Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Reiss Nelson stays in the UK to build up fitness or recover from injury.


Reports, @kayakaynak97.
 
Unapomtaja Vieira kwakweli yule bwana t-bag ajipange ama sivyo atatolewa kwa mkopo maana yupo kimayai mayai sana hata Nwaneri anamzidi physicality
 
Isipokua kupunguza mabeki na vision ya pasi ila Balogun anapanda, anashuka anakua involved kwenye game vizuri kuliko Nketiah.

Yaani ST hafungi ila wote mnaridhika akicheza
Yes, balogun na nketiah.. mie naenda na balogun.
 
Patey atabaki kuwa partey, tungemtumiq walau msimu huu kwa mara ya mwisho.
 
Hleb alikua mkarateka so alikua mwembamba ila yuko fit 🤣

Kuna interview moja akasema haelewi ilikuaje akaenda Barcelona, anaamini kwenda Barcelona ndiyo kulimaliza career yake
Katika wachezaji wamepita arsenal na nikamkubali mnoo basi hleb, arshavin na mtakatifu cazorla, hawa viumbe.. waachwe kama walivyo.
 
Katika wachezaji wamepita arsenal na nikamkubali mnoo basi hleb, arshavin na mtakatifu cazorla, hawa viumbe.. waachwe kama walivyo.
Mie sio mshabiki wa arsenal ila katika list yako umemsahau the little mozart,sema majeruhi yalimkatili sana yule mwamba.
 
Hleb alikua mkarateka so alikua mwembamba ila yuko fit


Kuna interview moja akasema haelewi ilikuaje akaenda Barcelona, anaamini kwenda Barcelona ndiyo kulimaliza career yake
Binafsi vieira namuona msimu huu na ujao nae ataanza kuclic ikumbukwe wareno huwa ni washindani na wanavipaji mimi simkatii tamaa wala simdiss mwili wake jamaa ni gifted ila bado maturity yake naona ndo ttz kuna wachezaji vijana huchukua misimu miwil au zaid kuwa bora.

Ikumbukwe kipaji hiki kilisumbua san kwenye michuano y vijan pia kabl ya kuja arsenal sema tu demand yetu ipo juu,yaan uhitaji juu ya uhitaji hivo inamlazimu mwalimu kupanga strong squad kila mechi sabb europa tulitolewa na sporting kizembe san huenda tungechukua ile ndoo sabb tulikuwa bora kuliko timu nyingi za Europa.
Bado nasimama na VIEIRA ,ESR ningependa balogun nae tuwe nae unawez uza dhahabu ukajuta
 
Yaani unafananisha impact ya Grealish na Pepe hebu kuwa serious Hamis77 you are better than this😮

Grealish: EPL (2), FA cup, Champions League kombe,. Trebble 2023. Amekuwa mchezaji muhimu msimu wa 22/23 panga pangua Grealish kamiiiki namba winga ya kulia kampokonya Foden.

Pepe: 🅾️

Nani Flop unaanzaje kujaribu kumfananisha Grealish na Pepe
 
Mafanikio ya timu ndio unayazungumzia wewe ,hapo nazungumzia individually

Takwimu za Grealish bado haziridhishi ,huo ndio ukweli

Kumbuka Foden muda mwingi amekuwa injury ,

Mafanikio ya jumla kwa timu ndio yamefanya wengi muone Jack kaperfom Sana ,ila ukweli kwa Bei aliyonunuliwa bado Sana ,

Sikuwahi kuamini Ferran Torres ni Bora Sana ,niliamini Barca wametapeliwa ila sababu ya mafanikio ya city alionekana bonge la mchezaji
 
Amario, anayetajwa Kama mrithi Saka, atakuwa chini ya uangalizi wa karibu na Arteta na wakufunzi wake.

Ndiye mchezaji pekee wa academy aliyesafiri na timu kwenda pre season USA

Wakufunzi wa Akademi na Mertesacker wanaamini kabisa kwamba Arsenal haihitaji kununua winga asilia wa kulia dirisha hili la usajili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…