Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,690
- 1,293
Haya sasa......KOS nae sijui ndo vp tena.........
Imekuwaje mkuu? Tuko mbali na TV tujuze kinachoendelea
Haya sasa......KOS nae sijui ndo vp tena.........
vipi matokeo wakuu? Huku naona Ngeleja kafanya vitu vyake.
Kwa kikosi cha leo nawaombea mpate ata droo
Sunzu atawafaaa sana.Hakuna mtu mwenye uchu wa goli pale mbele, naona mipira inakosa mmaliziaji.
Hiko sio cha leo tu kaka, ndio regulars hawa msimu huu ukioondoa Gibbs, Wilshere, Walcoltt na Song