Raya and Arsenal: personal terms have been agreed as reported on Tuesday, talks between clubs continue.️ #AFC


“Anaitaka Arsenal.


YesFabrizio![]()
Ni kwli kabisa huu ni msimu wake wa nne utakuwa nadhani na tutapata kombe maana mpk Sasa kombe la angalau tulilopata ni FA cup tu....ni kama Baba Ubaya alivyojitutumua mwaka jana akapata lile kombe la bata..Sasa aache visababu vya kijingajinga kabla hata ligi haijaanza maana hela kapewa....na tukiwaangalia tu kwa sajili zenu mlivyofanya so far inaonekana kashanusa hatari ya kumalizia hata nje ya top 4 ndo maana kaanza kubweka mapema hvBaba ubaya ndio kwanza msimu wake wa pili tokea akbidhiwe timu, wakutimuliwa ni Masterclass in failure maana ameshamaliza fezi zote tayari, hivyo hatutegemei visababu vya uongo uongo vyovyote kutoka kwake msimu huu, mambo ya kutuhadaa kua tumeover archive wakati timu haijabeba kitu chochote mkononi huo ni uhaini msimu huu hatutakubaliana nae. View attachment 2706184
Masuala ya kugombania ubingwa ni nyinyi wenyewe mashabiki wa Asenyo ndio mlikua mkiuhadaa ulimwengu kua lazima mbebe ndoo, msitake kutusingizia sisi kua ndio tuliowatabiria huo ujinga wakati miaka yote tunatambua ile kauli ya JK kua Asenyo ni kichwa cha mwendawazimu.Msimu uliopita ni wachache wenye jicho ndio tulisema wazi wazi Arsenal anaenda kupigania ubingwa na tuliweka had range ya points kutoka 69 tulizopata ,ambapo tulipofix matatizo fulan zilikuwa zinaenda had 85
Makanjanja mlisema hata top 6 hatuingii
Msimu huu ndio mnadai tutagombea ubingwa ,
Na sisi tunataka Dutch David Moyes kwa madirisha mawili katumia £400m+ agombee EPL , top 4 ni udhaifuView attachment 2706126
Unapokuwa kwenye Race ya ubingwa lazima upige hesabu za Kubeba TajiMasuala ya kugombania ubingwa ni nyinyi wenyewe mashabiki wa Asenyo ndio mlikua mkiuhadaa ulimwengu kua lazima mbebe ndoo, msitake kutusingizia sisi kua ndio tuliowatabiria huo ujinga wakati miaka yote tunatambua ile kauli ya JK kua Asenyo ni kichwa cha mwendawazimu.
Tena Masingeli wewe ndio unakuaga mstari wa mbele kuuaminisha umma kua hakuna timu yoyote Epl yenye uwezo wa kuwin mechi 7 mfululizo halafu mna draw mechi moja kisha mnawin tena mechi 8.
Masingeli wewe ndio uliwashawishi misukule ya humu ishone sare ya vijora vya kusherehekea ubingwa kabisa halafu matokeo yake ukaingia mitini kabla hata ligi haijamalizika. View attachment 2706227View attachment 2706229View attachment 2706230View attachment 2706233
Ni kwli kabisa huu ni msimu wake wa nne utakuwa nadhani na tutapata kombe maana mpk Sasa kombe la angalau tulilopata ni FA cup tu....ni kama Baba Ubaya alivyojitutumua mwaka jana akapata lile kombe la bata..Sasa aache visababu vya kijingajinga kabla hata ligi haijaanza maana hela kapewa....na tukiwaangalia tu kwa sajili zenu mlivyofanya so far inaonekana kashanusa hatari ya kumalizia hata nje ya top 4 ndo maana kaanza kubweka mapema hv


bora hata baba ubaya walau msimu wake wa kwanza tu hakuondoka mikono mitupu, kabeba kombe la Carabao na akacheza fainali ya FA.
"Msimu huu tume-overachieve malengo yetu ilikua top four"
"Approach yetu sisi kushinda game to game mwisho wa msimu kombe wataamua wampe nani"
"We have come this far to lose the tittle to City"000Hii ni dariri wazi RW anakujaPepe anakaribia kuvunjiwa mkataba na Arsenal na kujiunga na Besiktas
(@tmtr_news )
Kuna taarifa uchwara zilianza kutoka Jana ,nilizipotezea nilijua ni fake tuTakehiro Tomiyasu hasn’t been offered to any Italian club despite reports. He’s regular part of Arsenal plans️
Situation could only change if Arsenal sign new fullback but nothing close or advanced at the moment.
Fabrizio
Aliambiwa hayupo kwenye mipango ya kocha atafute timu ,wakaja wasaudia wakashindwana pesaIla pepe kaondoka bila heshima yoyote mjue