Upo sahihi kabisa ,dogo Balogun nasikia Hana hata injury ,alipoanza tabia mbovu ,ndio maana hajapewa dakika , na ana mkataba wa miaka miwili, Arsenal wamemwambia ukitaka kuondoka wanaokutaka wafike Bei ,ndio anapost post mitandaon
Pepe anataka Arsenal imvunjie mkataba ,Arsenal isipate kitu, aende akapte signing fee ,Arsenal imemwambia wanaokutaka waje mezani
Ilitokea kwa Auba ,Ozil ,waliwekwa bench na mishahara mikubwa waliendelea kulipwa £350k per week ,
Walipoona itakula kwao maana bila kucheza unapotea kabisa ,Auba akakimbilia Barcelona akaomba Arsenal imuachie ,Ozil the same