Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Ukimsema Havertz watakutoa roho humu
Naona arteta kaamka, GM6 alikuwa ana makosa mengi mnooo,wengine tulikuwa tukiyaona,watu wakasema ni sababu ya left-footer lazima acheze mfumo unahitaji hivyoGM6 ni moja wa wachezaji waliocheza game nyingi sana mwaka jana na mwaka juzi Arteta anapata kiburi cha kumuweka nje kwa sababu anawigo wa machaguo mengi pale nyuma, kama ilivyo kwa saka akipatikana mchezaji mwenye angalau aslimia 70 ya anachokitoa Saka na yeye atapata muda wa kupumzika kidogo. Sina shaka kabisa na uwezo wa GM6
Leno anataka kumuonyesha arteta kwamba alikurupuka
Fulham umeshaanza kumpa dozi yake? Au tungoje kwanza uovalodi kiungoMsimu huu tunatoa dozi kulingana na Hali ya mgonjwa


Leo kazi yangu moja tu, kutizama mazuri ya kai anayoimbwa kuwa anayo...