arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,357
- 4,402
Mkuu kwani ukitupa hongera zetu bila kutusigina unakosa nn kwni....hii ilikuwa ni bonanza tu sio mechi ya kihiiivyo kuonesha watu watakachokutana nacho kwny ligi.....walau utupe tu hongera....BARDIZAH hyo tunajua kachabganyikiwa na beki ya Gomez na Matip kwhyo hatusumbuiWewe mwenyewe linganisha hizi picha mbili halafu jibu baki nalo mwenyewe. View attachment 2710319View attachment 2710321

