Rudi home page,gusa bars tatu zilizoko mkono wa kushoto juu,kisha gusa profile yako I mean avatar yako,itakupeleka kwenye profile yako,gusa sehemu iliyoandikwa posts,then fungua last post yako kwenye uzi wa arsenal baada ya hapo hakutakuwa na shida tenaNipe hiyo shortcut
Hii deal ikiwezekana ntafurahi sana.Keep eye on Ansu fati
Kwanini?Hii deal ikiwezekana ntafurahi sana.
Hamna kitu hapa bora pepe wazeeKeep eye on Ansu fati




Declan Rice ana uchezaji Fulani wa ki leadership sana. wapinzani wakijaribu kufanya move ya kutushambulia, nikimuona Rice karibu najua move ishakufa hiyo. Hata pass zake na anavyokaa na mpira, hauoni kama ataupoteza. Inshort jamaa anawafanya hata wengine wawe comfortableBinafsi nilienjoy sana game ya Notts forest, hasa Declan anavyosaidia build up, then kwenye 2nd phase role yake inachange anakuwa #8. Ni mid wachache sana #6 wanaosaidia build up, hata Rodrigo hausiki kwenye build up, role yake mara nyingi ni ku-screen opposition press, Gundogan alihusika pakubwa kwenye build up ya City na Guardiola alimtaka rice kama replacement ya Gundogan, this tells you a lot about Declan.
Wanajaza sana wachezaji Hawa jamaaChelsea have interest in Balogun. Arsenal want £50m but fully expect that price tag to increase for their London rivals.
(@JoshHollandFL )
Wakifika hyo hela tuwape tutafute watu wengine...mda hauko nasi kwa Sasa...tunahitaji replacement ya Timber ASAP....Mungu aepushilie mbali Saliba asipate majeraha makubwa tutarudi kulekuleChelsea have interest in Balogun. Arsenal want £50m but fully expect that price tag to increase for their London rivals.
(@JoshHollandFL )
Ndo vzuri Ili kifike kipindi dressing room Yao waanze kukwaruzana wachezaji maana Kila mtu atajiona mjuajiWanajaza sana wachezaji Hawa jamaa
Ila wakiclick vizuri Wana vikosi vya kutosha kupambana kwenye ligi na vikombe vingine piaNdo vzuri Ili kifike kipindi dressing room Yao waanze kukwaruzana wachezaji maana Kila mtu atajiona mjuaji
Smart sana.Declan Rice ana uchezaji Fulani wa ki leadership sana. wapinzani wakijaribu kufanya move ya kutushambulia, nikimuona Rice karibu najua move ishakufa hiyo. Hata pass zake na anavyokaa na mpira, hauoni kama ataupoteza. Inshort jamaa anawafanya hata wengine wawe comfortable
Hii taarifa kwamba tupo kwny mazungumzo ya kumsajili Cancelo Yana ukweli???....Balogun atakayefika bei auziweChelsea have had discussions with Florian Balogun representatives last night and today. Player has an offer from Monaco. Decision on future next week likely.
(@TheSecretScout_ )
Cancelo hapana ,cancelo anakaribia kujiunga BarcelonaHii taarifa kwamba tupo kwny mazungumzo ya kumsajili Cancelo Yana ukweli???....Balogun atakayefika bei auziwe