Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Baller Review - Bitello

Club: Grêmio

Nationality: Brazil

Position(s): AM, CM, RW, RM, DM

Preferred Foot: Right

Height: 5’10”/178cm

Age: 23

Strengths: stamina, versatility, agility, distant shooting, box entry

Development Areas: physical strength, consistent decision makingView attachment 2699205
Nimemuangalia vizuri, atahitaji msimu mmoja ndio aanze kuingia first kikosi cha wakubwa Kama akija arsenal
 
Nimemuangalia vizuri, atahitaji msimu mmoja ndio aanze kuingia first kikosi cha wakubwa Kama akija arsenal
Naona watamuacha had November Kama dili likikamilika ,anaoneka hatachukua muda Sana ,nimempendea kwenye mashuti
 
First eleven yangu Hadi Sasa ya kuanza nayo EPL View attachment 2699206
Kwasababu timber na saka partnership unahitaji muda wazoeane

Kuna trossad, Rowe, Kai, kiwior, tomiyasu

Hapo bado Kuna Tierney, nketiah, Nelson

Kudus je akija?

Mbape nasikia anatushobokea, Ila Arteta amekausha

Kusema kweli, Mimi nakosa first eleven, Ila najua msimamo wa kwanza ni Arsenal NDOO

Naimani Arteta huko alipo kichwa kinamuuma Kama mimi
 
Kwasababu timber na saka partnership unahitaji muda wazoeane

Kuna trossad, Rowe, Kai, kiwior, tomiyasu

Hapo bado Kuna Tierney, nketiah, Nelson

Kudus je akija?

Mbape nasikia anatushobokea, Ila Arteta amekausha

Kusema kweli, Mimi nakosa first eleven, Ila najua msimamo wa kwanza ni Arsenal NDOO

Naimani Arteta huko alipo kichwa kinamuuma Kama mimi
Kwa saka na Timber wanahitaji nao kuzoeana ,

Cha kwanza ile rythim ya last season inatakiwa kubaki pale pale ,

Zinchenko atusogeze ,timber atakuwa kashazoea
 
Naona watamuacha had November Kama dili likikamilika ,anaoneka hatachukua muda Sana ,nimempendea kwenye mashuti
Ana-shut Sana nje ya box,
interception pia yupo vizuri,
Dribbling kupandisha timu yupo vizuri Sana hapa

Namuona Kama advanced namba 8 au wings
 
Kwa saka na Timber wanahitaji nao kuzoeana ,

Cha kwanza ile rythim ya last season inatakiwa kubaki pale pale ,

Zinchenko atusogeze ,timber atakuwa kashazoea
Kama ukiangalia vizuri game na nyumbu

Rowe na tomiyasu wamekuja na energy kubwa Sana, ata ukifatilia interviews zao wapo so angry hasa hasa Rowe

Trossad huyu unaweza muita cazora Jr, unajua kutunza mipira, anapokea mipira mazingira magumu bila shida alafu yupo fasta kwenye maamuzi kaangalie lile goal anawapiga wale wamerakani

Unaweza kuta trossad akaupiga mwingi kuliko rice katika ile namba
 
Ana-shut Sana nje ya box,
interception pia yupo vizuri,
Dribbling kupangisha timu yupo vizuri Sana hapa

Namuona Kama advanced namba 8 au wings
Akicheza Kama Winger anasaidia kukaba maana wamemtumia Sana Kama adv 8, DM ,

Ligi ya EPL ukiwa na kipaji ,ongeza na physical haikusumbui , Martinelli alipofika walimuumiza ,alipokaa nje karibu nusu mwaka ,alirudi vzr kimwili

Naona Saka anazidi kuongeza mwili ili mabeki wapate tabu
20230725_065201.jpg
 
Akicheza Kama Winger anasaidia kukaba maana wamemtumia Sana Kama adv 8, DM ,

Ligi ya EPL ukiwa na kipaji ,ongeza na physical haikusumbui , Martinelli alipofika walimuumiza ,alipokaa nje karibu nusu mwaka ,alirudi vzr kimwili

Naona Saka anazidi kuongeza mwili ili mabeki wapate tabu View attachment 2699222
Hii picha Shaw ameiona?
 
Kama ukiangalia vizuri game na nyumbu

Rowe na tomiyasu wamekuja na energy kubwa Sana, ata ukitatilia interviews zao wapo so angry hasa hasa Rowe

Trossad huyu unaweza muita cazora Jr, unajua kutunza mipira, anapokea mipira mazingira magumu bila shida alafu yupo fasta kwenye maamuzi kaangalie lile goal anawapiga wale wamerakani

Unaweza kuta trossad akaupiga mwingi kuliko rice katika ile namba
Trosaard ile namba anaiweza na anatupa kitu Cha tofauti , nilimuona Kama kazingua zile mech za mwisho ,nilipofatilia vzr kumbe akicheza zile mechi na injury ,

Baada ya pale akaenda kufanyiwa surgery ndogo

Trosaard hata kukaba anajua , pia ana ufundi mguuni wakutoa assist na kufunga

Rice bado hiyo namba hatujamuona


Ila Partey na Zinchenko wakianza wote, kule mbele kila mtu utamuona fundi
 
Trosaard ile namba anaiweza na anatupa kitu Cha tofauti , nilimuona Kama kazingua zile mech za mwisho ,nilipofatilia vzr kumbe akicheza zile mechi na injury ,

Baada ya pale akaenda kufanyiwa surgery ndogo

Trosaard hata kukaba anajua , pia ana ufundi mguuni wakutoa assist na kufunga

Rice bado hiyo namba hatujamuona


Ila Partey na Zinchenko wakianza wote, kule mbele kila mtu utamuona fundi
Yes
Zinchenko na partey wakiwa Kama holding midfielders
Rice na odegard watakua wanachange position na kutafuta vyumba
Kwaio muda mwingi saka, martinel na Jesus watakua wanashinda kulekule juu

Na ikitokea tunashambuliwa rice anakuja kupattern na partey
Huku zinchenko aki-drop down

Kuna hatari nainusa msimu huu
 
Ana-shut Sana nje ya box,
interception pia yupo vizuri,
Dribbling kupandisha timu yupo vizuri Sana hapa

Namuona Kama advanced namba 8 au wings
️ | No midfielder has won more fouls or had more touches in the opposition boxes in the Brazilian league this season then Gremio midfielder Bitello. (@Squawka)

The 23-year-old is on the verge of joining Arsenal. #afc #Transfers
 
Yes
Zinchenko na partey wakiwa Kama holding midfielders
Rice na odegard watakua wanachange position na kutafuta vyumba
Kwaio muda mwingi saka, martinel na Jesus watakua wanashinda kulekule juu

Na ikitokea tunashambuliwa rice anakuja kupattern na partey
Huku zinchenko aki-drop down

Kuna hatari nainusa msimu huu
Hii pre season tumuache kocha atafute paternship nzuri yakushinda mechi nyingi , Kuna mech Kama zile za Newcastle, Astonvilla, Brighton , hizi mech huwa hizi timu Kuna muda zinaziba mianya zinataka sare au kukuvizia kaunta

Zinchenko hapo ndio huwa nampenda anazunguka maeneo yote anapiga pass tu za mbele

Even hata ile mech na nyumbu Emirates , Zinny alipiga mpira mkubwa Sana ,ilifika muda tunahitaji ushindi ,hapo zilipigwa pas s za mbele kila wakati ,

Hapo Martinelli atakukimbiza ,Saka atakuchukua kwenye box

Lakin yote hayo ni wapate mipira Mara kwa Mara
 
| Tomiyasu on the positions he can play: “Obviously, not only me, we’ve got players like Ben White, Timber, Kiwior who can play full-back or centre-back.

“For me, it’s the same thing. I just want to be on the pitch. I want to play as much as I can and help the team.

“Which position, I don’t care. I haven’t spoken to the manager about it, I don’t know.” [@TheAthleticFC] #afc
20230725_233707.jpg
 
Barcelona wanatarajiwa kuja na kikosi hiki


Barça's possible XI against Arsenal:

Ter Stegen; Roberto, Araujo, Christensen, Alonso; Romeu, Gündogan, Pedri; Gavi, Ferran Torres, Raphinha.

sport
 
| Tomiyasu on Champions League: “I am so excited to play and just want to be on the pitch to help the team. So the first thing I need to do is prove my value in the training.

“The level in training is much higher than last season. This is good for the team and for me.

“If you want to be a better player you need to play with better players in a competitive environment.” [@TheAthleticFC] #afc
 
Hii pre season tumuache kocha atafute paternship nzuri yakushinda mechi nyingi , Kuna mech Kama zile za Newcastle, Astonvilla, Brighton , hizi mech huwa hizi timu Kuna muda zinaziba mianya zinataka sare au kukuvizia kaunta

Zinchenko hapo ndio huwa nampenda anazunguka maeneo yote anapiga pass tu za mbele

Even hata ile mech na nyumbu Emirates , Zinny alipiga mpira mkubwa Sana ,ilifika muda tunahitaji ushindi ,hapo zilipigwa pas s za mbele kila wakati ,

Hapo Martinelli atakukimbiza ,Saka atakuchukua kwenye box

Lakin yote hayo ni wapate mipira Mara kwa Mara
Ndio maana partey alivyoumia Lokonga hakutosha pale kwenye kiungo
Tukajikuta timu nzima inadrop chini kabisa kusaidia defense

Sasa saka na martinel ukiwahakikishia flow ya mipira kule mbele, kwa wastani wwa kila dakika 20 lazima ufungwe tu

Zinchenko pass 2 nyuma nane zitaelekea mbele

Vision ya odegard na Sasa hivi tuna huyu rice ambae nae ni mnyambulikaji mzuri.

saka hana record za majerui ya Mara kwa Mara.

Kuna balaa Sana msimu huu,
 
Back
Top Bottom