Mbona watu wanalazimisha kai afunge ndo wamuone kacheza vizuri... majukumu yake ya huku arsenal ni tofauti na alivyokuwa chelsea. Huku anacheza 8
Enhe endelea kutuelimisha.Kai amecheza vzuri sana...ulitaka afunge mkuu😅😅😅...hzi kadi za hyu refa sijazielewa kabisa....au kuna agenda ya Siri dhidi yetu....kadi ya kwanza alitakiwa amlambe Kai maana ndo alichukua mpira akakaa nao akampa Tomiyasu....mjapani wa watu anataka kurusha anakula kadi....ya pili ni too soft...hii mirefa ya Uingereza Ina ufala Fulani hivi
We need to learn from City, title contenders always avoid redcard
Huoni aliyekuja kutoa elimu ni mwingine?Si umtaje tu huyo mtu mwenyewe kua ni Mc Hamisi Masingeli mbona unaleta konakona nyingi we Castro Oil![]()
Hii kadi ya kwanza ya Tommy ni ujanja, maybe angepesa Kai sawa.
Mi nashangaa....hiki kitabia cha kumchukia jamaa wameambukizwa kutoka kwa akina Mkohoti...


Kai ni kai tu ndugu yangu arsenal2004 huyu jamaa ni vile anapakwapakwa poda sana na Mc Masingeli ila mpaka katikati ya msimu wote humu mtakua mnamtukana.Moja ya wachezaji niliokuwa nawahusudu pale Chesiiiiii ni Kai...I'm glad we have him...anacheza mpira wa kikubwa sanaKai ni kai tu ndugu yangu arsenal2004 huyu jamaa ni vile anapakwapakwa poda sana na Mc Masingeli ila mpaka katikati ya msimu wote humu mtakua mnamtukana.
After looking at the replay Tomiyasu’s second yellow was harsh
Kuelimishwa nn yaani mkuu😅😅😅...mpira si tumeangalia wte...wapi jamaa kakosea....mi nimeona alotuchelewesha leo ni kijana wetu Nketiah kushindwa kuweka kambani ile nafasi alopataEnhe endelea kutuelimisha.
Huoni aliyekuja kutoa elimu ni mwingine?


huyo arsenal2004 ni chawa kindakindaki wa Mc Masingeli, nahisi Masingeli akipiga pesa za betting hua anampozaga jamaa kwa kumnunulia bando la Gb1.5Kwa kucompare na game iliyopita, Kai Leo kacheza vizuri, binafsi ameanza kunipa matumaini ya kuzidi kuimproveKama kuna mtu anasubiri Kai afunge huyo ndiyo atajikuta anakesha.
Kwani mbona Jesus hua hafungi na tunakubaliana kacheza vizuri. Au Partey? Na hata Rice leo kacheza vizuri in fact mi sikutegemea kuona hii activeness na kuhusika na game kama alivyofanya leo.
Ila ukipoint Kai ni hovyo unaulizwa kama kwa vile hajascore. Mnauliza maswali ya kitoto, mpira siyo magoli pekee.
Mi nashangaa watu wanalalama jamaa hajacheza vzuri....Kila nikijaribu ku review sioni wapi amezingua msela😅😅😅....ila nafasi ya Trossard ipo...Nketiah ataanza kukaa benchi sasahv maana bdo ana utoto mwingiKwa kucompare na game iliyopita, Kai Leo kacheza vizuri, binafsi ameanza kunipa matumaini ya kuzidi kuimprove
Mkuu unanituhumu kwa mambo ambayo hayapo kabisa😅😅😅...mm huwa naangalia mambo kwa mtazamo wangu.... coincidentally huwa inatokea kwa asilimia kubwa tunakubaliana na Brother Hamis....Sasa unataka nimponde Kai wakati anacheza fresh....nimkubali Antony Masebene wakati unaona kabisa kile ni kituko....nimkubali Mudryk wakati unaona ule ni utapeli wa waziwazi😅😅😅huyo arsenal2004 ni chawa kindakindaki wa Mc Masingeli, nahisi Masingeli akipiga pesa za betting hua anampozaga jamaa kwa kumnunulia bando la Gb1.5
Sawa chawa pro max, Masingeli mikeka yake ya jana yote imechanika, muhindi kampangusa hivyo wiki hii hamna bando ya burebure, yeye mwenyewe asubuhi alikua analalamika amekopa bando la SongeshaMkuu unanituhumu kwa mambo ambayo hayapo kabisa...mm huwa naangalia mambo kwa mtazamo wangu.... coincidentally huwa inatokea kwa asilimia kubwa tunakubaliana na Brother Hamis....Sasa unataka nimponde Kai wakati anacheza fresh....nimkubali Antony Masebene wakati unaona kabisa kile ni kituko....nimkubali Mudryk wakati unaona ule ni utapeli wa waziwazi
![]()






Chief unajua kua upande wote wa Tomi, Kai na Martinelli ulikua hovyo leo?Kwa kucompare na game iliyopita, Kai Leo kacheza vizuri, binafsi ameanza kunipa matumaini ya kuzidi kuimprove