Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger akaamuangalia Wenger amebeba kombe la mwisho la Epl kwa timu ya Asenyo miaka 20 iliyopita kabla ya Saka, Saliba Ordegard na Martinelli hawajazaliwa.
1691156378568.jpg
 
Ivi wazee kweli city alikuwa serious na Rice au ilikuwa zuga ili sisi tu spend on that money then we limit ourself to spend to other area of the field??
 
Ivi wazee kweli city alikuwa serious na Rice au ilikuwa zuga ili sisi tu spend on that money then we limit ourself to spend to other area of the field??
Jiulize Kama hakuwa serious ,why alituma ofa ya /£90m?


Leo Pep kwenye press kasema Rice alichagua Arsenal

Pep Guardiola:

"[Declan] Rice decided on Arsenal. All the best. He's an important player, a very nice guy and for England will be important. For Arsenal, what an incredible player..." [via @kylenewbould]
 
Ivi wazee kweli city alikuwa serious na Rice au ilikuwa zuga ili sisi tu spend on that money then we limit ourself to spend to other area of the field??
Huwezi kupeleka Bid sehemu bila kuwa na uhitaji wa mchezaji husika...isipokuwa unaweza kujitoa kwenye dili kama unaona huyo mchezaji Hana thamani ya hela unayotajiwa na muuzaji....Simple
 
Arteta on Saka:


Yeah Bukayo is much better, he trained today.
 
Arteta on Jesus:

He’s fine. He’s obviously disappointed because he was feeling good and then this issue came up. Nobody expected that we would need to do it.
 
Arteta on exits:


Well we’re in the process. We’re working on a few things. We have to make a few decisions. We’re very happy with the squad we have that’s for sure.
 
Mikel Arteta amethibitisha kuwa Bukayo Saka yupo sawa na amefanya mazoezi leo, hivyo yuko tayari dhidi ya Man City


Pia amethibitisha anatarajia Jesus atarudi "hivi karibuni" na utaratibu mdogo wa kusafisha goti ulifanikiwa


Habari njema

 
Ivi wazee kweli city alikuwa serious na Rice au ilikuwa zuga ili sisi tu spend on that money then we limit ourself to spend to other area of the field??
Hio ni michezo ya watu wenye akili mingi, ilianza kuwepo tokea kipindi cha vita ya kwanza ya dunia.
Pep kwa hii miakili aliyonayo ukiangalia na akili za competitors wake kama kina Arteta unaona kabisa ataendelea kudominate ligi kwa miaka mingi sana mpaka pale atakapoamua mwenyewe kua sasa inatosha.
Ndio maana mkombozi 10hag akaamua kwa hiyari yake kuja Uingereza kumaliza utawala wa Pep kwenye Premier League.
Tunapowaambiaga kua Jasusi mbobezi 10Hag ni mtetezi wa wanyonge mue mnaelewa
 
Mikel Arteta amethibitisha kuwa Bukayo Saka yupo sawa na amefanya mazoezi leo, hivyo yuko tayari dhidi ya Man City


Pia amethibitisha anatarajia Jesus atarudi "hivi karibuni" na utaratibu mdogo wa kusafisha goti ulifanikiwa


Habari njema

Jesus aachane na madaktari wa Arsenal. Akawatafute wale madaktari wa Cazorla.

Cazorla walimzuga zuga na issue ya bacterial infection kwenye mguu na hawakugundua ni bacterial issue. Akaenda Spain akapona na akarudi Villarreal akacheza mpira tena.
 
Hio ni michezo ya watu wenye akili mingi, ilinza kuwepo tokea kipindi cha vita ya kwanza ya dunia.
Pep kwa hii miakili aliyonayo ukiangalia na akili za competitors wake kama kina Arteta unaona kabisa ataendelea kudominate ligi kwa miaka mingi sana mpaka pale atakapoamua mwenyewe kua sasa inatosha.
Ndio maana mkombozi 10hag akaamua kwa hiyari yake kuja Uingereza kumaliza utawala wa Pep kwenye Premier League.
Tunapowaambiaga kua Jasusi mbobezi 10Hag ni mtetezi wa wanyonge mue mnaelewa
Erik 7 hag a Dutch David Moyes huyu huyu ?
 
before intrntl games epl itachezwa week ngap na hio interntl holiday itachukua wik ngap
International huwa ni wiki 2 ,plus wiki 1 kuanzia Leo had EPL kuanza , jumla wiki 3

Weka maximum wiki 3 nyingine awe ame recover vzr kabisa
 
Arteta: We are in the process [of squad building],"

he said.


"We are working on a few things - there is still time to do that. "We are happy with the squad we have for sure. We want a healthy competition in the squad and we’re working on that

20230804_124705.jpg
 
Back
Top Bottom