Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pochetino mapema Sana asee, wachezaji wengi wapya ndio kawapata wiki iliyopita,hatagombea ubingwa ninachoamini ila atapush top 4 vzr tu kuliko manjesta ya Ten hag

Kuna factors zinazoitafuna Chelsea na soon naona watazi overcome
Upo sahihi mkuu ila huo mda mpaka timu ije ikae sawa unakuta wenzako washachukua point za kutosha
 
Pochetino mapema Sana asee, wachezaji wengi wapya ndio kawapata wiki iliyopita,hatagombea ubingwa ninachoamini ila atapush top 4 vzr tu kuliko manjesta ya Ten hag

Kuna factors zinazoitafuna Chelsea na soon naona watazi overcome
Most dangerous player wa Chelsea ni nani?

Pochettino nimejudge kutokea alipokua Spurs mpaka psg
 
Most dangerous player wa Chelsea ni nani?

Pochettino nimejudge kutokea alipokua Spurs mpaka psg
Kwasasa mapema Sana mpe muda , bado kile kikos Cha Chelsea anaki arrange , ngoja aanze na kina Caicedo, Lavia , Enzo,

Kuna changamoto amekutana nayo na Ligi imeshaanza , Pochetino sio kocha mbaya kimbinu .

Soon tutaona akiokota points ,lait Jana Enzo angefunga ile penalty ,leo mashabiki wangemsifia Pochetino, ile penalty ilikuwa iwafanye Chelsea waongoze .

Kwa Mimi mapema Sana kuona Kama Poch ni kocha mbaya ,nasubiri angalau mech 10

7hag nilimuona ni kocha wa kawaida mapema sababu ya Sajili zake Kama za kina Anthony,Malacia , casemiro 30+,

Kwa Poch nashindwa kutoa kauli mapema sababu ndio kwanza kawekewa wachezaji wazuri na Ligi imeanza, Kuna mechi kadhaa hapa ata shake kidogo ,
 
Upo sahihi mkuu ila huo mda mpaka timu ije ikae sawa unakuta wenzako washachukua point za kutosha
Sahihi lakin sidhan Kama Chelsea msimu huu malengo ni ubingwa ,haitachukua mechi nyingi kuiona Chelsea yenye kuokota points

Kuna matatizo madogomadogo tu, kuhusu mfumo wa uchezaji nikama ameshauweka Sasa ,ni swala la wachezaj na quality iliyopo kuanza kufanya kazi, kitu ambacho naona hakipo mbali ,siokweli kwamba Chelsea anacheza vibaya kabisa Kama last season,
 
Kwasasa mapema Sana mpe muda , bado kile kikos Cha Chelsea anaki arrange , ngoja aanze na kina Caicedo, Lavia , Enzo,

Kuna changamoto amekutana nayo na Ligi imeshaanza , Pochetino sio kocha mbaya kimbinu .

Soon tutaona akiokota points ,lait Jana Enzo angefunga ile penalty ,leo mashabiki wangemsifia Pochetino, ile penalty ilikuwa iwafanye Chelsea waongoze .

Kwa Mimi mapema Sana kuona Kama Poch ni kocha mbaya ,nasubiri angalau mech 10

7hag nilimuona ni kocha wa kawaida mapema sababu ya Sajili zake Kama za kina Anthony,Malacia , casemiro 30+,

Kwa Poch nashindwa kutoa kauli mapema sababu ndio kwanza kawekewa wachezaji wazuri na Ligi imeanza, Kuna mechi kadhaa hapa ata shake kidogo ,
Mimi Pochettino sisemi siyo kocha kwa ajili ya hapa alipo nasema kwa huko kote alipotokea mpaka hapa alipo.

Goli alilofunga Antonio la 2 ni wachezaji wangapi wanaweza kufunga? Chelsea wana mchezaji wa hivyo? ST wao Jackson alikua anagusa mipira mara ngapi?

With back 3 hawezi anza na hao viungo watatu. Tujadili usajili wake "Kwanini Silva bado ni beki wa kutegemewa?" Pengine Silva kabakisha nusu msimu au msimu mmoja mrithi yuko wapi?
 
Mimi Pochettino sisemi siyo kocha kwa ajili ya hapa alipo nasema kwa huko kote alipotokea mpaka hapa alipo.

Goli alilofunga Antonio la 2 ni wachezaji wangapi wanaweza kufunga? Chelsea wana mchezaji wa hivyo? ST wao Jackson alikua anagusa mipira mara ngapi?

With back 3 hawezi anza na hao viungo watatu. Tujadili usajili wake "Kwanini Silva bado ni beki wa kutegemewa?" Pengine Silva kabakisha nusu msimu au msimu mmoja mrithi yuko wapi?

Ana colwill , badiashile , Axel Disasi, wote hao ni ma CB, injury ya James ndio imemfanya Disasi acheze FB,

Poch ni kocha anayecheza mifumo mingi, na anajua kufundisha na kuimplement mifumo kutokana na wachezaji alionao ,

Thus why baada ya GW10 nitaangalia yupo wapi, ila kwasasa naona mapema Sana ukizingatia sajili nyingi anazotegemea Kama first eleven ndio zimeingia ,
 
Crystal Palace manager Roy Hodgson on what he is expecting from #Arsenal on Monday night:


"We’re expecting to play a potential Premier League winner. We’re expecting to see them come here and produce all their skills, and I think they will show us respect to make certain they bring their best game to Selhurst Park, unfortunately."
 
Mikel Arteta:

"We have to have a physical game. We have to be ready for that and now we have a squad more capable to play that (physical) game much better."


"You have to go to these grounds and impose yourself and it’s very difficult to do that.

They (Crystal Palace) are extremely well organised, they don’t concede too much and it’s going to be a tough test for us."
 
Ana colwill , badiashile , Axel Disasi, wote hao ni ma CB, injury ya James ndio imemfanya Disasi acheze FB,

Poch ni kocha anayecheza mifumo mingi, na anajua kufundisha na kuimplement mifumo kutokana na wachezaji alionao ,

Thus why baada ya GW10 nitaangalia yupo wapi, ila kwasasa naona mapema Sana ukizingatia sajili nyingi anazotegemea Kama first eleven ndio zimeingia ,
Mungu atubariki afya na uhai tusubiri tuone
 
Mungu atubariki afya na uhai tusubiri tuone
Yah Mimi kwakweli najipa muda kwanza ,kuhusu 7hag sajili zake na anachotaka kukicheza niliona ni maji na mafuta ,

Ila Pochetino naona kabisa anayo raman ya timu yake icheze vipi , so mashabiki wa Chelsea wampe muda ,wasimpe presha coz msimu huu hawagombei ubingwa EPL
 
Aanze Nani Leo pale langoni
20230821_070350.jpg
 
game kama hi ya leo inamfaa sana tomiyasu akianza.. hususani maeneo ya pembeni kwenye eneo la ulinzi mana palace nawaona wakienda kulazmisha sna mipira ya cross.
 
game kama hi ya leo inamfaa sana tomiyasu akianza.. hususani maeneo ya pembeni kwenye eneo la ulinzi mana palace nawaona wakienda kulazmisha sna mipira ya cross.
Naona anaweza anza Tomiyasu,palace wanacheza physical game
 
Jamaa hawataki kufanya biashara na sisi

Wametunyima laporte wanataja Bei kubwa

Manchester City simply have no interest in doing further business with Arsenal unless they put silly money on the table

(@RyanTaylorSport )
 
Mchezaji wa City akija Arsenal hapati shida kufit style yetu, wajomba washaona wanazidi kumuimarisha opponent


Mtu Kama Larpote angefika na kuanza mechi bila tatizo
 
Roy Hodgson -


"(Rice) has got strength, he's got energy, he understands the game very well. He gets from box to box, and when he's in each of the boxes, he does a really good job. He knows how to defend and he also has an eye for goal, so really he's the type of player that every person is looking for."

(@irishexaminer )
 
Back
Top Bottom