Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta kuhusu Rice -

"Ninamuona kama taa, kwamba yuko tayari kuweka mwanga kwa wengine na kuboresha wengine na kuifanya timu kuwa bora ,"

"Kwangu mimi, kuwa kiungo lazima uwe hivo na anavyo kwa asilimia 100.

Jinsi anavyozungumza na kujionyesha, nia aliyonayo na shauku kuelekea mchezo. Hiyo ndiyo hasa tuliyohitaji.

"uongozi wake, aura yake, uzoefu ambao tayari anao katika ligi atakuja kuleta katika timu "
IMG_20230717_143434_932.jpg
 
Arteta kuhusu Rice -

"Ninamuona kama taa, kwamba yuko tayari kuweka mwanga kwa wengine na kuboresha wengine na kuifanya timu kuwa bora ,"

"Kwangu mimi, kuwa kiungo lazima uwe hivo na anavyo kwa asilimia 100.

Jinsi anavyozungumza na kujionyesha, nia aliyonayo na shauku kuelekea mchezo. Hiyo ndiyo hasa tuliyohitaji.

"uongozi wake, aura yake, uzoefu ambao tayari anao katika ligi atakuja kuleta katika timu "
View attachment 2691256
Huyo Rice jinsi anavyopambwa na mashabiki wa Arsenyau utafikiri hapo kwenye squad yao hakuna mchezaji bora kuliko yeye.
Tunasubiri aje kuwasuprise ligi ikianza.
1689612421713.jpg
 
nyie hata siwawazi kabisa ,timu yenu bado janja janja Sana
Subirini 10hag awatandike nje ndani halafu mtupigie kelele humu kua Man Utd anabebwa.
Hii Arsenyo ya msimu huu sidhani kama itazifunga zile big 6 hata moja.
Tunasubiri ligi ianze kelele zipungue humu.
 
Kuwa na adabu Basi unamfananisha Rice na utopolo kweli?

Why mlikuwa mnataka kutoa ofa ya £40m+ mctominay+Maguire ?


Soma hapa

Declan Rice was ranked so highly on so many different aspects of Arsenal’s recruitment grading system that Mikel Arteta almost had a book full of reports on him. It’s why he was so passionate about this signing & that came across to Rice when he was explaining what his #6 role would entail. [@TheAthleticFC] #afc
Stormzy rapper maarufu na shabiki wa united anampigia simu Rice kumuomba asije Arsenal.

Rice anajibu "Am a Gunner now"
 
Subirini 10hag awatandike nje ndani halafu mtupigie kelele humu kua Man Utd anebebwa.
Hii Arsenyo ya msimu huu sidhani kama itazifunga zile big 6 hata moja.
Tunasubiri ligi ianze kelele zipungue humu.
7+3hag nasubiri msimu huu Kama atani surprise,ila mm bado namuona kocha wa kawaida kwa mpira mnaocheza ,sajili za ajabu anazofanya

Kuna mechi sichini ya 7-9 mlikuwa mfe kabisa ila harakati za Degea ziliwaweka mjini

Kwa msako ule tunaowapigiaga mwaka huu Kuna 4+

Tarehe 23 wiki ijayo pale USA tutawatest nadhani baada ya hiyo mechi mtaingia sokon kwa pupa
 
Subirini 10hag awatandike nje ndani halafu mtupigie kelele humu kua Man Utd anebebwa.
Hii Arsenyo ya msimu huu sidhani kama itazifunga zile big 6 hata moja.
Tunasubiri ligi ianze kelele zipungue humu.
Kama mnadhani tumemaliza usajili ,ndio tunaanza ,nasema hivi Flano na Genge lako ,Safari hii tutaoneshana makali

TRANSFER NEWS: Arsenal are not yet finished in the Transfer Window.
#AFC still targeting a Right sided forward (Winger/Striker) to add more competition.

Midfielder still on the agenda.


20230717_191209.jpg
 
SIKU MOJA NITALETA MAKALA KWANINI

Arteta anamkubali Sana Ødegaard kuliko mchezaji mwingine Arsenal

Kwanini alimchagulia jezi namba 8 ambayo yeye Arteta aliivaa akiwa Arsenal

Kwanini kwenye mazoezi ya Arsenal anakuwa nae karibu Sana na mazoezi ya wachezaji kwa wachezaji ,Arteta hufanya na Ødegaard



20230717_204324.jpg
20230717_204321.jpg
 
SIKU MOJA NITALETA MAKALA KWANINI

Arteta anamkubali Sana Ødegaard kuliko mchezaji mwingine Arsenal

Kwanini alimchagulia jezi namba 8 ambayo yeye Arteta aliivaa akiwa Arsenal

Kwanini kwenye mazoezi ya Arsenal anakuwa nae karibu Sana na mazoezi ya wachezaji kwa wachezaji ,Arteta hufanya na Ødegaard



View attachment 2691300View attachment 2691301
Nasubiri.

Ila mimi naona huyu jamaa kila anachokiwaza arteta kichwani yeye anakifanya kwa vitendo, anabadilisha maneno ya arteta kuwa vitendo kikamilifu.
 
Tunakumbushana Flano na Genge lako ,maana dharau zilizidi

Most valuable squads in the world

󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Arsenal - €1.21BN
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man City - €1.19BN
PSG - €1.03BN
Real Madrid - €991M
Bayern Munich - €895M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Chelsea - €867M
Barcelona- €865M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Liverpool - €847M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man United - €834M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Tottenham - £773M

(via @TMuk_news)
20230717_185814.jpg
 
Tunakumbushana Flano na Genge lako ,maana dharau zilizidi

Most valuable squads in the world

󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Arsenal - €1.21BN
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man City - €1.19BN
PSG - €1.03BN
Real Madrid - €991M
Bayern Munich - €895M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Chelsea - €867M
Barcelona- €865M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Liverpool - €847M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Man United - €834M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Tottenham - £773M

(via @TMuk_news)View attachment 2691379
Hivi mtu anaweza akamnunua Zinchenko akamwacha ChilWell? Au akamnunua Saka akamwacha Rashford? au akamnunua Zinchenko akamwacha Luke Shaw?
 
Tomiyasu and Zinchenko unlikely to be fit for MLS all star match.

Trossard and Odegaard fine

(@kayakaynak97 )
 
Back
Top Bottom