Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Decline rice.

Kwangu mimi siamini kama jamaa ni gifted sana technically.kama unamuangalia rice kwa perspective ya david silva,benado silva,locatell,zubimend,carzola,rosisky ,gundo kroose,camavinga nk ni rahisi kuona tumepigwa.

Hivi ushawahi kujiuliza kwanini
Liverpool wana hernderson na klop anapambana mara kadhaa kumbakisha babu milner?
Chelsea bora ilikuwa na Terry na lampard
Man city imemleta jack glealish,stones na sasa kuna foden.hawa wote technically sio wachezaji wa guardiola.

Hao wote wana sifa moja inayowaunganisha,ni waingereza.
Waingereza wanatabia ya upambanaji hasa bila kujali wanakipaji au hawana ila watapambana kupata wanachotaka.
Mwingereza anaweza asiwe bora ila akaamini yeye ni bora kuliko wewe na akakushinda.

Waingereza wanaamini kwenye hard working kuliko kipaji.they give it all to preserve their pride.na kwa timu inayohitaji kupambania mataji hii akili na tabia ni muhimu saana.guardiola aliliona akaleta waingereza and it paid.

Decline rice.mwangalie body language yake na umri wake haviendani.ana seniority body language.anaamini anastahili kilicho bora na anaamini anacho kilicho bora cha kuoffer.

Decline rice.Angalia statement zake haamini kama kuna team bora kuliko aliyopo,hakuna kocha bora kuliko anayemfundisha na kikosi chenye wachezaji bora kuliko wanaomzunguka kwa sasa. Hii inaondoa inferior feelings na inaimarisha self esteem yake.Mbishi hasa.

Check anavyohandle media na expectations zinazotokana na price tag yake, Its like I don't care.Price tag imemmaliza pepe,inamtesa mudrick na inamyoosha nunez pale Liverpool .
Mwangalie glealish,hata hakumbuki alinunuliwa kiasi gani.its none of his business anahisi alistahili.Rice ameonyesha kuhandle presha.
Mimi natarajia kumuona rice kuanzia february na hapo kila mmoja atajua thamani ya roho ya kiingereza hasa hawa WEUPE NOT BLACKS.

Mpeni muda decline rice,sio mech kadhaaa,wiki kadhaa au mwezi.mpeni muda awaaambukize tabia ya ushindi.
Umeandika na kufikiri sana, big up kwako mzee
 
Arsenal have lost 15 times in 16 consecutive meetings against Manchester City. This is not even head to head. This is bed to bed
20230128_070952.jpg
 
Mkiambiwa mashabiki wa Asenyo bado mko na utoto mwingi mnakasirika.
Sasa hapo mwenyewe unafurahia kabisa kuona timu yako inaingia kwenye goli la mpinzani wako zaidi ya mara 75 na n kuishia kupata vigoli vitatu, halafu mpinzani wako anaingia mara 13 tu golini kwako na kukushona goli 2 huoni kama foward yako ni mbovu kiwango cha kutupwa?
Kumbuka pia jinsi hayo magoli yalivyofungwa.

La kwanza, mpemba Rashidi alipiga move kali na shuti amazing la nje ya box akapata goli.... against the run of play. Na kama sikosei, Chidi ndiye alikuwa mchezaji aliye mbele zaidi Kwa Manyumbu, huku wengine wamepaki basi Kwa hofu kubwa wakijiandaa kujilinda na shambulio tulilokuwa tunawapelekea, hivyo hakuwa na msaada. Tukapoteza mpira, mpemba akafanya yake. Lilikuwa goli Bora sana Kwa kweli.

La pili ndilo lilifungiwa ndani ya box. Na lenyewe pia lilikuwa la kimiujiza miujiza hivi. Yaani Kona imepigwa, ikawa cleared kidogo tu ndani ya box, tukaanza kujipanga kupiga counter moja hatari sana, mara akatokea Martinez na diving header ya mpira ulio kima Cha mbuzi, mpira ukarudi juu na ku-loop. Golini Gabriel almanusra auokoe ila ukamchuna kichwa kidogo na kuingia wavuni. Bahati juu ya bahati.

Nakumbuka pia goli la Saka lilitokea nje ya box. Hata shangilia yake ya kukimbilia corner flag kuweka kidole kichwani, aliifanya kumjibu Rashidi ambaye awali alishangilia hivyo goli lake.

Naona hizi takwimu zinatuonyesha tu kuwa sisi tulikuwa hodari Kwa kutawala mashambilizi na yalitufikisha sana ndani ya box ila nyie mlikuwa vizuri kuyazuia na kupona chupu chupu. Nyie hamkutawala sana mashambuilizi hivyo hamkuingia sana ndani ya box ila mlipata magoli mawili mazuri sana ya kubahatisha.
 
Exclusive:

Inter have returned strongly to sign Folarin Balogun. Talks with Arsenal have intensified in recent hours and Inter are now optimistic of striking an agreement for a fee in the region of €35m+ 15 add ons


[@AlfredoPedulla]

Edu na Vinai wawe wakali kidogo kwenye mauzo. Najua Edu alisema tuko tayari kuvunja hata mikataba Ili wachezaji tusiowataka na wasiotaka kuendelea kuitumikia timu wapunguzwe wengine waje. Ila 35 + 15 naona tunajipunja. Weka 45 + 5. Weka buy-back na sell-on clauses.
 
Edu na Vinai wawe wakali kidogo kwenye mauzo. Najua Edu alisema tuko tayari kuvunja hata mikataba Ili wachezaji tusiowataka na wasiotaka kuendelea kuitumikia timu wapunguzwe wengine waje. Ila 35 + 15 naona tunajipunja. Weka 45 + 5. Weka buy-back na sell-on clauses.
Halafu unaweza Kuta hiyo add ons yenyewe masharti yake ni magumu kwelikweli...unaweza Kuta inasema afikishe goli kiasi flani kwa misimu kadhaa hta wakti mwingine na ubingwa juu....yaani add ons huwa siyo hela ya kuhesabia kbsa
 
Halafu unaweza Kuta hiyo add ons yenyewe masharti yake ni magumu kwelikweli...unaweza Kuta inasema afikishe goli kiasi flani kwa misimu kadhaa hta wakti mwingine na ubingwa juu....yaani add ons huwa siyo hela ya kuhesabia kbsa
Tumekuwa na shida kubwa kwenye kuuza kuliko kununua
 
Man united watakuwa na mid brutal saana this season ukiangalia wana
casemiro
Fernandez
Mainoo
Erikson
Na sophian amrabat.
Mid nzuri na itawasaidia sana kwenye big matches kama za city,liver na arsenal.Tatizo la mid yao ni kukosa akili tu ila nawaona wakiwa washindani kweli.

Secondly wamerudi kusajili wachezaji wa man united philosophy.Mara nyingi wanatumia akili 20% na nguvu 80%.
Arteta tuletee mid moja muuaji na awe anaweza kucheza lone 6
 
Wataje wachache unaopenda kuwaona wakinunuliwa
Aisee namhitaji mnooo caisedo.rice hajaondoa nafasi ya zubimendi au lavia. Sadly ndani ya team kwenye academy sijaona a potential product kwenye eneo la DM wakucheza lone 6

LCM na RCM tunao wengi mno ila wote wana offer kitu kilekile.angalau trossard akichezeshwa double pivot ya 8 anaoffer flexibility kubwa.
 
Aisee namhitaji mnooo caisedo.rice hajaondoa nafasi ya zubimendi au lavia. Sadly ndani ya team kwenye academy sijaona a potential product kwenye eneo la DM wakucheza lone 6

LCM na RCM tunao wengi mno ila wote wana offer kitu kilekile.angalau trossard akichezeshwa double pivot ya 8 anaoffer flexibility kubwa.
Caisedo price tag kubwa...£100 million...Chelsea mpk leo wanavutana na Brighton...Zubimendi nahisi ana kitu kinaitwa home sickness bado hajakuwa tyri kucheza nje ya spain...Lavia naye inaonekana price tag yke kubwa maana hata Liver wanamhitaji sana ila wanaona bei ni ya kupigwa kwhyo wana bargain...Rice anachezeshwa LCM lakini kiuhalisia ni DM...mi naona eneo lenye uhitaji ni RW ila viungo so far somehow tuko sawa...ila with arsenal kitu chchte kinaweza tokea maana hata kipa tumeshtukizwa....kwhyo U never know
 
Back
Top Bottom