arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Atakuwa yupo Ibiza anakula pensheni yake...Wana Gunners hivi dirisha si linafungwa ter 1 Mwezi wa 9?
Pia naomba kujua De Gea Amefia wapi?
Atakuwa yupo Ibiza anakula pensheni yake...Wana Gunners hivi dirisha si linafungwa ter 1 Mwezi wa 9?
Pia naomba kujua De Gea Amefia wapi?
Magenge ya wahuni hili jukwaa wataona Kama kituo Cha polisi
Upo sahihi mkuu ila huo mda mpaka timu ije ikae sawa unakuta wenzako washachukua point za kutoshaPochetino mapema Sana asee, wachezaji wengi wapya ndio kawapata wiki iliyopita,hatagombea ubingwa ninachoamini ila atapush top 4 vzr tu kuliko manjesta ya Ten hag
Kuna factors zinazoitafuna Chelsea na soon naona watazi overcome
Most dangerous player wa Chelsea ni nani?Pochetino mapema Sana asee, wachezaji wengi wapya ndio kawapata wiki iliyopita,hatagombea ubingwa ninachoamini ila atapush top 4 vzr tu kuliko manjesta ya Ten hag
Kuna factors zinazoitafuna Chelsea na soon naona watazi overcome
Pole Sana masterHamiss 77 mkuuu hata kuja kunipa pole hakuna hatari
Kwasasa mapema Sana mpe muda , bado kile kikos Cha Chelsea anaki arrange , ngoja aanze na kina Caicedo, Lavia , Enzo,Most dangerous player wa Chelsea ni nani?
Pochettino nimejudge kutokea alipokua Spurs mpaka psg
Sahihi lakin sidhan Kama Chelsea msimu huu malengo ni ubingwa ,haitachukua mechi nyingi kuiona Chelsea yenye kuokota pointsUpo sahihi mkuu ila huo mda mpaka timu ije ikae sawa unakuta wenzako washachukua point za kutosha
Mimi Pochettino sisemi siyo kocha kwa ajili ya hapa alipo nasema kwa huko kote alipotokea mpaka hapa alipo.Kwasasa mapema Sana mpe muda , bado kile kikos Cha Chelsea anaki arrange , ngoja aanze na kina Caicedo, Lavia , Enzo,
Kuna changamoto amekutana nayo na Ligi imeshaanza , Pochetino sio kocha mbaya kimbinu .
Soon tutaona akiokota points ,lait Jana Enzo angefunga ile penalty ,leo mashabiki wangemsifia Pochetino, ile penalty ilikuwa iwafanye Chelsea waongoze .
Kwa Mimi mapema Sana kuona Kama Poch ni kocha mbaya ,nasubiri angalau mech 10
7hag nilimuona ni kocha wa kawaida mapema sababu ya Sajili zake Kama za kina Anthony,Malacia , casemiro 30+,
Kwa Poch nashindwa kutoa kauli mapema sababu ndio kwanza kawekewa wachezaji wazuri na Ligi imeanza, Kuna mechi kadhaa hapa ata shake kidogo ,
Mimi Pochettino sisemi siyo kocha kwa ajili ya hapa alipo nasema kwa huko kote alipotokea mpaka hapa alipo.
Goli alilofunga Antonio la 2 ni wachezaji wangapi wanaweza kufunga? Chelsea wana mchezaji wa hivyo? ST wao Jackson alikua anagusa mipira mara ngapi?
With back 3 hawezi anza na hao viungo watatu. Tujadili usajili wake "Kwanini Silva bado ni beki wa kutegemewa?" Pengine Silva kabakisha nusu msimu au msimu mmoja mrithi yuko wapi?
Crystal Palace manager Roy Hodgson on what he is expecting from #Arsenal on Monday night: 

Mungu atubariki afya na uhai tusubiri tuoneAna colwill , badiashile , Axel Disasi, wote hao ni ma CB, injury ya James ndio imemfanya Disasi acheze FB,
Poch ni kocha anayecheza mifumo mingi, na anajua kufundisha na kuimplement mifumo kutokana na wachezaji alionao ,
Thus why baada ya GW10 nitaangalia yupo wapi, ila kwasasa naona mapema Sana ukizingatia sajili nyingi anazotegemea Kama first eleven ndio zimeingia ,
Yah Mimi kwakweli najipa muda kwanza ,kuhusu 7hag sajili zake na anachotaka kukicheza niliona ni maji na mafuta ,Mungu atubariki afya na uhai tusubiri tuone
Naona anaweza anza Tomiyasu,palace wanacheza physical gamegame kama hi ya leo inamfaa sana tomiyasu akianza.. hususani maeneo ya pembeni kwenye eneo la ulinzi mana palace nawaona wakienda kulazmisha sna mipira ya cross.
Atapiga namba 3 kama kawaNaona anaweza anza Tomiyasu,palace wanacheza physical game
Roy Hodgson -