Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mchezaji asipocheza vzuri kwny timu Yao wanadhani na kwngine nako itakuwa hvyohvyo...Cucurella alikuwa mzuri kwlikwli Brighton...wamemchukua wao wakamuharibu kijana wa watu...yaani ile timu labda Pochettino awabadilishe
Yule dogo ilikuwa aende mancity , Chelsea wakaparamia kuhijack lile deal ,nakumbuka humu wanaokumbuka watasema ,tuliwekaga stats zake na Nuno Tavares ,walikuwa hawapishani kabisa ,Kuna mashabiki walidai kwanini Arteta anaenda kwa Lisandro au Zinchenko badala ya huyo Cucubera


Pep aliweka waz kabisa hatoi Zaid ya £40m , Chelsea aka hijack deal akapigwa £62m , leo wanatafuta wa kumuuzia

Deals zote walizohijack zimebuma

Mpira una njia na taratibu zake ,unasajili kwa ajili ya kufit system sio sababu Mchezaji ni mzuri tu
 
Hahahaha ila nasikia Raya amembiwa aje apiganie namba

But kwa takwimu za Raya nisiwe mnafiki , Ramsdale bench linamuita

Raya ndiye anaongoza kwa kupiga long balls successful nadhan ulaya nzima kwa ma GK, kwenye buildup ni mzuri lakin sio elite Sana Kama kina Allison,Ederson ,au onana
Raya golini alf una Ivan Toney mbele zile long balls za Raya ingekua balaa tupu.
 
Huyo jamaa sijui Arteta alimtoa wapi!!
Alionekana ana potential nzuri ni vile hajafikia matarajio

Pia presha ya Arsenal ilimshinda,alipoenda palace mkopo alicheza vzr kwa level ya timu hizo,

I think mahitaji ya timu kwasasa ni makubwa ndio maana awali tulimtaka Yuri Tielemans,now hata alivyokuwa free akaonekana hatufai

Lokonga anaenda Burney kwa kocha wake wa zamani , anaweza kutulia akacheza vzr ,kwa hadhi ya Burney
 
Yule dogo ilikuwa aende mancity , Chelsea wakaparamia kuhijack lile deal ,nakumbuka humu wanaokumbuka watasema ,tuliwekaga stats zake na Nuno Tavares ,walikuwa hawapishani kabisa ,Kuna mashabiki walidai kwanini Arteta anaenda kwa Lisandro au Zinchenko badala ya huyo Cucubera


Pep aliweka waz kabisa hatoi Zaid ya £40m , Chelsea aka hijack deal akapigwa £62m , leo wanatafuta wa kumuuzia

Deals zote walizohijack zimebuma

Mpira una njia na taratibu zake ,unasajili kwa ajili ya kufit system sio sababu Mchezaji ni mzuri tu
Usajiri ni kama kamari tu na hakuna timu ambayo haijawahi kupigwa kwenye usajiri hata huyo Arteta kuna sajiri kashapigwa nyingi tu anatafuta wa kumtupia
Pepe
Lokonga
Tavares
Vieira
Holding
 
Usajiri ni kama kamari tu na hakuna timu ambayo haijawahi kupigwa kwenye usajiri hata huyo Arteta kuna sajiri kashapigwa nyingi tu anatafuta wa kumtupia
Pepe
Lokonga
Tavares
Vieira
Holding
Holding na Tavares walinunuliwa bei ndogo so haiwezi Kutarajiwa makubwa sana.

Vieira bado msimu wa pili tu huu so anaweza develop kama martinelli au ESR.

Hapo flops ni Pepe na Lokonga, hasa Pepe maana alilipiwa zaidi ya £70 Million!!
 
Usajiri ni kama kamari tu na hakuna timu ambayo haijawahi kupigwa kwenye usajiri hata huyo Arteta kuna sajiri kashapigwa nyingi tu anatafuta wa kumtupia
Pepe
Lokonga
Tavares
Vieira
Holding
Holding na Pepe sio sajili za Arteta...hao aliwakuta tyri washajiliwa na makocha wengine
 
Usajiri ni kama kamari tu na hakuna timu ambayo haijawahi kupigwa kwenye usajiri hata huyo Arteta kuna sajiri kashapigwa nyingi tu anatafuta wa kumtupia
Pepe
Lokonga
Tavares
Vieira
Holding

Usiongee vitu usivyovijua au ni Bora uulize

Vieira Wala hajafeli huyo jamaa Alifika injury na hakuwa na fitness lakin ana G/A. nzuri tu kwa mech alizoanza na hakuna mpango wakuuzwa au mkopo ,

Pepe holding sio sajili zake

Lokonga alikuja kwa Bei ndogo kipind anajenga timu ameshindwa kuendana na quality ya timu ,ni kipind ambacho Arteta akisajili wachezaji wengi Sana wasio na majina au walioonekana hawafai kuchezea Arsenal ,

Tavares wewe unamuona kafeli kwa Arsenal ,lakin kule loan kafanya vzr tu ,ni vile kwa Arsenal Kuna watu Wana uwezo kuliko Yeye ,

Tavares yupo zaidi ya hata Cucurela na Arsenal walimnunua kwa €8m tu ,last season walikataa loan with obligation ya €25-30m, huyu ana matatizo mengine ya nidhamu , na ni ngumu huyu kuchukua namba kwa Zinny, KT na Tomiyasu , hawez kupata game time kabisa

Katika hao wawili kwa Sasa hawawez kucheza Arsenal sababu Kuna quality zaidi Yao Ila hapo Chelsea wanacheza vzr kabisa
 
Holding na Pepe sio sajili za Arteta...hao aliwakuta tyri washajiliwa na makocha wengine
Jamaa anaongea kwa confidence kabisa

Sajili za Arteta ambazo hazina click na anaziondoa Sasa ni Lokonga , Tavares ,

Hivi wanaosema Vieira kafeli wanatumia kigezo gan , ni mchezaji alifika bila pre season,mechi alizocheza na G/A nzuri kuliko hata kina mudrky ,


Kuna sehemu Arteta alisema msimu huu kazi yake nyingine ni kumsaidia Vieira awe vzr zaidi maana ana talent
 
Arsenal have officially extended their shirt partnership with Emirates until 2028.

The new commercial deal is valued at around £50m per year, matching Liverpool’s with Standard Chartered.
20230802_111341.jpg
 
Folarin Balogun ameitaka Arsenal kupunguza bei ya uhamisho wake.

Balogun anaamini kuwa Arsenal wameongeza pauni milioni 10 juu ya hesabu yao (takriban £50m kwa jumla ).

Klabu hiyo inadhani bei yake ni sawa kutokana na msimu wake wa mabao 22 akiwa na Stade de Reims.

 
Klopp na Ten hag wametupa taulo mapema kwenye kugombea ubingwa

Hii shughuli tuachieni sisi nyie hamfai kwenda vitani

Klopp and Ten Hag targeting Top 4 finish!

Klopp: “Nobody besides maybe #ManCity can have the real target to become champions again this year.”

Ten Hag (title challenge): “I think no one in the Premier League can do that, maybe #ManCity, because for the last six years, they won the title five times. So they can talk about that…”
 


Arteta -


"Tuna sura mpya kwenye kikosi mwaka huu, na ninafuraha kwamba tuliweza kuwaleta wachezaji hawa mapema kwenye dirisha la uhamisho ili tuweze kufanya kazi nao mapema.

Maoni ambayo tumekuwa nayo kutoka kwa wachezaji wapya ni kwamba wanahisi kama wamekuwa hapa kwa miaka tayari.

Hiyo inakuambia mengi kuhusu tamaduni ya hapa, na jinsi kila mtu mahali hapa anavyokaribishwa na rahisi, kukufanya ujisikie kuwa sehemu yake na sehemu ya familia ya Arsenal mara moja.




(Arsenal)

arsenal.com
20230801_171429.jpg
 
Klopp na Ten hag wametupa taulo mapema kwenye kugombea ubingwa

Hii shughuli tuachieni sisi nyie hamfai kwenda vitani

Klopp and Ten Hag targeting Top 4 finish!

Klopp: “Nobody besides maybe #ManCity can have the real target to become champions again this year.”

Ten Hag (title challenge): “I think no one in the Premier League can do that, maybe #ManCity, because for the last six years, they won the title five times. So they can talk about that…”
Hawataki kukaribisha presha...wanajihami mapema....ila hasahasa Baba Ubaya asilete visingizio maana alivyokuja alisema Era huwa Zina mwsho wake....na yy amepewa mahela mengi ya usajili kwhyo asianze kutafuta sababu mapema
 
Hawataki kukaribisha presha...wanajihami mapema....ila hasahasa Baba Ubaya asilete visingizio maana alivyokuja alisema Era huwa Zina mwsho wake....na yy amepewa mahela mengi ya usajili kwhyo asianze kutafuta sababu mapema
 
Klopp na Ten hag wametupa taulo mapema kwenye kugombea ubingwa

Hii shughuli tuachieni sisi nyie hamfai kwenda vitani

Klopp and Ten Hag targeting Top 4 finish!

Klopp: “Nobody besides maybe #ManCity can have the real target to become champions again this year.”

Ten Hag (title challenge): “I think no one in the Premier League can do that, maybe #ManCity, because for the last six years, they won the title five times. So they can talk about that…”
Ten Hag (title challenge): “I think no one in the Premier League can do that, maybe Arsenal , because for the last 25 years, they won the title only one time. So they can talk about that…”
 
Back
Top Bottom