Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chief unajua kua upande wote wa Tomi, Kai na Martinelli ulikua hovyo leo?

Mipira aliyokua anaomba Rice ilitakiwa iombwe na Kai
Castr katika mashabiki wachache wa Arsenal wewe ni miongoni mwao ambao hua unaangalia mpira kwa jicho la 3.
Hayo makosa wenzako karibia wote hawakuyaona kutokana na kutanguliza ushabiki zaidi kuliko uhalisia.
Ila humu nakuhakikishia utaishia kutukanwa tu na kuonekana ni mamluki.
Humu ili uonekane wewe ni pure Arsenal fan hutakiwi kukosoa makosa ya wazi direct, ukitaka kukosoa kwanza unasifia halafu ndio unachomekea hayo makosa kiujaujanja pasi wenye hati miliki ya kua mashabiki wa Arsenal kukushtukia.
 
Mi nashangaa watu wanalalama jamaa hajacheza vzuri....Kila nikijaribu ku review sioni wapi amezingua mselašŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…....ila nafasi ya Trossard ipo...Nketiah ataanza kukaa benchi sasahv maana bdo ana utoto mwingi
Kai is shit Wala hatuhitaji kuzunguka zunguka!! Yupo slow, Hana physicality ya kutosha, anashindwa kulink na martinelli, hawezi kutoa pasi za mwisho Wala kumalizia vizuri!!

The guy is utter nonsense, kama ambavyo Arteta alibugi kwa Willian basi huyu ni Yale Yale. Na Arteta akizidi mng'ang'ania ndio tunazidi kuzama atakuja kushtuka it's too late.

Huu msimu unaweza ukawa wa mwisho kwa Arteta maana kapewa pesa ila anaanza experiment za ajabu ajabu Ili tu kujustify uwepo wa Havertz.
 
Kai is shit Wala hatuhitaji kuzunguka zunguka!! Yupo slow, Hana physicality ya kutosha, anashindwa kulink na martinelli, hawezi kutoa pasi za mwisho Wala kumalizia vizuri!!

The guy is utter nonsense, kama ambavyo Arteta alibugi kwa Willian basi huyu ni Yale Yale. Na Arteta akizidi mng'ang'ania ndio tunazidi kuzama atakuja kushtuka it's too late.

Huu msimu unaweza ukawa wa mwisho kwa Arteta maana kapewa pesa ila anaanza experiment za ajabu ajabu Ili tu kujustify uwepo wa Havertz.
Endelea kuotašŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…...ni wpi kwny mechi alitakiwa kutoa assist akashindwa kutoa leošŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…...kuhusu Arteta kufukuzwa nadhani huijui Arsenal vzuri....Rudi nyuma angalia tendency ya makocha walofukuzwa walifanya nn mpk kufukuzwa
 
Endelea kuota...ni wpi kwny mechi alitakiwa kutoa assist akashindwa kutoa leo...kuhusu Arteta kufukuzwa nadhani huijui Arsenal vzuri....Rudi nyuma angalia tendency ya makocha walofukuzwa walifanya nn mpk kufukuzwa
Watu wanajiongelea tu, Arteta afukuzwe
 
Understand Arsenal have no intention to sell Gabriel MagalhĆ£es despite Al Ittihad interest ļøļø #AFC

Arsenal not even intentioned to indicate a price tag for Brazilian centre back at this stage. He’s expected to stay.

Fabrizio Romano
 
Arteta on the Tomiyasu second yellow:

"I prefer not to make comments because for me it’s so obvious"

(@kayakaynak97 )
 
Jamie Carragher -

"I actually feel sorry for Tomiyasu because I think the role of Thomas Partey initially. Now Kai Havertz actually picks the ball up. And the time when he gets it and picks the ball up ends up being about 20 seconds himself. But I think Havertz has a look then throws it to Tomiyasu.

ā€œI don’t think Tomiyasu’s actually trying to waste time. I think he’s actually looking for a throw-in, to get it in quickly. He actually ran to pick up the ball. He wasn’t slow. I can understand the referee. But he’s almost took one for the team.ā€

(@tbrfootball )
 
Declan Rice:

"We completely dominated the match, putting our bodies on the line to get the three points."

(@TrendEPL )
 
Arteta (Tomiyasu red)



ā€œIf that is the case we will have enjoyable games 8 against 8 all seasonā€
 
MOT
20230822_070516.jpg
 
Declan Rice:

ā€œIf you want to win the Premier League, if you want to be up there at the end - These are the stadiums you’ve got to come to and show character to pluck out the three points.ā€

@TikiTakaConnor.
20230822_070516.jpg
 
| Declan Rice

ā€œAgainst Nottingham Forest we played a diamond in midfield and I was on the left of the diamond and tonight I was the single pivot so I dropped back one spot.

ā€œBut in the last four weeks I have learned so much, I am learning different ways of playing the position, constantly on the move, learning how we build up, learning how we play as a team.

ā€œI am really trying to test myself because to play for Arsenal, to play at the top level, you need to be one of the best and I am eager to keep learning and keep flourishing.ā€

[@SkySportsPL]
 
Only 2 teams defeated Crystal Palace at Selhurst Park in the last 10 league games.


Arsenal and Manchester City. Both were 1-0 wins.


Not an easy away ground by any means.


Mission accomplished
 
Watu wanachuki na kai ,hata siku asipocheza watasema amezingua ,hii chuki waliambukizwa na mashabiki wa Chelsea
Wanakariri, Mimi mwenyewe sikufurahishwa na performance ya Kai last games. Lakini nilijua ataendelea kuimprove taratibu, game ya jana sikutarajia atacheza vile, ndiyo maana nazidi kuwa na matumaini kuwa ataendelea kuimprove zaidi ya hapo.

Tutafutie hitting map yake, au statistics zake tuone mkuu
 
Only 2 teams defeated Crystal Palace at Selhurst Park in the last 10 league games.


Arsenal and Manchester City. Both were 1-0 wins.


Not an easy away ground by any means.


Mission accomplished
Jana kuna watu walikuwa wanajisahaulisha tu....ooh goli la penalty sijui ninini...warudi mechi ya Man City waloenda kucheza na jamaa pale waone hlo goli lao moja Man City walopata lilikuwa la kawaida au PenaltyšŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…šŸ˜…....ndo maana mi nikiona mtu anaponda namchekiiiiii alaf nabaki kucheka....Crystal Palace ya hyu Babu Roy Hodgson ni wagumu kishenzi wakiwa pale kwao....ila kama kawaida kwa timu kama hzi ni kuficha mpira tu....wabaki wanakimbiakimbia uwanjani 🤣🤣🤣....ila nilipenda substitution za Arteta....
 
Naona Antony Masebene naye anataka kukutwa na kesi....mke wake anaenda kumshtaki kwa unyanyasaji mahakamani....watawaua Man U jamani...hyu naye akiwekwa pembeni si timu itakufa...maana jamaa huwa akiwepo uwanjani timu inakabia juu kule mbele....yaani akitoka timu inaelemewa kabisa🤣🤣🤣🤣
Understand Arsenal have no intention to sell Gabriel MagalhĆ£es despite Al Ittihad interest ļøļø #AFC

Arsenal not even intentioned to indicate a price tag for Brazilian centre back at this stage. He’s expected to stay.

Fabrizio Romano
 
Back
Top Bottom