Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
Hahaha! ishu popa mkuu...niko vacation kjjn kwetu huku Sitimbi, so i had to drove 50Km to taoo kuja iwai game game yenu, nkafika late....
Ila aiseee awa ndugu zangu wanajua mpira kuliko AW, kuna kina Thomas Mulambo apa wanachambua mpira mm sina mbavu....hahaha! et AW anatumia Masab@&ri kusajili.
Kwahio ulikuwa unalazimisha nikusalimie hili utoe maneno ya kejeli sio?
Ndio maana nilikula bati lol.