Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

After failing the first part of his medical test , Rasmus Hojlund was forced to go to London for more checks, doctor told him it would take some months to get back to his best.

#MUFC
Duuuh
 
Unamtisha Flano na Genge lake sasa
Si wamemleta unfit Hojlund aje kutuchachafya kwny ligi Sasa wameshapigwa...dogo ni pancha tyri...na wasijichanganye wakamuanzisha kwny gemu yetu na wao maana watamtoa na machela uwanjani akiwa kwny mashine ya kupumulia....wanasajili vilema halafu wanakuja kutupigia kelele hmu
 
Kwa taarifa za ndan kabisa nilizozipata kutoka vyanzo vya kuaminika ni hivi, Arteta amepanga kuwachezesha Raya na Ramsdale kwa pamoja.

Formation itakuwa 2-3-3-3. Golini Raya kushoto, Rambo kulia. Raya atakuwa anasaidiana na mabeki na kina Party Party KUOVALODI midfield area.

Hapo ball possession sisi 97% wao 3%.
 
Kwa taarifa za ndan kabisa nilizozipata kutoka vyanzo vya kuamibina ni hivi, Arteta amepanga kuwachezesha Raya na Ramsdale kwa pamoja.

Formation itakuwa 2-3-3-3. Golini Raya kushoto, Rambo kulia. Raya atakuwa anasaidiana na mabeki na kina Party Party KUOVALODI midfield area.

Hapo ball possession sisi 97% wao 3%.
Oya
 
Si wamemleta unfit Hojlund aje kutuchachafya kwny ligi Sasa wameshapigwa...dogo ni pancha tyri...na wasijichanganye wakamuanzisha kwny gemu yetu na wao maana watamtoa na machela uwanjani akiwa kwny mashine ya kupumulia....wanasajili vilema halafu wanakuja kutupigia kelele hmu
Mimi huwa nasema wanadai na chuki , Yule dogo alifukuza had wakala ,akajiunga na wakala wa 7hag , taarifa zimetoka Leo kafeli vipimo ila ataendelea kucheza kwa tahadhari ,

Huwa namwambia Flano kocha wake anafanya sajili za kitapeli
 
Kwa taarifa za ndan kabisa nilizozipata kutoka vyanzo vya kuamibina ni hivi, Arteta amepanga kuwachezesha Raya na Ramsdale kwa pamoja.

Formation itakuwa 2-3-3-3. Golini Raya kushoto, Rambo kulia. Raya atakuwa anasaidiana na mabeki na kina Party Party KUOVALODI midfield area.

Hapo ball possession sisi 97% wao 3%.

 
|| Real Sociedad and Arsenal are already in talks to acquire Kieran Tierney through a loan with a purchase option, a method preferred by the two clubs


[Via - @MatteMoretto / @Relevo-Tier 1
 
Yaan Arteta anatafuta uchonganishi aisee

Ila naamini Raya kaja kaahidiwa nafasi


Lazima atakuwa kaambiwa atadaka UCL na FA ,


EPL amuachie Ramsdale
Ukitrace back utagundua kabla ya kumsajili Rambo, tulimtaka sana Raya by then ila tukakaziwa ikashindikana. That means, arteta anamkubali zaidi Raya over Rambo na last season performance inaamua pia.
 
|| Real Sociedad and Arsenal are already in talks to acquire Kieran Tierney through a loan with a purchase option, a method preferred by the two clubs


[Via - @MatteMoretto / @Relevo-Tier 1
Waweke clause ya obligation to buy akimaliza mkopo wake....kiukweli kabisa kwa Sasa yy ni chaguo la nne kwny nafasi yake...Zinny...Kiwior...sometimes Timber...Tomiyasu
 
Ukitrace back utagundua kabla ya kumsajili Rambo, tulimtaka sana Raya by then ila tukakaziwa ikashindikana. That means, arteta anamkubali zaidi Raya over Rambo na last season performance inaamua pia.
Nakumbuka ,Arteta alimtaka Sana Raya ,

Sajili zake za mwanzo karibu zote ni Chaguo la 2 ,

Tuliwakosa kina Locateli , Vlahovic, n.k
 
Waweke clause ya obligation to buy akimaliza mkopo wake....kiukweli kabisa kwa Sasa yy ni chaguo la nne kwny nafasi yake...Zinny...Kiwior...sometimes Timber...Tomiyasu
Absolutely true
Kiukwel Tierney sio mnyumbulikaji, ku-integrate pale tunavyo overload bado hayupo vizuri
 
Nakumbuka ,Arteta alimtaka Sana Raya ,

Sajili zake za mwanzo karibu zote ni Chaguo la 2 ,

Tuliwakosa kina Locateli , Vlahovic, n.k
Uzuri wa Edu na Mikel always wana plan B ya kila usajili, though msimu huu tumefanikiwa kusajili plan A zetu zote tulizozitaka na kuonyesha zipo tayari kuja kwetu.

Nadhani hata Ishu ya KUDUS kuchelewa baina ya Ajax na Brighton sababu itakua ni sisi, kama kweli tunahitaji ku strengthen our RW and RCM-Kudus is real deal.
 
Back
Top Bottom