Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ten Hag (title challenge): “I think no one in the Premier League can do that, maybe Arsenal , because for the last 25 years, they won the title only one time. So they can talk about that…”
umeona uongeze maneno yako au sio

Kocha wako Ligi haijaanza anawaza kupigania top 4


Anatupa taulo mapema Sana
 
umeona uongeze maneno yako au sio

Kocha wako Ligi haijaanza anawaza kupigania top 4


Anatupa taulo mapema Sana
kwani Arteta nae anasemaje juu ya hili?
Msimu huu ameshaweka wazi kua anapambania ubingwa au ndio anamalizia phase 5?
Arteta tunataka kusikia kauli yake mapema, hatutaki zile kauli za kujifariji eti tumeoverarchived baada ya kuongoza ligi kwa siku 258 halafu zimebaki wiki3 kumaliza ligi anashindwa kukaza makalio.
 
Ten Hag (title challenge): “I think no one in the Premier League can do that, maybe Arsenal , because for the last 25 years, they won the title only one time. So they can talk about that…”
Baba Ubaya kapewa hela nyng aache visingizio...Klopp ana la kujitetea kwmba tajiri ni mbahili ila kocha wenu Hana cha kulalamika na huu ni msimu WA pili kashazoea ligi
 
kwani Arteta nae anasemaje juu ya hili?
Msimu huu ameshaweka wazi kua anapambania ubingwa au ndio anamalizia phase 5?
Arteta tunataka kusikia kauli yake mapema, hatutaki zile kauli za kujifariji eti tumeoverarchived baada ya kuongoza ligi kwa siku 258 halafu zimebaki wiki3 kumaliza ligi anashindwa kukaza makalio.
Arteta haihitaji kusema atafanya Nini ,alipoishia last season

Usajili anaofanya ni jibu tosha kujua tunaenda kufanya Nini

Dutch David Moyes 7hag ametumia Hadi Sasa £400m anawaza kupigania top 4

Klopp yupo sahihi ,hata usajili wa Lavia unasuasua , owners wake wabahili
 
Baba Ubaya kapewa hela nyng aache visingizio...Klopp ana la kujitetea kwmba tajiri ni mbahili ila kocha wenu Hana cha kulalamika na huu ni msimu WA pili kashazoea ligi
Kama ni hivyo Arteta nae asijifiche kwenye chaka la phase 5, kwa kikosi alicho nacho na muda ambao amedumu kama kocha hapo Arsenyo kuanzia msimu ulioisha ulikua ni sahihi na muafaka kwake kuchukua kombe kuliko misimu mingine yoyote.
Yaani msimu ambao Arsenyo ilikua bora kuliko misimu yoyote kwa miaka zaidi ya 20 ameshindwa kubeba hata kombe la mwanaFA halafu mnakuja kudanganyana hapa.
Msimu wa 2021/2022 ndio walau utasema Aseno ilikua bora maana walau walipata kombe la FA.
Msimu unaofata muambieni kabisa akimaliza bila ya kubebe kombe anatimuliwa.
Hizo fezi zake anazitumia kama ngao ya kujilinda kila anapomaliza ligi mikono mitupu.
tapatalk_1329903741_360x225.jpg
 
Huku bongo huu uzi unawezakuta kesho madukani. Hivi Arsenal kwanini wasiweke utaratibu nasisi 3rd world country tukawa tunapata vitu OG kwa bei nafuu nakuchangia Team yetu kukuza uchumi?
Wabongo, wakenya, waganda na wanaijeria si unawajua? Hell, hata wazungu wenyewe si unawajua? Tukipata kitu OG huku Kwa bei nafuu watu watakuwa wananunua huku 3rd world countries na kwenda kuziuza ulaya Kwa faida
 
Kama ni hivyo Arteta nae asijifiche kwenye chaka la phase 5, kwa kikosi alicho nacho na muda ambao amedumu kama kocha hapo Arsenyo kuanzia msimu ulioisha ulikua ni sahihi na muafaka kwake kuchukua kombe kuliko misimu mingine yoyote.
Yaani msimu ambao Arsenyo ilikua bora kuliko misimu yoyote kwa miaka zaidi ya 20 ameshindwa kubeba hata kombe la mwanaFA halafu mnakuja kudanganyana hapa.
Msimu wa 2021/2022 ndio walau utasema Aseno ilikua bora maana walau walipata kombe la FA.
Msimu unaofata muambieni kabisa akimaliza bila ya kubebe kombe anatimuliwa.
Hizo fezi zake anazitumia kama ngao ya kujilinda kila anapomaliza ligi mikono mitupu. View attachment 2706118
Unajitahidi kumuwekea Arteta kipara Ili afanane na 7hag. Unapaswa kumuwekea 7hag nywele ili afanane na Arteta maana Arteta ndiye role model wa 7hag
 
Kama ni hivyo Arteta nae asijifiche kwenye chaka la phase 5, kwa kikosi alicho nacho na muda ambao amedumu kama kocha hapo Arsenyo kuanzia msimu ulioisha ulikua ni sahihi na muafaka kwake kuchukua kombe kuliko misimu mingine yoyote.
Yaani msimu ambao Arsenyo ilikua bora kuliko misimu yoyote kwa miaka zaidi ya 20 ameshindwa kubeba hata kombe la mwanaFA, yaani ule msimu wa 2021/2022 ndio walau utasema Aseno ilikua bora maana walau walipata kombe la FA.
Msimu unaofata muambieni kabisa akimaliza bila ya kubebe kombe anatimuliwa.
Hizo fezi zake anazitumia kama ngao ya kujilinda kila anapomaliza ligi mikono mitupu. View attachment 2706118
Msimu uliopita ni wachache wenye jicho ndio tulisema wazi wazi Arsenal anaenda kupigania ubingwa na tuliweka had range ya points kutoka 69 tulizopata ,ambapo tulipofix matatizo fulan zilikuwa zinaenda had 85


Makanjanja mlisema hata top 6 hatuingii

Msimu huu ndio mnadai tutagombea ubingwa ,

Na sisi tunataka Dutch David Moyes kwa madirisha mawili katumia £400m+ agombee EPL , top 4 ni udhaifu
20230730_183944.jpg
 
Nimegundua mashabiki wa arsenal tunainjoy sana timu yetu
Ni kweli kabisa mashabiki wa Arsenyau hua mnaenjoy sana timu yenu mnapokua kwenye Pre-season na mechi za mwanzo za ligi, ila pia mashabiki wa Arsenyo ndio hua wanaichukia sana timu yao pale ligi inapoelekea ukingoni.
Zis iz a vividi ekzampo
Screenshot_20230417_111148.jpg
Screenshot_20230422_105508.jpg
Screenshot_20230422-122857.jpg
Screenshot_20230404-114106.jpg
Screenshot_20230422_105931.jpg
 
Arsenal play football today whole world is happy

It's just a friendly game not civil war
20230802_125550.jpg
 
| Mikel Arteta:


“We are now in a period where we play the Emirates Cup and the Community Shield, a period where we need to get some freshness in the legs. We have to find that balance in the next few days before the new Premier League season starts.”

[@arsenal]
 
Kama ni hivyo Arteta nae asijifiche kwenye chaka la phase 5, kwa kikosi alicho nacho na muda ambao amedumu kama kocha hapo Arsenyo kuanzia msimu ulioisha ulikua ni sahihi na muafaka kwake kuchukua kombe kuliko misimu mingine yoyote.
Yaani msimu ambao Arsenyo ilikua bora kuliko misimu yoyote kwa miaka zaidi ya 20 ameshindwa kubeba hata kombe la mwanaFA halafu mnakuja kudanganyana hapa.
Msimu wa 2021/2022 ndio walau utasema Aseno ilikua bora maana walau walipata kombe la FA.
Msimu unaofata muambieni kabisa akimaliza bila ya kubebe kombe anatimuliwa.
Hizo fezi zake anazitumia kama ngao ya kujilinda kila anapomaliza ligi mikono mitupu. View attachment 2706118
Ni kweli mwaka jana tulikuwa Bora sana ila kuna watu walikuwa Bora kuliko sisi na huo ndio ukweli....na wale waliokuwa Bora ndo hao unaona walichukua makombe yte makubwa....ila huwezi kumsikia hata siku moja Arteta akilalamika sijui hatukuwa na wachezaji wetu wote kama anavyofanya Baba Ubaya...ligi inaanza wiki chache zijazo kwnn Baba Ubaya aanze kutupa taulo mapema hv na mahela kapewa yte hayo....ikifika mpk mwezi wa tatu hajakaa pale juu mi nawashauri mumtimue maana ni Tapeli tu
 
| Mikel Arteta:



“We are now in a period where we play the Emirates Cup and the Community Shield, a period where we need to get some freshness in the legs. We have to find that balance in the next few days before the new Premier League season starts.”


[@arsenal] #afc
 
Ni kweli mwaka jana tulikuwa Bora sana ila kuna watu walikuwa Bora kuliko sisi na huo ndio ukweli....na wale waliokuwa Bora ndo hao unaona walichukua makombe yte makubwa....ila huwezi kumsikia hata siku moja Arteta akilalamika sijui hatukuwa na wachezaji wetu wote kama anavyofanya Baba Ubaya...ligi inaanza wiki chache zijazo kwnn Baba Ubaya aanze kutupa taulo mapema hv na mahela kapewa yte hayo....ikifika mpk mwezi wa tatu hajakaa pale juu mi nawashauri mumtimue maana ni Tapeli tu
Baba ubaya ndio kwanza msimu wake wa pili tokea akbidhiwe timu, wakutimuliwa ni Masterclass in failure maana ameshamaliza fezi zote tayari, hivyo hatutegemei visababu vya uongo uongo vyovyote kutoka kwake msimu huu, mambo ya kutuhadaa kua tumeover archive wakati timu haijabeba kitu chochote mkononi huo ni uhaini msimu huu hatutakubaliana nae.
IMG_20230522_095936.jpg
 
Unachafua jukwaa letu ,manyumbu mkoje lakini
Samahani mkuu lengo sio kuchafua jukwaa, nia ilikua ni kumuhakikishia tu huyo jamaa aliekua anajidai kua mashabiki wa Arsenyau ndio wanaoongoza kuifurahia timu yao, hapo nimemuonyesha vivid examples namna gani mashabiki wa Arsenyo hua wanaichukia timu yao pale ligi inapoelekea tamati, tena inafikia baadhi ya mashabiki wengine hua wanaishiwa mpaka hoja na kuamua kulikimbia jukwaa lao baada ya kuwaaminisha misukule ya humu ndani kua mwisho wa msimu lazima wachukue ndoo.
 
Samahani mkuu lengo sio kuchafua jukwaa, nia ilikua ni kumuhakikishia tu huyo jamaa aliekua anajidai kua mashabiki wa Arsenyau ndio wanaoongoza kuifurahia timu yao, hapo nimemuonyesha vivid examples namna gani mashabiki wa Arsenyo hua wanaichukia timu yao pale ligi inapoelekea tamati, tena inafikia baadhi ya mashabiki wengine hua wanaishiwa mpaka hoja na kuamua kulikimbia jukwaa lao baada ya kuwaaminisha misukule ya humu ndani kua mwisho wa msimu lazima wachukue ndoo.
Tunataka Dutch David Moyes alete mataji makubwa kwa kusajili CF wa €85m mwenye goli 9
 
Tunataka Dutch David Moyes alete mataji makubwa kwa kusajili CF wa €85m mwenye goli 9
Habari za kuaminika kutoka England ni kwamba makipa wote wa EPL kasoro Andre Onana wameunda group lao la Whatsapp lengo ni kujadili ni namna gani wanaweza kumzuia Rasmus Hojlund, jamaa anaweza kufunga kwa kutumia kila kiungo kwenye mwili wake,Hojlund aliwahi kupiga penati kwa kichwa.
Kuna tetesi zinazagaa kua makipa wa Epl wanampango wa kufanya mgomo wa kuingia uwanjani ligi ikianza.
1690973087125.jpg
 
Back
Top Bottom