HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Tumewapa Clichy, Adebayor, Nasri, Toure, yaani vyuma haswaaa. Wao na sisi hatuna kunyimanaShida ambayo ipo City hawawezi fanya biashara tena na sisi...waendelee kutupa silaha kwli???...Tusahau tu kwakweli


Hey Wana Arsenal ,baadae nitashea uchambuzi wa mechi yetu vs Mancity ya Community shield ,nitagusia mambo kadhaa Kama
Pressing aliyokuwa anafanya Kai havertz kumfosi Ortega apeleke mpira upande wa kulia

️