Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Lengo la kocha nadhani ilikua ni kuwapa dakika wengine ambao msimu uliopita hawakupata sana nafasi na ndicho kilichotucost baadhi ya wachezaji hawakua na match fitness, btw it was just another preseason game
Hapa sasa nimekuelewa Mkuu nadhani hatarudia tena hii mistake si unaona kwenye official page ya Arsenal Timber kawa Man of the match!
 
Sio kweli bhn,
kumfunga Omama au Kepa ata sholo mwamba anatosha sana pale mbele
 
Yaan wewe jamaa hujawahi kukosa majibu

Kwahiyo unafurahia kabisa Chelsea kuwatapeli mount

Mount Mimi namuona Kama veteran aliyemaliza mpira miaka miwili iliyopita

A Dutch David Moyes Erik 7 hag anamsajili mount ambaye ana Mwaka na nusu ana goli 1 na assist 1, eti ambadilishe ,

Wakati Kuna wachezaj wengi wazuri hapo manjesta kafeli kuwasaidia , mpaka hapo nikajua mount anaenda kuwa Moja ya Sajili za kitapeli episode 1,

Kama Kuna mchezaji Sina Shaka kabisa mmetapeliwa Basi ni mount .
 
Unapozungumzia sajili za kitapeli msimu huu naomba usiwasahau Mchele na Kai Harvez kwenye orodha yako.
 
Unapozungumzia sajili za kitapeli msimu huu naomba usiwasahau Mchele na Kai Harvez kwenye orodha yako.
Hujaona kazi zao Jana asee

Sisi kupigwa ngumu ,hatusajili ovyo ovyo

Angalia 7hag anamsajili mount akacheze hivi

Mount casemiro Bruno

Hiki kiungo hakina Controller wa mechi , Casemiro ni mkabaji tu ,akiwa na mpira Kama ana siafu miguuni ,Bruno ndiye mchezaji mzuri hapo

Kwa staili hiyo ni rahisi mchezaji kufeli
 

Kuchukua hio shilingi 20 isikufanye uone kama umemaliza kila kitu hio mbona si mara ya kwanza kuchukua ndo kombe lenu hilo, hakuna timu isiyopoteza muda unakumbuka game yenu na liverpool mlivyopoteza muda na bado mkakosa ushindi.

Newcastle ni title contender usifananishe na nyinyi bottlers. Sisi game zetu tano tu tukishinda zote basii ndo mjue mchezo umeisha bahati nzuri tumepewa timu za maana mapema.

Arsenal unauchukulia ubingwa sijuii kama nini yaani huna CF then unawaza ubingwa
kweli? Nakuambia tunza haya maneno wewe humalizi juu ya Aston villa .
 
Narudia tena...ww level zenu ni hao kina Aston villa na level zenu ni nafasi ya 6 kushuka chini....huna ubavu hata wa kwenda jino kwa jino na Tottenham tu...uje kutusumbua sisi...chezeni miaka kama 3 mzoeane hasa ndo mje kuanza kushindana na sisi ila kwa sasahv bado sana....top 4 ya mwaka jana ndo mwanzo na mwsho...na msimu huu mna points 6 zetu Sio 4 kama mwaka jana
 
Arsenyo kubeba hio shilingi 5 jana wanajiona tayari wameshakua mabingwa wa Epl, wamuulize Liverpool msimu ulioisha nae alichukua ngao kipi kimempata kwenye ligi.
 
Arsenyo kubeba hio shilingi 5 jana wanajiona tayari wameshakua mabingwa wa Epl, wamuulize Liverpool msimu ulioisha nae alichukua ngao kipi kimempata kwenye ligi. View attachment 2711010
Ya Liver sisi hayatuhusu....tunachojua sisi tumetwa community shield jana...hzo ngonjera zingine watani pelekeni huko....na tunachoelewa kingine kuna timu mechi ya nne ya ligi tunakutana nayo itupe points zetu 3 na magoli 3....hcho ndo tunachokijua sisi
 
Kudus to Brighton in doubt as player and club cant agree on a deal so far. Ajax want clarity on the matter in 48 hours

(@VI_nl )
 
Arsenyo kubeba hio shilingi 5 jana wanajiona tayari wameshakua mabingwa wa Epl, wamuulize Liverpool msimu ulioisha nae alichukua ngao kipi kimempata kwenye ligi. View attachment 2711010
Liverpool alijaza wazee kikos kizima ,ni wajinga tu waliokuwa wanaamini Liverpool angepigania ubingwa na Midfielders ina jumla ya umri miaka 130
 
Natamani KDB aumie kama miezi 6 awe bench ,then bernado silver aende barca ili mancity asitupe ushindani katika ligi .

still hata hilo likitokea bado kombe hamtachukua unajua hilo ishatokea kipindi kile na leicester city .
Man city kachukua kombe sio kisa kaifunga arsenal, Arsenal mmeshindwa kuchukua kombe si kisa mmefungwa na man city, game zilivyowakosesha ubingwa ni westham na soton
 
Jambo jingine ambalo Arsenal players nimeliona kwao ni wanajua kupiga penalties!nahisi hilo wadau hamjaliona kwa jicho la 3 and even Ramsdale kaanza kudaka at least penalties!
False hopes hizo ndugu yangu computerarsenal
Asenyo ni ileile tu hua ina mwanzo mzuri wa kuvutia sana na kujipa matumaini makubwa kupita maelezo, ila ligi inapoelekea ukingoni ndio uhalisia wenu hua mnouna wenyewe.
Hio shilingi 5 mliyopewa jana isiwahadae sana mkajipea matumaini hewa.




# Ngao sio kombe
 
Arsenyo kubeba hio shilingi 5 jana wanajiona tayari wameshakua mabingwa wa Epl, wamuulize Liverpool msimu ulioisha nae alichukua ngao kipi kimempata kwenye ligi. View attachment 2711010

Last season tulikuwa tunaingia kwenye box lenu maana yule kima DeGea ana mashaolin mengi lazima umfuate karibu sana ndo umfunge.
Ila huyu Omama daah. Hata kwa goal kicks za Ramsdale tu tutakuwa tunamfunga. Nimeshaanza kuwahurumia nyie manyumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…