulia,Kai ni usajili mbovu na yeye mwenyewe anajua ila anachofanya anamuanzisha ili kuonekana hajakosea kumsajili takataka,msimu huu top four hatuigusi.
 
KAI HAVERTZ toka akiwa Chelsea kuna baadhi ya mashabiki wa timu hiyo walikuwa wanamlinda na kumtetea kisa tu alifunga goli la pekee kwe fainali ya UEFA. Yaani ata akikosea wanamtetea niliwaona wa ajabu sana, mchezaji acheze hovyo hovyo eti anatetewa kisa tu alifunga goli. Huo ni upumbavu mkubwa sana

Kaja Arsenal kabla ata hajasajiliwa Hamisi na genge lake walimpa sifa utadhani ni mchezaji wa maana basi kumbe ujinga ujinga. Huyu HAVERTZ ni takataka tu na nina shangaa sana ameweza vipi kuwa mchezaji wa mpira wa miguu. Havertz hakufaa kuwa mchezaji wa mpira wa miguu ilifaa awe mchezaji wa rede. Mchezaji gani amelegea mithili ya mrenda.

Yule dogo ni hajui mpira analazimisha tu.
 
Kuanzia dk ya 29 kidooogo kai kagusa gusa mpira.
Kapiga pasi moja nzuri kwa declan, ikaenda kwa trossard, trossard martineli, kipa akaokoa.

Akapiga ile assist ya offsidena nina mashaka ile kama alikosea fulani hivi.. odergard akaweka kambani ila ndio offside.
 
Hamis sijui mpira anaangaliaga kwenye Tv za chogo,unawezaje kumsifia kai harvets kwa uzururaji anaoufanya yaani timu inaposses mpira dk zote inakosa wachezaji wenye maamuzi y kikubwa kukill game af unamsifia mzururaji ambae wengn wanapambn kuleta matokeo yeye anapress anapress nini wakati sisi ndio tunaishi na mali muda wote??
Ikiwezekana tufungwe tu arteta ameanza kuleta kiburi...
Yaan umuache smith rowe,jesus,nketiah,zinchenko umpake mafuta mzururaji
 
Back
Top Bottom