Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo ni supercup ,ile Carabao ndio kombe?
Wewe mwenyewe linganisha hizi picha mbili halafu jibu baki nalo mwenyewe.
1691343511420.jpg
1691343480235.jpg
 
Maoni yangu kuhusu hii mechi.

Ili kumfunga man city mpelekee mpira kwenye goli lake hata kama ni kwa kuushika just send it.

Arsenal hii ni bora ila inahitaji msaada sana wa kisaikolojia katika kuhandle presha za big match na decisive maches

Aliyetaka partey auzwe atafutwe na ashtakiwe kwa uhujumu.kiukweli kuna muda huwa najiuliza what if partey angekuwa city na akazungukwa na ile quality?

Odegard ajitazame kama captain, kwenye baadhi ya big match humuoni akikupa msaada unaohitaji.

We need a striker,a natural striker hata kama hawapo sokoni lakini tunamhitaji.option ya vilahovic ilikuwepo ila.... bila mshambuliaji wa kueleweka tunaweza kufika tumechoka au tukafia njiani.

G.maghaless anazingua na kocha inabidi amtazame au ampe bench kidogo.

Transitional football against city kwangu mimi naona ni suruhisho.cheza directly kuelekea golini.ukipoteza mpira fanya pressing .liverpool wanalijua hili na ndo maana city anachapikaga.

Kama tunataka kuendelea na hii possession football basi tunahitaji kiungo driver anayeweza kubeba mpira toka phase hii ya uwanja mpaka phase ile.hatuna proper ball carrier ambaye ni driver.kidogo trossard.Ila mwangalie bernaldo ndo utajua kwanini barca na psg wameleta hela na wakaambiwa hauzwi.
 
Wewe mwenyewe linganisha hizi picha mbili halafu jibu baki nalo mwenyewe. View attachment 2710319View attachment 2710321
Mkuu kwani ukitupa hongera zetu bila kutusigina unakosa nn kwni....hii ilikuwa ni bonanza tu sio mechi ya kihiiivyo kuonesha watu watakachokutana nacho kwny ligi.....walau utupe tu hongera....BARDIZAH hyo tunajua kachabganyikiwa na beki ya Gomez na Matip kwhyo hatusumbui
 
Maoni yangu kuhusu hii mechi.

Ili kumfunga man city mpelekee mpira kwenye goli lake hata kama ni kwa kuushika just send it.

Arsenal hii ni bora ila inahitaji msaada sana wa kisaikolojia katika kuhandle presha za big match na decisive maches

Aliyetaka partey auzwe atafutwe na ashtakiwe kwa uhujumu.kiukweli kuna muda huwa najiuliza what if partey angekuwa city na akazungukwa na ile quality?

Odegard ajitazame kama captain, kwenye baadhi ya big match humuoni akikupa msaada unaohitaji.

We need a striker,a natural striker hata kama hawapo sokoni lakini tunamhitaji.option ya vilahovic ilikuwepo ila.... bila mshambuliaji wa kueleweka tunaweza kufika tumechoka au tukafia njiani.

G.maghaless anazingua na kocha inabidi amtazame au ampe bench kidogo.

Transitional football against city kwangu mimi naona ni suruhisho.cheza directly kuelekea golini.ukipoteza mpira fanya pressing .liverpool wanalijua hili na ndo maana city anachapikaga.

Kama tunataka kuendelea na hii possession football basi tunahitaji kiungo driver anayeweza kubeba mpira toka phase hii ya uwanja mpaka phase ile.hatuna proper ball carrier ambaye ni driver.kidogo trossard.Ila mwangalie bernaldo ndo utajua kwanini barca na psg wameleta hela na wakaambiwa hauzwi.
Exactly

Sina Cha kuongeza ,labda kwa CF hapa Tumchukue mehdi Teremi kwa short term
 
Mkuu kwani ukitupa hongera zetu bila kutusigina unakosa nn kwni....hii ilikuwa ni bonanza tu sio mechi ya kihiiivyo kuonesha watu watakachokutana nacho kwny ligi.....walau utupe tu hongera....BARDIZAH hyo tunajua kachabganyikiwa na beki ya Gomez na Matip kwhyo hatusumbui
Mkuu fatilia vizuri comments za nyuma, mbona nimeshawapa maua yenu kiroho safi kabisa na kuwaombea liwafike jambo huko mbeleni
 
Watu tulikuwa tunawaambia humu Saliba ni pengo ,

Leo halland kaomba had sub


Halafu Saliba hanaga papara yule Beki

Halali kabisa kupewa £200k per week
 
MPUMBAVU ANAPIGA PASS HUWA HADI NAOGOPA

ZINNY aliulizwa kuhusu wachezaji wa Arsenal anaowakubali anasema ni William Saliba


William Saliba's game by numbers vs. Man City:

96% pass accuracy
86 touches
74 passes
6 passes into final ⅓
6 x possession won
4 clearances
4 duels won
2 tackles made
0 fouls

Rolls Royce.
20230806_205224.jpg
 
Back
Top Bottom