arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,357
- 4,402
Si wamemleta unfit Hojlund aje kutuchachafya kwny ligi Sasa wameshapigwa...dogo ni pancha tyri...na wasijichanganye wakamuanzisha kwny gemu yetu na wao maana watamtoa na machela uwanjani akiwa kwny mashine ya kupumulia....wanasajili vilema halafu wanakuja kutupigia kelele hmuUnamtisha Flano na Genge lake sasa