Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Kwa mtu anayejua mpira, that was a good result at this stage of preseason, otherwise we would have been carried away with complacency
 
Una vitu vingi vya kujifunza kwenye football hasa nje ya possession football.

Unalazimisha kila timu ifanane uchezaji na Arsenal. United toka miaka hiyo hatuchezi mpira wa furahisha genge. Tusipocheza transition football basi tutapiga counter attack, pasi mbili tu tunabadilisha matokeo.

Hizo individual errors ndiyo zinahitajika ili timu ifungwe, Heaton kupiga mpira kwa Mainoo pasi hadi kwa Bruno siyo miujiza kuwa ilitokea tu au goli la pili mabeki wenu walifanya makosa na siyo kwamba Sancho alijikuta tu kwenye nafasi ya kuchukua mpira kimiujiza. Jifunze kutoa credits hata kama siyo timu yako iliyoshinda. Last season OT mlifungwa kwa kuzidiwa mbinu usitafute vijisababu.

Wewe kawaida yako ni ubishi na upo deluded hutaki timu yako ikosolewe.
 
Wapi nimelazimisha timu zote zicheze hivo?

Yaani kushinda pre season umeshaona tayari mna timu ya ubingwa?

Kuna mwaka gan pre season mlifungwa nyie

Tumeona mlikamia kutaka kuvunja had wachezaji wetu

Mimi narudia manjesta wachezaji wanaoweza kuingia Kikos cha Arsenal hawazid wawili au mmoja
 
Kwa mtu anayejua mpira, that was a good result at this stage of preseason, otherwise we would have been carried away with complacency
Kabisa maana pale Kocha ndio anaelewa combination gan ianze na ipi inafaa

Sasa Hawa wenzetu wamehitimisha tayari timu yao ni Bora kuliko Arsenal

Ni swala la muda tu wataanza kulia Lia
 
Kuna wakati unakuwa na hoja ila prizentesheni ya kizaramo inakuponza mkuu
.any way jana umeumia sana kwa chama lako kufungwa.once a gooner always a gooner
 
Sahihi.no matter how good are they,kuna muda ile killing instinct inakosekana na hiki kitu kifanyiwe kazi saaana
 
Sawa.
 
Mpira wa siku hizi unahitaji nidhamu... Nidhamu ni kitu kikubwa sana

"You underestimate your opponent then be prepared to be humbled"
Siokweli kwamba tulimu underestimate,

Kwann hamtaki kuelewa maana ya pre season

Huon kwamba kupitia mchezo Kama ule kocha anapata best combination ipi yakutembea nayo kwenye Ligi na UCL

Wachezaji Kama Martinelli ,Tomiyasu wametoka injury ,kucheza michezo Kama ile wanarudisha fitness

3 new players ambao hawajawahi kucheza pamoja ,wanacheza katika system mpya ,ndio sehemu yakusomana na wenzao
 
Teamnewsandix-Tier 1

I have no idea if this Olise story is true

But wonder if this could of happened because Kudus has been speaking to someone else for months and months now ...
 
Club is very keen on Kudus. Let’s see what happens. There’s dialogue with all parties now.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…