Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nikurekebishe
Saka £250m
Martinel £195m
Odegard £200m
Saliba £120m
Timber £140m
Zinnny £180m
Kwakweli Kama Hojlund ana goli 9 kauzwa €85m

Anthony masebene goli 6 aliuzwa €100m

Mount goli 1 ndani ya mwaka na nusu kauzwa €65
 
Kwakweli Kama Hojlund ana goli 9 kauzwa €85m

Anthony masebene goli 6 aliuzwa €100m

Mount goli 1 ndani ya mwaka na nusu kauzwa €65
Kenge timu nzima itakua wodini baada ya wiki 3 Hadi 5

Nyumbu ndio 90% ya timu ni flop kabla ligi haijaanza, automatically inawafanya 10% waonekane flop

Livepunda ndio anaitafuta nuru, huku sehemu kubwa ni wazee wakiwa wanai-run project

Naiona epl ya city na arsenal for more than 5 years
 
Kuna timu zinazingia Sana , €30m kwa Balogun , Hawa Monaco angekuwa Balogun kwao wangetuuzia €70-80m


Arsenal rejected 30m euros from Monaco for Balogun. Monaco not giving up as they need to replace Embolo who is injured

(@lequipe
 
Kenge timu nzima itakua wodini baada ya wiki 3 Hadi 5

Nyumbu ndio 90% ya timu ni flop kabla ligi haijaanza, automatically inawafanya 10% waonekane flop

Livepunda ndio anaitafuta nuru, huku sehemu kubwa ni wazee wakiwa wanai-run project

Naiona epl ya city na arsenal for more than 5 years
Kumbe ni only 5 years?
Si tulikubaliana masterclass tactician Mikael Arteta anaenda kudiminate ligi for 10 years?
 
Kumbe ni only 5 years?
Si tulikubaliana masterclass tactician Mikael Arteta anaenda kudiminate ligi for 10 years?
Jitahidi usome kwa umakini mkuu

Arteta vs pep itachukua more than 5 years

Arteta as Arteta hii ligi Epl tutawawashia Moto mwanzo mwisho kwa zaidi ya miaka 10 mfululizo
Hiyo itakua piga nikupige
Ikitokea tumekosa ligi, Basi tupo second place
Na haitajirud second place kwa misimu miwili mfululizo

Soma Tena x 3
 
ndio maana kuna mashabiki wa timu nyingine huwa wanasema wanalichukulia hili jukwaa ni kama jukwaa la memes maana humu ndani kumejaa comedians.
Saka tunamuweka sokoni, wewe Kama nyumbu ebu jipangie bei
 
Jitahidi usome kwa umakini mkuu

Arteta vs pep itachukua more than 5 years

Arteta as Arteta hii ligi Epl tutawawashia Moto mwanzo mwisho kwa zaidi ya miaka 10 mfululizo
Hiyo itakua piga nikupige
Ikitokea tumekosa ligi, Basi tupo second place
Na haitajirud second place kwa misimu miwili mfululizo

Soma Tena x 3
hapo sawa nmekuelewa mkuu, maana ulivyosema miaka mitano nikashtuka kidogo nikajua umetugeuka.
 
Kuna timu zinazingia Sana , €30m kwa Balogun , Hawa Monaco angekuwa Balogun kwao wangetuuzia €70-80m


Arsenal rejected 30m euros from Monaco for Balogun. Monaco not giving up as they need to replace Embolo who is injured

(@lequipe
Ujue kinachofanya bei za wachezaji wengine kushuka ni behaviour yao kulazimisha transfer, yaani wanaamua tu, mara anapost post ujinga!

Kama Brighton walivyomkazia Caicedo pamoja na mbwembwe zake, nasi tunatakiwa kukaza kwa hawa wajinga wakina Pepe na Balogun, mchezaji anajiamulia tu hataki mkopo anataka kuondoka mazima wakati bado ana mkataba.

Kaa kwenye fridge mpaka mkataba uishe. Iwe both parties lose, siyo one party wants gain in expense of another party.
 
hapo sawa nmekuelewa mkuu, maana ulivyosema miaka mitano nikashtuka kidogo nikajua umetugeuka.
10 years in rows
FIMBO mwanzo mwisho

Nasikia magwaya mnamuuza? kwani ujinga anaoufanya Omama magwaya yeye kosa lake ni Nini lakini?
 
Ujue kinachofanya bei za wachezaji wengine kushuka ni behaviour yao kulazimisha transfer, yaani wanaamua tu, mara anapost post ujinga!

Kama Brighton walivyomkazia Caicedo pamoja na mbwembwe zake, nasi tunatakiwa kukaza kwa hawa wajinga wakina Pepe na Balogun, mchezaji anajiamulia tu hataki mkopo anataka kuondoka mazima wakati bado ana mkataba.

Kaa kwenye fridge mpaka mkataba uishe. Iwe both parties lose, siyo one party wants gain in expense of another party.
Upo sahihi kabisa ,dogo Balogun nasikia Hana hata injury ,alipoanza tabia mbovu ,ndio maana hajapewa dakika , na ana mkataba wa miaka miwili, Arsenal wamemwambia ukitaka kuondoka wanaokutaka wafike Bei ,ndio anapost post mitandaon


Pepe anataka Arsenal imvunjie mkataba ,Arsenal isipate kitu, aende akapte signing fee ,Arsenal imemwambia wanaokutaka waje mezani


Ilitokea kwa Auba ,Ozil ,waliwekwa bench na mishahara mikubwa waliendelea kulipwa £350k per week ,

Walipoona itakula kwao maana bila kucheza unapotea kabisa ,Auba akakimbilia Barcelona akaomba Arsenal imuachie ,Ozil the same
 
Upo sahihi kabisa ,dogo Balogun nasikia Hana hata injury ,alipoanza tabia mbovu ,ndio maana hajapewa dakika , na ana mkataba wa miaka miwili, Arsenal wamemwambia ukitaka kuondoka wanaokutaka wafike Bei ,ndio anapost post mitandaon


Pepe anataka Arsenal imvunjie mkataba ,Arsenal isipate kitu, aende akapte signing fee ,Arsenal imemwambia wanaokutaka waje mezani


Ilitokea kwa Auba ,Ozil ,waliwekwa bench na mishahara mikubwa waliendelea kulipwa £350k per week ,

Walipoona itakula kwao maana bila kucheza unapotea kabisa ,Auba akakimbilia Barcelona akaomba Arsenal imuachie ,Ozil the same
huyo wa miaka miwili angekuwa humble tu aendelee kucheza ili awe anajitafutia bei, atakuja kuwekwa kwenye benchi mpaka akose timu baadaye shenzy kabisa
 
10 years in rows
FIMBO mwanzo mwisho

Nasikia magwaya mnamuuza? kwani ujinga anaoufanya Omama magwaya yeye kosa lake ni Nini lakini?
Magwaya hana kosa Mkuu, shida yake ni kutaka kushindana na Masebe kwenye kufunga na kutoa assists,
Ila Magwaya assists na magoli yake ameyaelekeza zaidi kwenye nyavu ya timu yake.
 
Magwaya hana kosa Mkuu, shida yake ni kutaka kushindana na Masebe kwenye kufunga na kutoa assists,
Ila Magwaya assists na magoli yake ameyaelekeza zaidi kwenye nyavu ya timu yake.
IMG-20230808-WA0008.jpg
 
Back
Top Bottom