Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sisi tuliopigwa 3-1 Emirates, 4-1 Etihad quality yetu ilikuwaje?
 
Huko UCL league utaenda kuona , timu nyingi hazina quality asee
 
Nakubaliana na wewe kwenye hili,hakuna team yoyote duniani ya sasa hivi atamfunga pep kwa kumiliki mpira
 
Brighton alituzidi asee ,ule mpira wa Brighton Kama huna mbinu thabiti wanakubatua

Ile mech ya pale Amex tuligawana vipind,

Brighton Wana buildup Yao hatari Sana ,klopp alicheza nao mechi mbili na Di zerbi, zote alizidiwa kwa kuwekwa nyuma na kipigo juu

Kuna mechi huwa tunashindwa ku control kabisa ,sio kwamba tunamuachia mpinzani
 
Huko UCL league utaenda kuona , timu nyingi hazina quality asee
FACT but tunamzungumzia Genius kipara huyu jamaa anatunyanyasa sana Games 11 only one ndio tumeshinda!sawa Arsenal kushinda uwezo anao tena Mkubwa but ni kwa Counter attack pekee unamuachia mpira anamiliki mara paap pasi moja ndefu kwa Saka au Martinelli Baaam Goal tunarudi tunajipanga upya
 
Nakubaliana na wewe kwenye hili,hakuna team yoyote duniani ya sasa hivi atamfunga pep kwa kumiliki mpira
Kama tunaweza miliki mpira tukatengeneza nafasi dhidi ya Pep , tukashindwa kufunga huon ni quality ndio inaamua

Mech ya Emirates tumetengeneza nafas ngapi ,Eddie anakosa , nasikia alicheza akiwa injury

Pep ana ego hawez kubali akuachie mpira ,

Baada ya mechi huwa anasema kabisa ,Kama mech ya FA alimsifia Arteta kwa mbinu aliyokuja nayo ,

Yaan ukikaa nyuma kwa Pep ndio unamrahisishia Kaz akufunge

Kuna rythim tutaipata ,tulikuwa na muda top 6 wanatusumbua ,Sasa hivi kabaki yeye ,na swala kubwa utumiaji nafasi tu
 
Arsenal Hatuwez kustahimili tukimuachia hasa kipara mpira atamaliza mech mapema na marefa walivyo wajinga na penat watapewa

Pep yupo toka era ya Wenger ,Unai na Arteta ,lazima atusumbue Sana , na Arsenal Hatuwez kubali kubaki Basi , Emery alijaribu hivo akashindwa ,

Arteta alicheza kupaki bas wakat anafika hata vs Liverpool, kwasasa huyu tunaenda nae toe to toe

Angalia progress toka Tuanze kwenda toe to toe na pep , Quality kwenye utumiaji nafas na kumaliza mech , marefa ndio vimekuwa vikwazo

Arsenal sio timu ya kustahimili presha kwa kushambuliwa na kusubiri kaunta

Tuna mchezaji mmoja hasa wa kaunta , Martinelli

Saka sio mchezaji wa kaunta

Mipira ya kaunta wanaweza manjesta ,lakin wakipaki bas wanakula had 6
 
Hehehehehehe let's wait siku ya leo tutakuja na formation ipi nimemiss sana football
️ three months sio mchezo welcome back EPL
 
Inter have 2 offers ready for Balogun. Either 25m euros plus 5m euros bonus with high % sell on clause or loan with obligation at 35m euros. Beto from Udinese the alternative if they dont get Balogun

(@TuttoMercatoWeb )
 
Jarida la Football London wanasema kuna asilimia kubwa Trossard anaanza false 9

Inaonesha kitendo Cha Arteta kuanza na Midfielders ya Partey Ødegaard na Rice

Tutegemee approach tofauti tofauti msimu huu kwa baadhi ya mechi

Tutegemee kuona Midfielders za

Øde Rice Kai

Øde Partey Trossard

Lakin kwa upande wa Backline tutegemee hata leo kuona 4CBs

White Saliba Magalhaes Timber

Kuna mechi tutegemee kuona

Timber Saliba Magalhaes KT

White Saliba Magalhaes Zinny


N.k
 
Watu wanaongea bila data mkuu...ila mm binafsi naumia sana Zinchenko asipokuwepo kuliko asipokuwepo Jesus....Zinny ana akili nyingi sana
Hivi ikitokea tumemkosa Kudus, hatuwezi kum accommodate zinny pale kwenye LCM kwa baadhi ya game alafu DM wake awe lone Tomas au Rice?? Huku ukuta ukibaki kwa 2:White, 3:Timber, 4: Gabriel na 5:Saliba.

Kwahiyo katikati iwe ni hivi 6: Partey, 8: Zinchenko na 10: Odegaard au
6: Rice, 8: Zinchenko na 10: Odegaard.??

Kuhusu mbele Mikel ataamua mwenyewe, maana hiyo Vita ya saka,martinel, trossad,Kai,yesu, na Nketiah lazima wauane.

hamis77 karibuni.
 
As an 8/LCM. Partey, Ødegaard & Rice is the midfield.
 
Baada ya hapa ndo tulipoteana na project ya vitoto....kina Chelsea ndo wakaamkia hapa na Mourinho wao...babu Ferguson ndo akawa anatutwanga na first eleven ya mabeki....kipindi hiki bado tulikuwa tunaenda Anfield na tunamtwanga Liverpool pale kwake goli 6...Man City ndo walikuwa makanyaboya ya kijijini ndanindani huko...ila it was worth it....zama zinarudi....sasahv wanaume wameanza kurudishwa....hakuna vitoto vitoto tena
Kumbukizi 2005

Vs manjesta

Tulipiga mpira mwingi Sana , Mechi niliyoanza kumpenda Fundi Jose Antonio Reyes R.I.PView attachment 2710029
 
Mkuu wacha ligi ianze tu...msimu huu kuna timu zitamaliza na ball possession ya 10% full time...mark my words
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…