Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sisi haoooo
Kipa la boli a.k.a ukuta wa berlin.
Onana mmoja ni sawa na RasMadale 1000
Unaambiwa sio kudaka tu mpira bali ana uwezo wa kudaka mpaka matatizo yenu ya familia Kima nyie.
Onana kashamwambia Ten Hag hapo nyuma hataki kucheza na beki yoyote, mabeki wote wapande juu wacheze midfield, hivyo mjipange msimu ujao tunachezesha midfielders 6 halafu mipira yote ya kona na adhabu amesema ni jukumu lake.
Bado kuna Sufyan Amrabat na striker la magoli Rasmus Højlund wanatua wiki ijayo.
Msimu huu tusiporudia kumpiga tena mtu goli 8 niulizwe mimi. View attachment 2695133View attachment 2695134View attachment 2695135
mwanangu unazingua asee, hivi mnategemea kushindana na viungo kina casemiro anayejinenepea halafu mabos wenu hawana muda wakutafuta mbadala sahihi

Casemiro anawapa matumaini mtagombea ubingwa

Cha ajabu ana miaka 30+

Hamna mbadala wake sahihi na Sion mkimpata

Huyo amrabat siku zote alikuwa wapi , yaan form ya mech 3 Kati ya 8 world cup ndio inawadanganya

Ulishajiuliza kwann ana miaka 26 lakin bado hashobokewi na Bei yake haizidi £40m ,unadhani angekuwa mzuri had Sasa timu zinazotaka DM zingekuwa zimemuacha tu
20230720_222803.jpg
 
PSG want Nuno Tavares to replace Juan Bernat and give competition to Nuno Mendes, who’s been injured.


More from @relevo -

1. PSG see Tavares as good, low cost back up to Nuno Mendes

2. Tavares is well positioned to join PSG as not in Arsenal plans
 
PSG want Nuno Tavares to replace Juan Bernat and give competition to Nuno Mendes, who’s been injured.


More from @relevo -

1. PSG see Tavares as good, low cost back up to Nuno Mendes

2. Tavares is well positioned to join PSG as not in Arsenal plans
Wakimchukua Nuno tuwape na Pepe bure kama nyongeza maana si anataka kubaki Ulaya na mshahara wake wataweza kumlipa
 
Manchester United vs Arsenal katika Uwanja wa MetLife

Tiketi zimeisha zote, Mechi itaweka rekodi ya mapato.

Ripoti:BBC


20230721_154552.jpg
 


Arteta amesema hataki kutabirika msimu huu ,

So kumbe tunaweza kucheza na back 4 ya Timber white Saliba na Magalhaes

Halafu tukiwa na mpira nyuma wanabaki watatu White Saliba Magalhaes

Hapo wote wapo comfortable na mpira hakuna fala

Timber anakuwa Kiungo anaungana na Rice, Øde

Kai anapanda juu anakuwa anacheza Kama Second Striker lakin pia Kama no.8 wa uongo na kweli ,Kai Kama Second Striker anakupa vitu vingi atawin mipira ya juu ambayo ni tatizo kwa Arsenal ,Kai ni mrefu kuliko mchezaji yeyote Arsenal ,

Huo ni mfano tu tunavyoweza kubadilika tofauti tofauti

Kuna combination nyingi tunaweza kuzitumia

Mfano kiungo Cha Partey Ødegaard na Rice

Kuna siku tutaweka wote Partey , Ødegaard,rice , zinchenko,timber ili tuoneshane makali
Mrefu kuliko wote hapana.

Saliba na Magalhaes
 
Arsenal & Man United should not be playing Preseason friendlies, we are not friends whatsoever.

Go watch 2003 'Battle of Old Trafford' on our way to the INVINCIBLES
20230721_165621.jpg
 
Mjadiliane hivi hivi mkishaanza kula visago, hatutaki matusi kwa mabeki wa kipa.
Tunaomba utujulishe visago vinaanza link??
Ligi ikianza?Katikati au Aprili mwakani??

Msimu huu tukianza ndo tumemaliza!!!!!
 


Arteta amesema hataki kutabirika msimu huu ,

So kumbe tunaweza kucheza na back 4 ya Timber white Saliba na Magalhaes

Halafu tukiwa na mpira nyuma wanabaki watatu White Saliba Magalhaes

Hapo wote wapo comfortable na mpira hakuna fala

Timber anakuwa Kiungo anaungana na Rice, Øde

Kai anapanda juu anakuwa anacheza Kama Second Striker lakin pia Kama no.8 wa uongo na kweli ,Kai Kama Second Striker anakupa vitu vingi atawin mipira ya juu ambayo ni tatizo kwa Arsenal ,Kai ni mrefu kuliko mchezaji yeyote Arsenal ,

Huo ni mfano tu tunavyoweza kubadilika tofauti tofauti

Kuna combination nyingi tunaweza kuzitumia

Mfano kiungo Cha Partey Ødegaard na Rice

Kuna siku tutaweka wote Partey , Ødegaard,rice , zinchenko,timber ili tuoneshane makali
Mechi na Man U msimu ujao tunakuwa tumeshatwezwa kuwa mabingwa, basi tunaweka viungo wote ili mradi tu tuwanyime mpira wabakie wanakimbia kimbia tu uwangajani...
 
Tunaomba utujulishe visago vinaanza link??
Ligi ikianza?Katikati au Aprili mwakani??

Msimu huu tukianza ndo tumemaliza!!!!!

Last season ilikua upepo tu mkashindwa kupita nao, subiri uone this season tupo hapa hata september haifiki mshapoteana . Kijana wenu wa overloading and pressing yuko mafichoni kawakimbia.

Huku mtabaki kama vituko mkijazana false hope oooh january sijui anatakiwa aje huyu mara yule.
Kama vile sio nyinyi ambao mmeteka dirisha la usajili huu sidhani kama imefika arsenal kwa stories za usajili mabingwa kina city wametulia tu, liver wamechukua watu 2 wapo kimya ila arsenal sasa ngoja uone hio october wameshaanza kupoteana
 
Last season ilikua upepo tu mkashindwa kupita nao, subiri uone this season tupo hapa hata september haifiki mshapoteana . Kijana wenu wa overloading and pressing yuko mafichoni kawakimbia.

Huku mtabaki kama vituko mkijazana false hope oooh january sijui anatakiwa aje huyu mara yule.
Kama vile sio nyinyi ambao mmeteka dirisha la usajili huu sidhani kama imefika arsenal kwa stories za usajili mabingwa kina city wametulia tu, liver wamechukua watu 2 wapo kimya ila arsenal sasa ngoja uone hio october wameshaanza kupoteana
Ukitaka usisikie habari za arsenal au kuona watu wakiongelea timu Yao ni very simple....unaacha kuingia kwenye hili jukwaa hutakaa uone...unaongea as if unaumia saaana mkuu...watu wakikimbia au wasipokimbia ww kinakuwasha nn....after all hii ni platform ya mashabiki wa Arsenal... whichever timu unayosapoti nenda huko kwny timu yenu mkaongee mambo realistic kama unaona hmu Kuna hadithi za alfa na ulela
 
Last season ilikua upepo tu mkashindwa kupita nao, subiri uone this season tupo hapa hata september haifiki mshapoteana . Kijana wenu wa overloading and pressing yuko mafichoni kawakimbia.

Huku mtabaki kama vituko mkijazana false hope oooh january sijui anatakiwa aje huyu mara yule.
Kama vile sio nyinyi ambao mmeteka dirisha la usajili huu sidhani kama imefika arsenal kwa stories za usajili mabingwa kina city wametulia tu, liver wamechukua watu 2 wapo kimya ila arsenal sasa ngoja uone hio october wameshaanza kupoteana
Unatuchanya mkuu, mara unasema haifikii September tunapoteana, mara tena October.Hatukuelewi mkuu unachokiongea.

Haya tuachane na hayo, hebu chagua moja kati ya hizi chini

a. Partey+Rice+Odegard
b. Partey+Havertz+Odegard
c. Partey+Jorginho+Odegard+Havertz
 
Ukitaka usisikie habari za arsenal au kuona watu wakiongelea timu Yao ni very simple....unaacha kuingia kwenye hili jukwaa hutakaa uone...unaongea as if unaumia saaana mkuu...watu wakikimbia au wasipokimbia ww kinakuwasha nn....after all hii ni platform ya mashabiki wa Arsenal... whichever timu unayosapoti nenda huko kwny timu yenu mkaongee mambo realistic kama unaona hmu Kuna hadithi za alfa na ulela

Tupo hapa kuwakumbusha mzee ila tunaumia nyinyi kuwa na matumaini bandia si unajua tena ndugu zetu wa kenya walishajinyonga wengi tu kisa matumaini bandia ya arsenal.
Kuhusu kuumia kisa arsenal huo ni uongo, kukimbia huko ndipo tunapoumia coz mtakuwa hamjapenda kukimbia vichapo ndo vimewakimbiza.
Ni furaha sana hizi hadithi za alfa ulela kuzisikia ndo maana unatuona kutwa tupo hapa kucheka na kushangaa

Nimependa jina la id yako Arsenal 2004 the last time Arsenal kashinda epl miaka 19 nyuma hata halland, martinelli, saliba , saka walikua hawajuii mpira ni nini ila now halland ana epl still mpo na matumaini ya epl
 
Tupo hapa kuwakumbusha mzee ila tunaumia nyinyi kuwa na matumaini bandia si unajua tena ndugu zetu wa kenya walishajinyonga wengi tu kisa matumaini bandia ya arsenal.
Kuhusu kuumia kisa arsenal huo ni uongo, kukimbia huko ndipo tunapoumia coz mtakuwa hamjapenda kukimbia vichapo ndo vimewakimbiza.
Ni furaha sana hizi hadithi za alfa ulela kuzisikia ndo maana unatuona kutwa tupo hapa kucheka na kushangaa

Nimependa jina la id yako Arsenal 2004 the last time Arsenal kashinda epl miaka 19 nyuma hata halland, martinelli, saliba , saka walikua hawajuii mpira ni nini ila now halland ana epl still mpo na matumaini ya epl
Mwaka jana ndo tulikuwa tumeonekana walau tume challenge...miaka mingine yte usingeweza kukaa na kusema arsenal anagombania ubingwa...it was all about top 4...Sasa kama mwaka jana tuli slip up mwishoni na kipindi hiki tumesajili watu ambao tunaona wanaweza kutu push zaidi kuna Ubaya kusema tunagombani ubingwa tena na kuamini tunaweza kushinda....Liverpool amen challenge City miaka ya hivi karibuni kaishia kupata kombe mara moja tu...City kabeba mara tatu mfululizo...Sasa na sisi kuona namna mwenendo unavyoenda na watu tulonao tunaona kabisa uwezekano upo...hvyo hzo prediction za sijui September mara January mtabaki nazo sana msimu huu....tukikaa pale juu safari hii msahau ndugu zetu
 
Unatuchanya mkuu, mara unasema haifikii September tunapoteana, mara tena October.Hatukuelewi mkuu unachokiongea.

Haya tuachane na hayo, hebu chagua moja kati ya hizi chini

a. Partey+Rice+Odegard
b. Partey+Havertz+Odegard
c. Partey+Jorginho+Odegard+Havertz

Partey +Rice+ Odegard .

Partey last season game 10 za mwisho ali flop kachoka akawa uncle tom game ya westham alifanya blunder naona mpaka arteta akaanza kumla benchi. Now mpo uefa hamna tena timu kama zurich kuna giants tu na misako kama yote.

Odergard moyo wa timu yenu huyu, ushawahi kujiuliza odergard akipata majeraha nan atacheza namba yake? Au ndo yatakuwa yale yale ya saliba. Unaweza kusema yupo ESR au haivetz je wanaweza ku offer anacho offer ode?

Rice tunawaponda lakini ukweli the guy is sold pale kati ni zaidi ya xhaka hana ile kupoteza mipira ovyo na ametulia kweli hana papara zozote, kuna muda xhaka anaonekanaga ana mguu mzito pia Rice sidhani ni mguu wa glass hana majeruhi ya ovyo.

Arsenal kukaa bila injuries hilo huwa haliwezekani tena now mpo kote subiri uone.

Odergard akiumia just imagine arsenal itakuwa wapi ? In terms of playing
 
Partey +Rice+ Odegard .

Partey last season game 10 za mwisho ali flop kachoka akawa uncle tom game ya westham alifanya blunder naona mpaka arteta akaanza kumla benchi. Now mpo uefa hamna tena timu kama zurich kuna giants tu na misako kama yote.

Odergard moyo wa timu yenu huyu, ushawahi kujiuliza odergard akipata majeraha nan atacheza namba yake? Au ndo yatakuwa yale yale ya saliba. Unaweza kusema yupo ESR au haivetz je wanaweza ku offer anacho offer ode?

Rice tunawaponda lakini ukweli the guy is sold pale kati ni zaidi ya xhaka hana ile kupoteza mipira ovyo na ametulia kweli hana papara zozote, kuna muda xhaka anaonekanaga ana mguu mzito pia Rice sidhani ni mguu wa glass hana majeruhi ya ovyo.

Arsenal kukaa bila injuries hilo huwa haliwezekani tena now mpo kote subiri uone.

Odergard akiumia just imagine arsenal itakuwa wapi ? In terms of playing
Wewe ni mshika bunduki mwezetuu!!!!!!

Ila umeamua kujiweka tayari kisaokolojia, in case shit goes rogue!!!!

Nakuelewa brooooo!!!!!!!

Once A Gunner, Always A Gunner
 
Back
Top Bottom