computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Acha masihara Kai wa Chelsea na wa leo ni the same person imagine fans wa Chelsea hawakulalamika tena kwa rival wao Arsenal hatujiulizi tu?Mipira mirefu anayopiga Rambo au beki zetu
Zinamkuta Kai against 2, still Kuna mipira alikua anai-win anatoa then anatafuta chumba
Anashuka chini pia
Technically Kai ni mzuri mno

.