Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahaaa mkuu Flano
mimi nisiwe muongo, bado sijawahi kuamini kama le grand captain fantastic super maguire ana ubaya huo ambao man unauona.kwangu mimi nadhan naguire akikaa nyuma ya STRONG MID anaweza akakushangaza.
Utangundua recently baada ya kuboresha performance ya mid taratibu unaona the better version of maguire.
DECLINE RICE.tumepigwa?.kwangu mimi ili niseme ndiyo au hapana nahitaji kumpa muda angalau miez 8 mpaka kumi.

Kuna mtu atasema 105 unampa ten months wakati trossard aliingia na kudeliver kwa low price tu.kumbuka RICE anaingia kwenye timu tofauti tangu aanze carrier yake kama pro player.atakutana na changamoto zifuatazo

Abnormal training intesity.amekutana na training ya juu katika pillars mbalimbali tofauti na alipotoka.unaona hadi amepata maumivu kidogo.

Fluidity na pace tofauti katika mechi. Jamaa ametoka timu ambayo ni defensive minded na counter based.sasa arsenal ni possession na transitional based.lazima ateseke kidogo.maana kila muda watu wako kwenye mwendo

New coaching.jamaa unamsikia anasema unaweza dhani uanjua mpira halafu ghafla unakutana na makocha kama arteta na unagundua hujui kitu.hii inamaanisha nini?.Jamaa anaanza upya.

Mpe muda decline rice na mpe watu wa maana maguire you will notice the difference
Mid hiyohiyo unayoiona ni weak lakini Martinez amekuja na kutushangaza.
Mimi ninachopinga ni ile roho ya kiingereza ya upambanaji sasa hivi haipo tena mkuu.
Ukitegemea usajili mchezaji wa kiingereza kwa kujiaminisha tu kua waingereza ni wapambanaji inakula kwako mazima.
Rice kwa sisi tusiojua mpira tutampa hata msimu mzima wa kumtathmini lakini hio haiondoi ukweli kua kwa £105m hakuna mchezaji yoyote wa kiingereza kwa sasa mwenye kustahili hio thamani.
 
Pep Guardiola on Declan Rice:

“Arsenal bought an incredible, incredible player.”

(Source: @standardsport)
Pep sio mara yake ya kwanza au ya pili kuwachezea mind games.
Wewe chekelea maneno ya Pep wakati yeye pia akichekelea kuwaingiza chaka.
Pep uhuni ameanza tokea miaka ya 1980 huko kwenye kijiji cha Santpedor kwenye wilaya ya Manresa in northeastern Spain.
Screenshot_20220917_172640.jpg
 
Halafu unaweza Kuta hiyo add ons yenyewe masharti yake ni magumu kwelikweli...unaweza Kuta inasema afikishe goli kiasi flani kwa misimu kadhaa hta wakti mwingine na ubingwa juu....yaani add ons huwa siyo hela ya kuhesabia kbsa

Nilipenda add-on ya City kwa mchezaji waliyemchukua Leipzig; wanataka mechi moja Kati yao na mapato yote yaende Leipzig
 
Pep sio mara yake ya kwanza au ya pili kuwachezea mind games.
Wewe chekelea maneno ya Pep wakati yeye pia akichekelea kuwaingiza chaka.
Pep uhuni ameanza tokea miaka ya 1980 huko kwenye kijiji cha Santpedor kwenye wilaya ya Manresa in northeastern Spain.View attachment 2709016
| Pep Guardiola on if Arsenal strengthened this summer:

“Yes, definitely.

“Mikel [Arteta] has brought Arsenal back into the position they were.” [via Sky] #afc
 
Kuna mtu atakuja na makasirikio




Auba:

There’s only one team in London and that’s Arsenal Football Club, that’s why they’re inked on my skin for life
20230805_120129.jpg
 
| Pep Guardiola on if Arsenal strengthened this summer:

“Yes, definitely.

“Mikel [Arteta] has brought Arsenal back into the position they were.” [via Sky] #afc
Wewe ulitegemea ataongea kishabiki kwa kuponda kama kina Flano?
Hilo swali mbele ya media Pep anavaa viatu vya hamis77 lazima apake rangi nyingi sana kwenye nyumba ya udongo mpaka ionekane ni nyumba ya tofali.
 


Arsenal in advanced talks for David Raya as Matt Turner heads to Nottingham Forest

(@SamJDean )
 
Wewe ulitegemea ataongea kishabiki kwa kuponda kama kina Flano?
Hilo swali mbele ya media Pep anavaa viatu vya hamis77 lazima apake rangi nyingi sana kwenye nyumba ya udongo mpaka ionekane ni nyumba ya tofali.
Mwingine huyu hapa

Gary Lineker on Declan Rice:

“A lot of players who move for big money struggle to cope with their price tag, But I don’t think that’ll be the case with ex-West Ham skipper Declan Rice. He is an exceptional player — a holding midfielder but also far more than that.”

“Rice is a real leader, who will run all day, a player who can break the lines and make things happen with the ball at his feet. Of course, £105million is a massive fee but he will not have the same pressure as a forward player who moves for big money because they are constantly judged on their scoring record. I’d like to see Rice add more goals to his game but nobody is expecting that of him.”(sun via tbr)
 
Inter will submit a bid of €35M + bonuses for Folarin Balogun after missing out on Gianluca Scamacca.

(Source: Tuttosport)
 
FabrizioRomano:

“Kwa sasa kuna kuhusishwa kwingi kwa Mohammed Kudus, na kwa hakika ni mchezaji wa kumtazama katika wiki za mwisho za dirisha.

Arsenal walipiga simu wiki mbili zilizopita, karibu wiki tatu Sasa zilizopita ili kufahamishwa kuhusu kudus.”


“Chelsea pia walipiga simu siku chache zilizopita.

Vilabu vyote viwili vimearifiwa kuhusu Kudus, tuone nini kitatokea Arsenal kwa kuumia kwa Gabriel Jesus.

Arteta alisema ni wiki mbili, kwa hivyo haitakuwa mbaya, lakini Arsenal wanafuatilia hali ya Kudus,

 
FabrizioRomano:

“Kwa sasa kuna kuhusishwa kwingi kwa Mohammed Kudus, na kwa hakika ni mchezaji wa kumtazama katika wiki za mwisho za dirisha.

Arsenal walipiga simu wiki mbili zilizopita, karibu wiki tatu Sasa zilizopita ili kufahamishwa kuhusu kudus.”


“Chelsea pia walipiga simu siku chache zilizopita.

Vilabu vyote viwili vimearifiwa kuhusu Kudus, tuone nini kitatokea Arsenal kwa kuumia kwa Gabriel Jesus.

Arteta alisema ni wiki mbili, kwa hivyo haitakuwa mbaya, lakini Arsenal wanafuatilia hali ya Kudus,


Mkuu kesho tunampiga man city ngapi?
 
Inter are prepared to approach Arsenal again for Folarin Balogun. Decision has been made, new round of talks will now follow #Inter

After Scamacca deal collapsed, Inter will bid again for Balogun who’s fav option of the board.
 
FabrizioRomano:

“Kwa sasa kuna kuhusishwa kwingi kwa Mohammed Kudus, na kwa hakika ni mchezaji wa kumtazama katika wiki za mwisho za dirisha.

Arsenal walipiga simu wiki mbili zilizopita, karibu wiki tatu Sasa zilizopita ili kufahamishwa kuhusu kudus.”


“Chelsea pia walipiga simu siku chache zilizopita.

Vilabu vyote viwili vimearifiwa kuhusu Kudus, tuone nini kitatokea Arsenal kwa kuumia kwa Gabriel Jesus.

Arteta alisema ni wiki mbili, kwa hivyo haitakuwa mbaya, lakini Arsenal wanafuatilia hali ya Kudus,

David Raya ikikamilika ndo tutakuja lipi ni lipi....halafu yule Bitello taarifa zake kimya au wamempotezea mpk January
 
Back
Top Bottom