Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mipira mirefu anayopiga Rambo au beki zetu
Zinamkuta Kai against 2, still Kuna mipira alikua anai-win anatoa then anatafuta chumba

Anashuka chini pia

Technically Kai ni mzuri mno
Acha masihara Kai wa Chelsea na wa leo ni the same person imagine fans wa Chelsea hawakulalamika tena kwa rival wao Arsenal hatujiulizi tu?
 
Timber anapiga full backs zote kwa usahihi wa juu Sana

Namaanisha hivi Kuna siku tutaingia hivi


...,.............................Jesus....................
.
.
.saka.........................................................martinel
.
.
...................rice........... partey.......... odegard.......
.
.
.
Zinny................saliba...........Kiwior...............timber
.
..
...........,...........................Raya......................
 
Wapo but another option ni Trossard not Kai atatuchelewesha
Kai Leo kakosa magoli but sio Big chances ,tuwe wakweli tuondoe negativity

Kwa wachambuzi hata ulaya huko wanamsfia Sana Kai alivyocheza vzr leo, ni humu tu Jf ndio nakuta negativity kuhusu Kai ,

Kacheza kwa usahihi Sana false 9 , hasa kwenye ku press,

Aongeze ball stricking yake tu

Ma CF wachache mkuu, sio kwamba manjesta wamependa kutoa €85m kwa Hojlund mwenye goli 9 au PSG kutoa €80m kwa Goncalo mwenye goli 19 Ligi ya 6 ulaya
 
Acha masihara Kai wa Chelsea na wa leo ni the same person imagine fans wa Chelsea hawakulalamika tena kwa rival wao Arsenal hatujiulizi tu?
Mkuu yaan reference yako kwa Kai ni mashabiki wa Chelsea kulalamika?

Seriously??


Mfumo wa Chelsea umewakataa wachezaji wangapi last season?

Cha kushangaza Kai ndiye alikuwa best player wao
 
Ana depression asikusumbue...akicheki pale nyuma ana Gomez na Matip kwakwli anachanganyikiwa....hvyo kuropoka ni kawaida kwqke
Ni vizuri FIFA wangepiga marufuku akili kisoda kama hizi kuchangia mada za mpira, huu ndio uhuru wa maoni kutema pumba unavyojisikia.
 
Kadri siku zinavyoenda zinazidi thibitisha kutomuachia Partey ulikua uamuzi sahihi zaidi
Mimi nilijua zilikuwa porojo tu Kama zile za Mwaka Jana za Xhaka had Mourinho akatuma ofa

Arteta sio mjinga amuachie Partey kirahisi

Tena na wasiwasi huenda Rice hajasajiliwa Kama DM , amesajiliwa wacheze na Partey kuimarisha kiungo kiwe imara
 
All-time most Community Shield trophies:

◎ 21 - Man Utd
◉ 17 - Arsenal
◎ 16 - Liverpool
◎ 9 - Everton
◎ 7 - Spurs
◎ 6 - Man City
◎ 4 - Chelsea, Wolves

The Gunners move outright 2nd.
 
TAYARI WAZEE TAYARI HUKO
Cry
20230806_204736.jpg
 
Niwapongeze arsenali kwa kutwaa FA community shield ni mwanzo mzuri kwenu.

Kwa leo wachezaji waliyonikosha ni.

1. Timba hapa mmelapa beki mahiri kweli kweli
2. Trossard huyu ni winger kamili. Dogo yupo vizuri kuliko Matinely
3. Partey huyu jini mkata umeme yupo vizuri muombe asipate majeraha msimu huu. Partey ndiyo atasababisha muwe title contenders.
 
Mimi nilijua zilikuwa porojo tu Kama zile za Mwaka Jana za Xhaka had Mourinho akatuma ofa

Arteta sio mjinga amuachie Partey kirahisi

Tena na wasiwasi huenda Rice hajasajiliwa Kama DM , amesajiliwa wacheze na Partey kuimarisha kiungo kiwe imara
Double pivotal. Playing with two defensive midfielders.
 
Halafu unasikia kuna wajinga kama kina Juve wanajileta kimbelembele na hela zao za mbuzi kumtaka Partey....hyu hauzwi kwa pesa yyte...wapite kushoto....kama Wana shida tuwape Pepe
Niwapongeze arsenali kwa kutwaa FA community shield ni mwanzo mzuri kwenu.

Kwa leo wachezaji waliyonikosha ni.

1. Timba hapa mmelapa beki mahiri kweli kweli
2. Trossard huyu ni winger kamili. Dogo yupo vizuri kuliko Matinely
3. Partey huyu jini mkata umeme yupo vizuri muombe asipate majeraha msimu huu. Partey ndiyo atasababisha muwe title contenders.
 
Back
Top Bottom