We jamaa unaangalia mechi gani? Au umelewaMkitaka kujua nyie ni VIAZI tu
Hii MAN CITY haijaingiza kosi lote.
Haina Kipa , haina Ake, haina Debruyne , haina Foden,,
Nyie hampo serious kila siku tunawaambia.
Jamaa yupo zake livescores.com anatema shiti.We jamaa unaangalia mechi gani? Au umelewa
Unayoangalia weweWe jamaa unaangalia mechi gani? Au umelewa
Kiazi mwenyeweMkitaka kujua nyie ni VIAZI tu
Hii MAN CITY haijaingiza kosi lote.
Haina Kipa , haina Ake, haina Debruyne , haina Foden,,
Nyie hampo serious kila siku tunawaambia.
Naona sheria mpya zimewabeba saizi hakuna dk inayoenda bure bure.Muda ushaisha refa hataki kumaliza game.
Sasa itakuwaje?Arsenal katafutiwa goli na refa aiseee muda ushaisha zamani