hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,279
- 26,657
Unamtisha Flano na Genge lake sasaWakimalizia na ule upande wa Saka kule basi watukabidhi tu kombe...tusisumbuane kukimbizana mechi 38 wakati tunajua kitakachotokea![]()
Unamtisha Flano na Genge lake sasaWakimalizia na ule upande wa Saka kule basi watukabidhi tu kombe...tusisumbuane kukimbizana mechi 38 wakati tunajua kitakachotokea![]()
DuuuhAfter failing the first part of his medical test , Rasmus Hojlund was forced to go to London for more checks, doctor told him it would take some months to get back to his best.
#MUFC
Si wamemleta unfit Hojlund aje kutuchachafya kwny ligi Sasa wameshapigwa...dogo ni pancha tyri...na wasijichanganye wakamuanzisha kwny gemu yetu na wao maana watamtoa na machela uwanjani akiwa kwny mashine ya kupumulia....wanasajili vilema halafu wanakuja kutupigia kelele hmuUnamtisha Flano na Genge lake sasa
OyaKwa taarifa za ndan kabisa nilizozipata kutoka vyanzo vya kuamibina ni hivi, Arteta amepanga kuwachezesha Raya na Ramsdale kwa pamoja.
Formation itakuwa 2-3-3-3. Golini Raya kushoto, Rambo kulia. Raya atakuwa anasaidiana na mabeki na kina Party Party KUOVALODI midfield area.
Hapo ball possession sisi 97% wao 3%.




Mimi huwa nasema wanadai na chuki , Yule dogo alifukuza had wakala ,akajiunga na wakala wa 7hag , taarifa zimetoka Leo kafeli vipimo ila ataendelea kucheza kwa tahadhari ,Si wamemleta unfit Hojlund aje kutuchachafya kwny ligi Sasa wameshapigwa...dogo ni pancha tyri...na wasijichanganye wakamuanzisha kwny gemu yetu na wao maana watamtoa na machela uwanjani akiwa kwny mashine ya kupumulia....wanasajili vilema halafu wanakuja kutupigia kelele hmu
Kwa taarifa za ndan kabisa nilizozipata kutoka vyanzo vya kuamibina ni hivi, Arteta amepanga kuwachezesha Raya na Ramsdale kwa pamoja.
Formation itakuwa 2-3-3-3. Golini Raya kushoto, Rambo kulia. Raya atakuwa anasaidiana na mabeki na kina Party Party KUOVALODI midfield area.
Hapo ball possession sisi 97% wao 3%.



10hag yupo on mission to destroy nyumbu gangMimi huwa nasema wanadai na chuki , Yule dogo alifukuza had wakala ,akajiunga na wakala wa 7hag , taarifa zimetoka Leo kafeli vipimo ila ataendelea kucheza kwa tahadhari ,
Huwa namwambia Flano kocha wake anafanya sajili za kitapeli








Flano ni nyumbu aliekomaa, haelewi, hasikii wala haoniNgoja Flano aje![]()



Yule Kama kenge aseeFlano ni nyumbu aliekomaa, haelewi, hasikii wala haoni![]()
Ukitrace back utagundua kabla ya kumsajili Rambo, tulimtaka sana Raya by then ila tukakaziwa ikashindikana. That means, arteta anamkubali zaidi Raya over Rambo na last season performance inaamua pia.Yaan Arteta anatafuta uchonganishi aisee
Ila naamini Raya kaja kaahidiwa nafasi
Lazima atakuwa kaambiwa atadaka UCL na FA ,
EPL amuachie Ramsdale
Kikubwa KUDUS atue Emirates baada ya Ishu ya Raya kumalizika ndani ya siku 2 hizi.Wakimalizia na ule upande wa Saka kule basi watukabidhi tu kombe...tusisumbuane kukimbizana mechi 38 wakati tunajua kitakachotokea![]()
Waweke clause ya obligation to buy akimaliza mkopo wake....kiukweli kabisa kwa Sasa yy ni chaguo la nne kwny nafasi yake...Zinny...Kiwior...sometimes Timber...Tomiyasu|| Real Sociedad and Arsenal are already in talks to acquire Kieran Tierney through a loan with a purchase option, a method preferred by the two clubs
[Via - @MatteMoretto / @Relevo-Tier 1
Nakumbuka ,Arteta alimtaka Sana Raya ,Ukitrace back utagundua kabla ya kumsajili Rambo, tulimtaka sana Raya by then ila tukakaziwa ikashindikana. That means, arteta anamkubali zaidi Raya over Rambo na last season performance inaamua pia.
Absolutely trueWaweke clause ya obligation to buy akimaliza mkopo wake....kiukweli kabisa kwa Sasa yy ni chaguo la nne kwny nafasi yake...Zinny...Kiwior...sometimes Timber...Tomiyasu
Kikubwa KUDUS atue Emirates baada ya Ishu ya Raya kumalizika ndani ya siku 2 hizi.
Uzuri wa Edu na Mikel always wana plan B ya kila usajili, though msimu huu tumefanikiwa kusajili plan A zetu zote tulizozitaka na kuonyesha zipo tayari kuja kwetu.Nakumbuka ,Arteta alimtaka Sana Raya ,
Sajili zake za mwanzo karibu zote ni Chaguo la 2 ,
Tuliwakosa kina Locateli , Vlahovic, n.k
Absolutely true
Kiukwel Tierney sio mnyumbulikaji, ku-integrate pale tunavyo overload bado hayupo vizuri