Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,169
- 18,862
Hili Ni pigo kubwa Sana kwa Timmy yetu.CONFIRMED: Gabriel Jesus out for 5-6 weeks
Hili Ni pigo kubwa Sana kwa Timmy yetu.CONFIRMED: Gabriel Jesus out for 5-6 weeks
Sio pigo ,Kuna wiki 1 kabla ya Ligi ,Kuna wiki 2 za international break September ,jumla karibu wiki 3 out of 5-6Hili Ni pigo kubwa Sana kwa Timmy yetu.
15 add ons ni nyng sana....inatakiwa iwe walau 42 na 8 add ons...maana hzi add ons si hela za kuhesabia....zinaweza zipatikane au zisipatikaneExclusive:
Inter have returned strongly to sign Folarin Balogun. Talks with Arsenal have intensified in recent hours and Inter are now optimistic of striking an agreement for a fee in the region of €35m+ 15 add ons
[@AlfredoPedulla]
Kweli asee ,nasikia Arsenal wanaona Bora hela iwe ya kawaida ila kiwekwe kipengere Cha sale % au buy back clause , usishagae mwakan akifanya vzr , akauzwa manjesta kwa €100m15 add ons ni nyng sana....inatakiwa iwe walau 42 na 8 add ons...maana hzi add ons si hela za kuhesabia....zinaweza zipatikane au zisipatikane
Kabisa mkuu kuna mechi akianza siku yule na timber kwny RB na LB halafu kati kukawa na Partey na Rice na Odegaard..winger Trossard na Saka....kuna timu zitamaliza mechi zimepiga pasi 50 full timeUpo sahihi ,sawa na Mimi ,yaani ilifika muda Zinny hayupo siangalii mechi huyo ndiye most talented player ,most Gifted player kuliko wengi
Kuna mechi unaona kabisa wachezaji wame give up , huwa anafanya maamuz magumu ana invert Kama DM, AM ,LW
Angalia hapa data zake ,View attachment 2708516
Hii nayo ni option nzuri...wao kama wanataka mchezaji wafuatane na sisi tunachotaka....ize tyKweli asee ,nasikia Arsenal wanaona Bora hela iwe ya kawaida ila kiwekwe kipengere Cha sale % au buy back clause , usishagae mwakan akifanya vzr , akauzwa manjesta kwa €100m
Kabisa mkuu kuna mechi akianza siku yule na timber kwny RB na LB halafu kati kukawa na Partey na Rice na Odegaard..winger Trossard na Saka....kuna timu zitamaliza mechi zimepiga pasi 50 full time

unakumbuka ile mech pale Emirates vs manjesta , Jamaa waliingia Mara 13 tu kwenye box la Arsenal , wakati saka na nelli waliingia Mara 65 Kama sikosei 
Man Utd waliingia Mara 13 tu kwenye box la Arsenal wakapata magoli mawili, wakati saka na nelli waliingia Mara 65 Kama sikosei na wakaishia kupata vigoli vitatu tu huoni kama hayo ni matumizi mabaya ya kuingia kwenye box?unakumbuka ile mech pale Emirates vs manjesta , Jamaa waliingia Mara 13 tu kwenye box la Arsenal , wakati saka na nelli waliingia Mara 65 Kama sikosei
Ile mechi Zinny alikuwa ana drive timu mbele had nikaona muda manjesta wamerud nyuma wanatafuta sare ,
Kuna ile mech pale Emirates vs Newcastle ,aliwapelekea Moto Sana , wakawa wanapoteza muda waondoke na sare
Huoni kwamba Kocha wenu ni Tony pulis wa kidachi?Man Utd waliingia Mara 13 tu kwenye box la Arsenal wakapata magoli mawili, wakati saka na nelli waliingia Mara 65 Kama sikosei na wakaishia kupata vigoli vitatu tu huoni kama hayo ni matumizi mabaya ya kuingia golini?
Kwa hesabu za haraka haraka hapo man Utd wanahitaji kufika golini mara 6 tu ili wapate goli wakati Arsenyo inawalazimu kufika golini mara zaidi ya 25 ndio wapate kagoli kamoja.
Anacheza kwa jihadi sana msela na ndo nakiona pia kwa Timber na Riceunakumbuka ile mech pale Emirates vs manjesta , Jamaa waliingia Mara 13 tu kwenye box la Arsenal , wakati saka na nelli waliingia Mara 65 Kama sikosei
Ile mechi Zinny alikuwa ana drive timu mbele had nikaona muda manjesta wamerud nyuma wanatafuta sare ,
Kuna ile mech pale Emirates vs Newcastle ,aliwapelekea Moto Sana , wakawa wanapoteza muda waondoke na sare
De Gea alowaokoa wakapata top 4 wamemtosa..captain fantastic Magwaya alochomesha wakatolewa na Sevilla wamemng'ang'ania hawataki kumuuza...Wana akili sana Hawa....safari hii tunao mechi ya nne tu...tutam test Onana vzuri tuoneHuoni kwamba Kocha wenu ni Tony pulis wa kidachi?
Degea aliyekuwa anawaweka mjini hayupo safari hii mtaeleza vzr
Huoni kwamba Kocha wenu ni Tony pulis wa kidachi?
Degea aliyekuwa anawaweka mjini hayupo safari hii mtaeleza vzr
Hawa jamaa safari hii tukiwapa mbinyo ,lazima onana aachie 4+De Gea alowaokoa wakapata top 4 wamemtosa..captain fantastic Magwaya alochomesha wakatolewa na Sevilla wamemng'ang'ania hawataki kumuuza...Wana akili sana Hawa....safari hii tunao mechi ya nne tu...tutam test Onana vzuri tuone
Mkiambiwa mashabiki wa Asenyo bado mko na utoto mwingi mnakasirika.Huoni kwamba Kocha wenu ni Tony pulis wa kidachi?
Degea aliyekuwa anawaweka mjini hayupo safari hii mtaeleza vzr
Arsenal kafunga goli 88 last seasonMkiambiwa mashabiki wa Asenyo bado mko na utoto mwingi mnakasirika.
Sasa hapo mwenyewe unafurahia kabisa kuona timu yako inaingia kwenye goli la mpinzani wako zaidi ya mara 75 na kuishia kupata vigoli vitatu, halafu mpinzani wako anaingia mara 13 tu golini kwako na kukushona goli 2 huoni kama foward yako ni mbovu kwa kiasi gani?
Usikimbie tu jukwaa baada hio mechi kuisha.Arsenal kafunga goli 88 last season
Manjesta sijui goli 50
Nan ana forward mbovu?
Hiyo mechi mahukuru Mungu,
Subiri game ya 4 safari hii mnaanzia Emirates huku GK ni onana , 4+ bet kabisa weka hata hati ya nyumba
Kwa timu ipi?Usikimbie tu jukwaa baada hio mechi kuisha.

Onana mpaka Sasa mechi 2 goals kapigwa 3+Nyumbu atakufa bila ya JesusSio pigo ,Kuna wiki 1 kabla ya Ligi ,Kuna wiki 2 za international break September ,jumla karibu wiki 3 out of 5-6
Tuna option ya Kai , Trosaard na nketiah
Jesus atakosa mechi maximum 4
Inamaana bila de gea golini mlikua mnnakufa wikiMan Utd waliingia Mara 13 tu kwenye box la Arsenal wakapata magoli mawili, wakati saka na nelli waliingia Mara 65 Kama sikosei na wakaishia kupata vigoli vitatu tu huoni kama hayo ni matumizi mabaya ya kuingia golini?
Kwa hesabu za haraka haraka hapo man Utd wanahitaji kufika golini mara 6 tu ili wapate goli wakati Arsenyo inawalazimu kufika golini mara zaidi ya 25 ndio wapate kagoli kamoja.
