Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mimi naona hii game itakuwa na fluidity ambayo ni more diffensive uwepo wa saliba,white na timber ambao ni CB na partey ambaye ni DM kwangu hii inaniambia ingawa tunatafuta ushindi lakini tunaangalia usalama kwanza.
Kwa benchmark aliyoiweka jana city ya goli 3 ni kama amewapa presha counterparts wengine na atakayeingia kwa kujilipua asishangae akaacha points kwenye game 1
Pia kuna rotation upande uo, White wakati wa kushambulia atakua pembeni kufanya kama ambavyo hua anafanya pamoja na Saka hapo kuna kua na room ya Partey kua kama CCB pamoja na Timber na Saliba..


Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
 
Hata msogeze muda leo fimbo tu
Screenshot_20230812_144927_All%20Goals.jpg
 
Back
Top Bottom