Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

hiyo series yangu Bora kabisa ,

Kinachonichekesha kulikuwa na kelele Sana za kushambuliwa Havertz na most wanataka afeli waseme si tulisema,

Cha ajabu mount had Sasa pre season mechi kacheza 4, hatuoni hype Tena

Havertz ambaye anaandamwa anazidi kuzoea na anafunga

Haters wameingia mitini ,wanasubiri tufungwe warudi kumtoa mbuzi wa kafala
🤣🤣🤣
 
Mudryk is far better kwa kai , hakuna hata mmoja hapa anaepinga chelsea last season ilikua mbovu na mudryk kaenda blues january.
Mudryk the way anavyocheza unaona kabisa huyu dogo anakila kitu tumemuona akiwa shakhtar kwenye UEFA alikuwa hata baadhi ya game alizopata nafasi hajafanya vibaya kacheza vizuriii tu na hata hizi pre season yuko vizurii this season huyu dogo itakuwa habari nyingine kabisa chelsea.

Huyu mudryk kipindi kile anatakwa na arsenal watu walikua wanasifu sana mara ooh ni neymar mpya nashangaa now vijana wanaponda tu kisa kaenda chelsea , ushabiki wa kitoto sana huu .
Mudryk na kai still mudryk ni far better kwa kila kitu naamini this season tukipata muda tutarudii tuone nan kafanya vizuriii zaidiii . Flop ni pale unapopewa chance na haufanyi chochote nembu tuonyeshe u flopp wa mudryk hata kwa kutaja game 1 tu ya zilizopita
wAnakwambia Mudryk ni flop?! wakati tokea aende chelsea hajawahi kucheza hata dk.30 ndani y dk. 90. Ila Havetrz aliyepewa dk.90 game zote chelsea na akacheza utumbo. kwa vile ameenda Kw makondoo wanakwambia ni talented😂😂
 
Hawa Arsenyau wana nongwa na wivu sana kikubwa ni kuwazoea tu, hata Martinez wakati wao wanamtaka walikua wanamsifia kwelikweli utadhani hakuna CB bora duniani kuliko Martinez, ila baada ya kusajiliwa na Man Utd wakaanza kumkandia kua kaMartinez ni kafupi sana hakafai kua CB, mara sisi tulikua tunamtaka aje kua backup sio starter, wengine wakadai ametokea farmers league Epl atakua ni flop.
Mashabiki wa Arsenyo ni wana wivu kuliko hata dada zao.
Hawa ni makondoo, halafu akili zao wote zinafanana, sahiz kudus anasifiwa hapa hatari, ngoja awatose kama alivyowatosa Mudryk. Watamchamba
 
wAnakwambia Mudryk ni flop?! wakati tokea aende chelsea hajawahi kucheza hata dk.30 ndani y dk. 90. Ila Havetrz aliyepewa dk.90 game zote chelsea na akacheza utumbo. kwa vile ameenda Kw makondoo wanakwambia ni talented
Ulishajiuliza kwann alikuwa hata hizo 90 hapewi? Maana hata ukimpa 30 anakosa magoli hata ya wazi

Naona mmesajili ogochukwu

Chelkenge Kutoka kiungo cha mpira cha Joginho, kante, kovacic, mpaka Chikuemweka, Enzo, galagher ,Ogochukwu hakika hiki ni kiungo cha mboga

Mmarekani akamatwe haraka sana kabla kilabu cha mbege pale darajan hakija angamia na kushuka daraja
 
Ulishajiuliza kwann alikuwa hata hizo 90 hapewi? Maana hata ukimpa 30 anakosa magoli hata ya wazi

Naona mmesajili ogochukwu

Chelkenge Kutoka kiungo cha mpira cha Joginho, kante, kovacic, mpaka Chikuemweka, Enzo, galagher ,Ogochukwu hakika hiki ni kiungo cha mboga

Mmarekani akamatwe haraka sana kabla kilabu cha mbege pale darajan hakija angamia na kushuka daraja
Ana vitu vingi vya kujifunza labda Pochettino atampiga msasa
 
Hawa ni makondoo, halafu akili zao wote zinafanana, sahiz kudus anasifiwa hapa hatari, ngoja awatose kama alivyowatosa Mudryk. Watamchamba
Kudus ni potential
Kudus anakuja kuongeza upana wa kikosi pale Emirates

Kwaio tinaenda na reasonable price


Alafu inabidi mjue mount angekuja arsenal na Kai angeenda unyumbuni


Mount angekua hatari mno mno mno kuliko Kai
 
Kudus ni potential
Kudus anakuja kuongeza upana wa kikosi pale Emirates

Kwaio tinaenda na reasonable price


Alafu inabidi mjue mount angekuja arsenal na Kai angeenda unyumbuni


Mount angekua hatari mno mno mno kuliko Kai
Halafu sisi kwasasa hatuna haraka Tena ya kusajili tumeshamaliza target zetu ,tunauwezo wakwenda na hiki hiki kikosi

Now tumefocus kuuza then tununue

Kudus yupo ,why hawatumi ofa wamchukue ?

Za ndani nasikia hataki kwenda ukengeni
 
Breaking News

Kroenke amepanga kumuongezea mkataba mrefu zaidi Mikel Arteta

Mikel Arteta and the Kroenke’s held preliminary contract extension talks in the USA while the club was on tour.
20230725_044942.jpg
 
Kudus ni potential
Kudus anakuja kuongeza upana wa kikosi pale Emirates

Kwaio tinaenda na reasonable price


Alafu inabidi mjue mount angekuja arsenal na Kai angeenda unyumbuni


Mount angekua hatari mno mno mno kuliko Kai
Ila kwa kua amaeenda kwa pundamilia ni mmbovu. Mount ni mchezaji mzuri hata huko huko unyumbuni ni mzuri kuliko Kai. Ni muda tu ndio utasema. Mtakapoanza kumtukana kai sisi hatutaongea chochote.
 
Halafu sisi kwasasa hatuna haraka Tena ya kusajili tumeshamaliza target zetu ,tunauwezo wakwenda na hiki hiki kikosi

Now tumefocus kuuza then tununue

Kudus yupo ,why hawatumi ofa wamchukue ?

Za ndani nasikia hataki kwenda ukengeni
Acha masihara mkuu, hataki ukengeni fc
 
Acha masihara mkuu, hataki ukengeni fc
Ukienda Chelsea ujiandae ku flop mda wwte....lile ni genge la wafukuza upepo...mchezaji akitaka kuchagua timu ya kwenda kucheza na walau akawa ana risk ndogo ya ku flop katika ya Manyumbu na Chelkenge...ntamuona ana akili kama ataenda kwa Manyumbu maana wale ingawa wanafukuza upepo nao ila wanafukuza kwa akili siyo kama kwa Hawa kina Madueke
 
Ulishajiuliza kwann alikuwa hata hizo 90 hapewi? Maana hata ukimpa 30 anakosa magoli hata ya wazi

Naona mmesajili ogochukwu

Chelkenge Kutoka kiungo cha mpira cha Joginho, kante, kovacic, mpaka Chikuemweka, Enzo, galagher ,Ogochukwu hakika hiki ni kiungo cha mboga

Mmarekani akamatwe haraka sana kabla kilabu cha mbege pale darajan hakija angamia na kushuka daraja
nA hao hao wachezaji nakupga home and away. Shuuubamit
 
Back
Top Bottom