Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Wewe mwenyewe linganisha hizi picha mbili halafu jibu baki nalo mwenyewe.Hiyo ni supercup ,ile Carabao ndio kombe?
Wewe mwenyewe linganisha hizi picha mbili halafu jibu baki nalo mwenyewe.Hiyo ni supercup ,ile Carabao ndio kombe?
Mkuu kwani ukitupa hongera zetu bila kutusigina unakosa nn kwni....hii ilikuwa ni bonanza tu sio mechi ya kihiiivyo kuonesha watu watakachokutana nacho kwny ligi.....walau utupe tu hongera....BARDIZAH hyo tunajua kachabganyikiwa na beki ya Gomez na Matip kwhyo hatusumbuiWewe mwenyewe linganisha hizi picha mbili halafu jibu baki nalo mwenyewe. View attachment 2710319View attachment 2710321
Matokeo yenu vipi


Mimi ninachojua Man utd wamecheza jana na wameshinda 3 - 1ExactlyMaoni yangu kuhusu hii mechi.
Ili kumfunga man city mpelekee mpira kwenye goli lake hata kama ni kwa kuushika just send it.
Arsenal hii ni bora ila inahitaji msaada sana wa kisaikolojia katika kuhandle presha za big match na decisive maches
Aliyetaka partey auzwe atafutwe na ashtakiwe kwa uhujumu.kiukweli kuna muda huwa najiuliza what if partey angekuwa city na akazungukwa na ile quality?
Odegard ajitazame kama captain, kwenye baadhi ya big match humuoni akikupa msaada unaohitaji.
We need a striker,a natural striker hata kama hawapo sokoni lakini tunamhitaji.option ya vilahovic ilikuwepo ila.... bila mshambuliaji wa kueleweka tunaweza kufika tumechoka au tukafia njiani.
G.maghaless anazingua na kocha inabidi amtazame au ampe bench kidogo.
Transitional football against city kwangu mimi naona ni suruhisho.cheza directly kuelekea golini.ukipoteza mpira fanya pressing .liverpool wanalijua hili na ndo maana city anachapikaga.
Kama tunataka kuendelea na hii possession football basi tunahitaji kiungo driver anayeweza kubeba mpira toka phase hii ya uwanja mpaka phase ile.hatuna proper ball carrier ambaye ni driver.kidogo trossard.Ila mwangalie bernaldo ndo utajua kwanini barca na psg wameleta hela na wakaambiwa hauzwi.
Wewe jamaa una mbingu yako aseeMimi ninachojua Man utd wamecheza jana na wameshinda 3 - 1
Kama kuna matapeli wengine wamecheza leo na kujiita ni Man Utd basi mmepigwa changa la macho.
Kuweni makini siku hizi mjini matapeli wamekua wengi.


Angalau atasaidia.Exactly
Sina Cha kuongeza ,labda kwa CF hapa Tumchukue mehdi Teremi kwa short term
Mkuu fatilia vizuri comments za nyuma, mbona nimeshawapa maua yenu kiroho safi kabisa na kuwaombea liwafike jambo huko mbeleniMkuu kwani ukitupa hongera zetu bila kutusigina unakosa nn kwni....hii ilikuwa ni bonanza tu sio mechi ya kihiiivyo kuonesha watu watakachokutana nacho kwny ligi.....walau utupe tu hongera....BARDIZAH hyo tunajua kachabganyikiwa na beki ya Gomez na Matip kwhyo hatusumbui





Mimi ninachojua Man utd wamecheza jana na wameshinda 3 - 1
Kama kuna matapeli wengine wamecheza leo na kujiita ni Man Utd basi mmepigwa changa la macho.
Kuweni makini siku hizi mjini matapeli wamekua wengi.
Shukran Kama umetoa hongera ,maana flano wewe ni kuponda tu,Mkuu fatilia vizuri comments za nyuma, mbona nimeshawapa maua yenu kiroho safi kabisa na kuwaombea liwafike huko mbeleni![]()
Of course we really need a CF who's more clinical than the ones we have at the moment.Arteta and Edu should consider this very seriously.
Sisi tuna furahi mmeshinda ili kichwa kiwe kikubwa ngoja ligi ianze.wewe jamaa Basi ,sema nakukubali Sana
Ila jifunzen ku appreciate wenzenu, tumempelekea Moto huyo shoga enu city ,mnakuja na ngonjera


I insinuate you're not an Arsenal fan.You can't be serious.Not necessary, we can do better without CF, the ones we have are enough