hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,279
- 26,655
Arteta kuhusu Rice -
"Ninamuona kama taa, kwamba yuko tayari kuweka mwanga kwa wengine na kuboresha wengine na kuifanya timu kuwa bora ,"
"Kwangu mimi, kuwa kiungo lazima uwe hivo na anavyo kwa asilimia 100.
Jinsi anavyozungumza na kujionyesha, nia aliyonayo na shauku kuelekea mchezo. Hiyo ndiyo hasa tuliyohitaji.
"uongozi wake, aura yake, uzoefu ambao tayari anao katika ligi atakuja kuleta katika timu "
"Ninamuona kama taa, kwamba yuko tayari kuweka mwanga kwa wengine na kuboresha wengine na kuifanya timu kuwa bora ,"
"Kwangu mimi, kuwa kiungo lazima uwe hivo na anavyo kwa asilimia 100.
Jinsi anavyozungumza na kujionyesha, nia aliyonayo na shauku kuelekea mchezo. Hiyo ndiyo hasa tuliyohitaji.
"uongozi wake, aura yake, uzoefu ambao tayari anao katika ligi atakuja kuleta katika timu "


Declan Rice was ranked so highly on so many different aspects of Arsenal’s recruitment grading system that Mikel Arteta almost had a book full of reports on him. It’s why he was so passionate about this signing & that came across to Rice when he was explaining what his #6 role would entail. [@TheAthleticFC] #afc

Most valuable squads in the world 
Arsenal - €1.21BN
PSG - €1.03BN
Real Madrid - €991M
Bayern Munich - €895M