Kwa kiwango chake ni sawa anavyogoma kutoka tena kwa mkopo. Shida ni kwamba huwezi muweka benchi Jesus constant ili Balogun acheze.Balogun anaenda ku fanya vizuri Sana halafu inter watamuuza kwa €100m , balogun nimemuangalia Tena mech ya juzi movement zake za haraka kusaka goli , ni vile mashabiki tunaangalia end product Sana
Ila ukimchunguza vzr kwa Seria A anaenda kupiga goli nyingi tu
Kinachomuondoa Arsenal ameshindwa kuhakikishiwa namba moja kwa moja na Sasa anahitaji acheze kila wiki
Huyu long shot merchant tumuache kwanzaInter matapeli wale , ngoja watoe £40-45m uone msimu ujao watamuuza Bei gani,
Onana walimchukua bure ,Sasa hivi yanataka €60m hayamsikilizi mtu
Balogun angekuwa yupo hiv kipind kile tunajenga timu msimu wakwanza wa Arteta angepata nafas kila wiki , tatizo Sasa hivi Arsenal ina demand kubwa sio kuingia top 4 ,ni kupambania mataji ,
Ndio Maana mchezaji Kama Tielemans tulimuona wa maana mwaka Jana ,msimu huu hata mashabiki hawakumuwaza
Anaangalia future yake zaidi,, ndio maana kaenda USA kawa starter na kaanza kufungaKwa kiwango chake ni sawa anavyogoma kutoka tena kwa mkopo. Shida ni kwamba huwezi muweka benchi Jesus constant ili Balogun acheze.
Mi namuombea ashine zaidi
Lukaku kawasaliti kamalizana na Juve, Juve wanamuuza Dusan Psg , Kane Bayern , lukaku Juve , osmhen anabaki Napoli ,Huyu long shot merchant tumuache kwanza
Wameuza 100M lukaku. Leo wanataka kuwagea wenzao 30M
Juve wanamtaka Lukakua eti wamesusa kwanini Lukaku aongee na Juve
Siku hizi kutajiwa mchezaji 100 imekua kawaida mno. Liva walijichanganya kwa Nunez, Nyumbu kwa Anthony, chelsea kwa Mudryk na Lukaku.Anaangalia future yake zaidi,, ndio maana kaenda USA kawa starter na kaanza kufunga
Akienda hizi Ligi SERIA A ,Laliga ,Ligue 1, atawaka zaidi , EPL Sina uhakika Sana
Ila Inter wameona mbali nasikia yupo kwenye list yao juu kabisa ,wanajua ma CF duniani adimu ,akipiga goli 15 tu hawakosi €100m
Kuna CF wa Atalanta Hojlund kafunga goli 9 mech 32 , manjesta wanamtaka wanaambiwa €100m , Goncalo Ramos nae €100m
Hadi lukaku anagombewa ,hii inaonesha Kuna shida ya CF duniani ,na itazidi kuwa kubwa Sana ,nawaelewa Sana inter wanajua haitapita misimu miwili watapiga hela ndefu
Huu ndio usajili sasa baada ya Declan Rice. Ni ngumu lakini ikitokea itakuwa fresh mno. Caicedo Lcm, Rice #6, havertz ST. we're unstoppable.Arsenal are still in the race to sign Moises Caicedo from Brighton but face big competition with Chelsea for his signature.
[@MailSport]
Balogun 45Huu ndio usajili sasa baada ya Declan Rice. Ni ngumu lakini ikitokea itakuwa fresh mno. Caicedo Lcm, Rice #6, havertz ST. we're unstoppable.
uhakika uhakika.Balogun 45
Partey 45
KT 30
Holding 8
Figure in €
Total around €100m+. Plus remaining budget inatosha kabisa kuleta Top Midfielder na RW
Naona Chelsea kakaza hataki kutoa £100m kwa caicedo , tajirri miluzi last season kachezea Sana za uso
Inatosha kabisa kuleta kiungo
arteta hajielewi kwa hili naomba nitofautiane naye aisee ni kocha wetu lakini akumbuke bado ni mchanga kwenye career ya ukocha kuna wachezaji sio wa kuwapoteza kirahisiZa ndani kabisa, Arsenal wakimuuza Partey kwa £45-50m , wanahamia kwa Caicedo
Brighton amekaa pembeni hana papara anasubiri wakujiunga kwenye biding war
Arsenal na caicedo walishamalizana personal term
Arsenal na Lavia walishamalizana personal term
Sidhan Kama anataka kumpoteza Partey ,ila mchezaji anaangalia pesa za waarabu ,ndio maana Arsenal Kuna kiwango Cha pesa wameweka ili kikifikiwa Basi watamuachiaarteta hajielewi kwa hili naomba nitofautiane naye aisee ni kocha wetu lakini akumbuke bado ni mchanga kwenye career ya ukocha kuna wachezaji sio wa kuwapoteza kirahisi
Last season tumewin match nyingi sana kwa uwepo wa partey kwenye mido, he was our backbone kwenye mido plus xhaka, aya xhaka ameondoka na partey anaondoka eti kisa tuna rice na joginho plus huyo lavia/caicedo kama atakuja like serious the guy alituoffer vitu vingi sana plus experince atakayekuwa amesahau akaangalie game yetu na city ya 2021/2022( home) ataelewa kwa nn nalia na TP
next season michuano inaongezeka halafu sisi tunakazana kuvuruga eneo letu la kiungo, experience ya TP tunahitaji UEFA na this season ni kama wachezaji wetu wanaenda kumalizia kile walichoashindwa kumalizia next season
Utaondoaje stater wako wawili kwenye mido??? Are u serious Arteta??
kufanya partenship ya wachezaji sio kitu kirahisi na cha harakaharaka, Asijione Pep kwa kufanya maamuzi magumu
Amini nawaambieni akiondoka TP, tunapoteana mchana kweupee....
TP hana nia ya kuondoka arsenal hata kidogoSidhan Kama anataka kumpoteza Partey ,ila mchezaji anaangalia pesa za waarabu ,ndio maana Arsenal Kuna kiwango Cha pesa wameweka ili kikifikiwa Basi watamuachia
Kumbuka waarabu Sasa hivi wanaweka mishahara mikubwa Sana
Mchezaji Kama Ruben Neves ,Savic , n.k wamefata pesa huko
Usimlaumu Arteta ,angalia na upande wa wachezaji ,Partey analipwa £200k ,Waarabu nasikia wamemuwekea £400k per week
Ngoja tuone huenda ni media tu ,mbona jamaa yupo Na timu na ana furaha tuTP hana nia ya kuondoka arsenal hata kidogo
this season
Arteta siwezi kumsamehe kwa hili
Hata mimi naungana nawewe, asajili huyo Lavia aje pale amnyang'anye Partey namba, siyo yeye tu ajiamulie..., kuna nafasi siyo za kubadilisha mchezaji kirahisi namna hiyo.TP hana nia ya kuondoka arsenal hata kidogo
this season
Arteta siwezi kumsamehe kwa hili
Na iwe hivyo kaka maana sio poaNgoja tuone huenda ni media tu ,mbona jamaa yupo Na timu na ana furaha tu
Ninachojua Arsenal hawawez muuza kiboya hivo, unakumbuka tetes za Xhaka kuondoka , mwaka Jana kwenda Roma ,mwisho alibaki
Pep alikuwa na Rodri na FernadinhoHata mimi naungana nawewe, asajili huyo Lavia aje pale amnyang'anye Partey namba, siyo yeye tu ajiamulie..., kuna nafasi siyo za kubadilisha mchezaji kirahisi namna hiyo.
Sent from my CPH2357 using JamiiForums mobile app