Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Mid hiyohiyo unayoiona ni weak lakini Martinez amekuja na kutushangaza.Hahaaa mkuu Flano
mimi nisiwe muongo, bado sijawahi kuamini kama le grand captain fantastic super maguire ana ubaya huo ambao man unauona.kwangu mimi nadhan naguire akikaa nyuma ya STRONG MID anaweza akakushangaza.
Utangundua recently baada ya kuboresha performance ya mid taratibu unaona the better version of maguire.
DECLINE RICE.tumepigwa?.kwangu mimi ili niseme ndiyo au hapana nahitaji kumpa muda angalau miez 8 mpaka kumi.
Kuna mtu atasema 105 unampa ten months wakati trossard aliingia na kudeliver kwa low price tu.kumbuka RICE anaingia kwenye timu tofauti tangu aanze carrier yake kama pro player.atakutana na changamoto zifuatazo
Abnormal training intesity.amekutana na training ya juu katika pillars mbalimbali tofauti na alipotoka.unaona hadi amepata maumivu kidogo.
Fluidity na pace tofauti katika mechi. Jamaa ametoka timu ambayo ni defensive minded na counter based.sasa arsenal ni possession na transitional based.lazima ateseke kidogo.maana kila muda watu wako kwenye mwendo
New coaching.jamaa unamsikia anasema unaweza dhani uanjua mpira halafu ghafla unakutana na makocha kama arteta na unagundua hujui kitu.hii inamaanisha nini?.Jamaa anaanza upya.
Mpe muda decline rice na mpe watu wa maana maguire you will notice the difference
Mimi ninachopinga ni ile roho ya kiingereza ya upambanaji sasa hivi haipo tena mkuu.
Ukitegemea usajili mchezaji wa kiingereza kwa kujiaminisha tu kua waingereza ni wapambanaji inakula kwako mazima.
Rice kwa sisi tusiojua mpira tutampa hata msimu mzima wa kumtathmini lakini hio haiondoi ukweli kua kwa £105m hakuna mchezaji yoyote wa kiingereza kwa sasa mwenye kustahili hio thamani.

Pep Guardiola on Declan Rice:
| Pep Guardiola on if Arsenal strengthened this summer: 







️
#Inter