Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Palace wamenyimwa penati ya wazi
Puliza filimbi mzeeView attachment 2724692
images%20(16).jpg
View attachment 2724694View attachment 2724693
 
Arsenyau poleni kwa kubana phumbu muda mrefu, Palace wamenyimwa penalt ya wazi baada ya Rice kumvuta na kumsukuma kwa makusudi Eze ndani ya box.
Jini katoka ila mganga yu hoi taabani,
Yellow card ya pili aliyopewa Tomiyasu ilikua ni nyepesi sana, sidhani kama kuna foul yoyote aliyoifanya pale zaidi ya kugusa tu mgongo.
1692001519149.jpg
 
Kuna mtu atakuja kusifia tulivycheza.

Atamsifia Kai pia

Vumilieni kidogo tujifunze toka kwake
Kai amecheza vzuri sana...ulitaka afunge mkuu😅😅😅...hzi kadi za hyu refa sijazielewa kabisa....au kuna agenda ya Siri dhidi yetu....kadi ya kwanza alitakiwa amlambe Kai maana ndo alichukua mpira akakaa nao akampa Tomiyasu....mjapani wa watu anataka kurusha anakula kadi....ya pili ni too soft...hii mirefa ya Uingereza Ina ufala Fulani hivi
 
Arsenyau poleni kwa kubana phumbu muda mrefu, Palace wamenyimwa penalt ya wazi baada ya Rice kumvuta na kumsukuma kwa makusudi Eze ndani ya box.
Jini katoka ila mganga yu hoi taabani,
Yellow card ya pili aliyopewa Tomiyasu ilikua ni nyepesi sana, sidhani kama foul yoyote aliyoifanya pale zaidi ya kugusa tu mgongo. View attachment 2724699
Mkuu nyie pigeni kelele tu😅😅😅....nimeangalia mpira nikaona palace walikuwa hatari zaidi tulipokuwa tumetimia ila tulivyopungua na wao wakapoa kama maji mtungini😅😅😅...point 3 kibindoni....on to the next 1
 
Back
Top Bottom