Tuachie Kai wetu, huoni anavyopress vizuriDk ya 27 naona kai anaruka ruka tu,mchango wake kwenye kucheza naona mdogo nahisi ndio mchezaji aliyegusa mpira mara chache zaidi ukimtoa kipa.
Ana press button ama 🤣Tuachie Kai wetu, huoni anavyopress vizuri
Haaaaa bonge la chezaji.MOTM Havertz au vipi?
Uko wapi, kama upo porini kama kina sisi, azamtv kupitia UTV wanaonesha game.Hakuna mwenye link Leo?
Pimbi kweli huyu kocha.Arteta anajiona ni gwiji kwenye ukocha kumbe hamna kitu why unamforce Partey acheze kulia,Kai ni usajili mbovu na yeye mwenyewe anajua ila anachofanya anamuanzisha ili kuonekana hajakosea kumsajili takataka,msimu huu top four hatuigusi.
Search kora liveWakuu amn mwenye link ya hii game ya arsenal
niko moshi ila kwenye bars naona ni manyumbu na yanga zinaonyeshwaUko wapi, kama upo porini kama kina sisi, azamtv kupitia UTV wanaonesha game.