Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

GM6 ni moja wa wachezaji waliocheza game nyingi sana mwaka jana na mwaka juzi Arteta anapata kiburi cha kumuweka nje kwa sababu anawigo wa machaguo mengi pale nyuma, kama ilivyo kwa saka akipatikana mchezaji mwenye angalau aslimia 70 ya anachokitoa Saka na yeye atapata muda wa kupumzika kidogo. Sina shaka kabisa na uwezo wa GM6
Naona arteta kaamka, GM6 alikuwa ana makosa mengi mnooo,wengine tulikuwa tukiyaona,watu wakasema ni sababu ya left-footer lazima acheze mfumo unahitaji hivyo
 
Hii position ya partey inaleta matatizo kwenye kuzia, hasa wapinzani wakipora mpira kisha wakija kwa speed,partey anakuwa hayupo eneo la kukaba.

Game ya kwanza ilikuwa hivi hivi, wapinzani walipoamua kutumia upande wetu wa kulia , kina elanga walitishia uhai wetu.
 
Back
Top Bottom