hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,322
- 26,764
Yule dogo ilikuwa aende mancity , Chelsea wakaparamia kuhijack lile deal ,nakumbuka humu wanaokumbuka watasema ,tuliwekaga stats zake na Nuno Tavares ,walikuwa hawapishani kabisa ,Kuna mashabiki walidai kwanini Arteta anaenda kwa Lisandro au Zinchenko badala ya huyo CucuberaMchezaji asipocheza vzuri kwny timu Yao wanadhani na kwngine nako itakuwa hvyohvyo...Cucurella alikuwa mzuri kwlikwli Brighton...wamemchukua wao wakamuharibu kijana wa watu...yaani ile timu labda Pochettino awabadilishe
Pep aliweka waz kabisa hatoi Zaid ya £40m , Chelsea aka hijack deal akapigwa £62m , leo wanatafuta wa kumuuzia
Deals zote walizohijack zimebuma
Mpira una njia na taratibu zake ,unasajili kwa ajili ya kufit system sio sababu Mchezaji ni mzuri tu



