Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kukumbusha sio dhambi, hili sinia mnalokabidhiwa leo hua halihesabiki kua ni kombe ingawa ni dalili njema kwa timu na inaongeza hamasa zaidi kwenye mechi zitazofata za ligi.
Nyingeza nikwamba unalichukuwa kutoka kwa nani?
 
Maoni yangu kuhusu hii mechi.

Ili kumfunga man city mpelekee mpira kwenye goli lake hata kama ni kwa kuushika just send it.

Arsenal hii ni bora ila inahitaji msaada sana wa kisaikolojia katika kuhandle presha za big match na decisive maches

Aliyetaka partey auzwe atafutwe na ashtakiwe kwa uhujumu.kiukweli kuna muda huwa najiuliza what if partey angekuwa city na akazungukwa na ile quality?

Odegard ajitazame kama captain, kwenye baadhi ya big match humuoni akikupa msaada unaohitaji.

We need a striker,a natural striker hata kama hawapo sokoni lakini tunamhitaji.option ya vilahovic ilikuwepo ila.... bila mshambuliaji wa kueleweka tunaweza kufika tumechoka au tukafia njiani.

G.maghaless anazingua na kocha inabidi amtazame au ampe bench kidogo.

Transitional football against city kwangu mimi naona ni suruhisho.cheza directly kuelekea golini.ukipoteza mpira fanya pressing .liverpool wanalijua hili na ndo maana city anachapikaga.

Kama tunataka kuendelea na hii possession football basi tunahitaji kiungo driver anayeweza kubeba mpira toka phase hii ya uwanja mpaka phase ile.hatuna proper ball carrier ambaye ni driver.kidogo trossard.Ila mwangalie bernaldo ndo utajua kwanini barca na psg wameleta hela na wakaambiwa hauzwi.
GENIUS!
 
Viwanja vya nyumbani vya Arsenal FC:
1. Emirates stadium
2. Wembley Stadium
3. Stamford bridge

Loading....4. Old Trafford
Tufunge kwanza hata goal 4 ndo uje hapa toka umezaliwa ujawai kuiona timu yako ikitufunga hata goal 4 unapika kelele hebu kasikie vibaya huko.

1689476232207.jpg
 
Nor true mention only one nani?tuna Saka Martinelli (Genius Trossard)Havertz Jesus Nketiah but goal scorer anayejua kunusa hatari hatuna kwa sasa
Kama Nan mkuu ,jamaa yupo sahihi,

Taarifa za chini chini zinasema January Arsenal ndio ataanza kuweka nguvu kusafa CF ,wa gharama kubwa Kama walivyowekeza pesa kwa Rice

Kumbuka Sasa labda Victor , lakin Kuna FFP

Leo tu tunaweza maliza dili la Raya kwa £30m, tutakuwa tumetumia £240m had Sasa ,na bado nasikia tutaongeza RW na RCB,
 
Arsenal's last five Community Shield games:

vs. Man City (2014)
vs. Chelsea (2015)
vs. Chelsea (2017)
vs. Liverpool (2020)
vs. Man City (2023)

Always winning at Wembley.
20230806_210729.jpg
 
Kwa huu ushindi wa papatu papatu,sasa hakuna wa kumfunga hamis77 mdomo,atatawala jukwaa kila sekunde.
papatu Tena duh

Hujaona Moto aliowashiwa shoga enu mama city alipopata goli?

Yaan Arsenal hii hapo Zinny hakuwepo ,nje Kuna mafundi kina Trossard ,Jesus nje wiki 6

Huogopi?
 
Seriously mkuu?hope its a joke
Mm naona mnashindwa kuelewana ,tunataka CF ,ila tukumbuke kwasasa Kama tunamtaka CF class kabisa ,Basi tuwe na subira labda January klabu itumie pesa ya kutosha Kama kwa Rice

Kwasasa tumeshatumia £240m tukikamilisha usajili wa Raya leo,

Bado Kuna RW na RCB cover ya Saliba nasikia ni Diomonde


Mpaka hapo tutakuwa tumegonga £300m kasoro

Hivo Kama tunataka CF bas lazima awe wa. £100m

Hawa wa £50m ndio kina balogun au nketiah ambao tunao
 
Back
Top Bottom