allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,322
- 10,887
Hamna timu hapaShukran Kama umetoa hongera ,maana flano wewe ni kuponda tu,
Mm mkifanyaga vzr huwa nawapa maua yenu View attachment 2710329
Hamna timu hapaShukran Kama umetoa hongera ,maana flano wewe ni kuponda tu,
Mm mkifanyaga vzr huwa nawapa maua yenu View attachment 2710329
Nyingeza nikwamba unalichukuwa kutoka kwa nani?Kukumbusha sio dhambi, hili sinia mnalokabidhiwa leo hua halihesabiki kua ni kombe ingawa ni dalili njema kwa timu na inaongeza hamasa zaidi kwenye mechi zitazofata za ligi.
AtoeJosh Kroenke is with the team.
Anatoa pesa nyingine za usajili soon
Leo Raya to Arsenal here we go ,soon
ASAP kwa ajili ya clinical forwardGENIUS!Maoni yangu kuhusu hii mechi.
Ili kumfunga man city mpelekee mpira kwenye goli lake hata kama ni kwa kuushika just send it.
Arsenal hii ni bora ila inahitaji msaada sana wa kisaikolojia katika kuhandle presha za big match na decisive maches
Aliyetaka partey auzwe atafutwe na ashtakiwe kwa uhujumu.kiukweli kuna muda huwa najiuliza what if partey angekuwa city na akazungukwa na ile quality?
Odegard ajitazame kama captain, kwenye baadhi ya big match humuoni akikupa msaada unaohitaji.
We need a striker,a natural striker hata kama hawapo sokoni lakini tunamhitaji.option ya vilahovic ilikuwepo ila.... bila mshambuliaji wa kueleweka tunaweza kufika tumechoka au tukafia njiani.
G.maghaless anazingua na kocha inabidi amtazame au ampe bench kidogo.
Transitional football against city kwangu mimi naona ni suruhisho.cheza directly kuelekea golini.ukipoteza mpira fanya pressing .liverpool wanalijua hili na ndo maana city anachapikaga.
Kama tunataka kuendelea na hii possession football basi tunahitaji kiungo driver anayeweza kubeba mpira toka phase hii ya uwanja mpaka phase ile.hatuna proper ball carrier ambaye ni driver.kidogo trossard.Ila mwangalie bernaldo ndo utajua kwanini barca na psg wameleta hela na wakaambiwa hauzwi.
Tufunge kwanza hata goal 4 ndo uje hapa toka umezaliwa ujawai kuiona timu yako ikitufunga hata goal 4 unapika kelele hebu kasikie vibaya huko.Viwanja vya nyumbani vya Arsenal FC:
1. Emirates stadium
2. Wembley Stadium
3. Stamford bridge
Loading....4. Old Trafford
Nor true mention only one nani?tuna Saka Martinelli (Genius Trossard)Havertz Jesus Nketiah but goal scorer anayejua kunusa hatari hatuna kwa sasaNot necessary, we can do better without CF, the ones we have are enough
Ngumu. ..tutaishia kupigwa tuAtoeASAP kwa ajili ya clinical forward
Kama Nan mkuu ,jamaa yupo sahihi,Nor true mention only one nani?tuna Saka Martinelli (Genius Trossard)Havertz Jesus Nketiah but goal scorer anayejua kunusa hatari hatuna kwa sasa
Seriously mkuu?hope its a jokeNot necessary, we can do better without CF, the ones we have are enough
Kwa huu ushindi wa papatu papatu,sasa hakuna wa kumfunga hamis77 mdomo,atatawala jukwaa kila sekunde.

papatu Tena duhMm naona mnashindwa kuelewana ,tunataka CF ,ila tukumbuke kwasasa Kama tunamtaka CF class kabisa ,Basi tuwe na subira labda January klabu itumie pesa ya kutosha Kama kwa RiceSeriously mkuu?hope its a joke




Juzi tu hapa nilisema ukipoteza mudaNaona sheria mpya zimewabeba saizi hakuna dk inayoenda bure bure.




