Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Thaman ya kikosi Cha Arsenal Sasa Ni £1B+ ,

Arsenal wakimtamgaza Rice na Timber Basi ndio kitakuwa kikosi chenye Thaman kubwa duniani

Manchester City built a squad worth £1.19billion using £1billion.

Meanwhile, Mikel Arteta built a squad worth £1.05billion using £600M.

Manager
IMG_20230708_142059.jpg
 
Bora tukuite MBWA kuliko mwajuma Kama ulivyokua unataka
Sijui anapata wapi nguvu zakubwata humu

Anajua kabisa ana Sterling na mudrky wanahitaji nafasi 10 wafunge Goli 1, Wana defense Dhaifu ikiongozwa na kepa ,

Cha ajabu anakuja kusumbua humu
 
Ushabiki unawatia upofu. Arsenal hii kwa Chelsea tu haifui dafu wakati wanaendelea kuwaita wenzao plastic fans wenzao wanafukuzia record za Liver na Utd
Ndio mana nikasea kuwa shabiki w Ars88 ni zaid y uzwazwa.
Na msimu ujao watatoka patupu, then watarudi hapa kujipa moyo na usajili, na misimu inayokuja na inayokuja tena hivyo hivyo,yaan km watoto. Wakati wenzie wanendelea kuandika historia.

Hata watoto kuna mahali wanafika wanagoma, wanakwambia baba we kila siku unasema utaninunulia ndege mbona hununui, ila hawa kondoo hawashtuki.
 
Sijui anapata wapi nguvu zakubwata humu

Anajua kabisa ana Sterling na mudrky wanahitaji nafasi 10 wafunge Goli 1, Wana defense Dhaifu ikiongozwa na kepa ,

Cha ajabu anakuja kusumbua humu
Nafasi 10 aje kushinda 1
 
Bora tukuite MBWA kuliko mwajuma Kama ulivyokua unataka
Hamuwez mana uwezo wa kumaliza top 4 hamna, upepo hauji mara mbili mliuchezea upepo wenu msimu uliopita dio basii. Wenzenu Leceister upepo walipita nao, ikaja liva wakapita nao. Nyie sasa timu iliyolaaniwa mkaacha upepo upite, mnafikiri utakuja tena.
 
Nafasi 10 aje kushinda 1
Yule Sterling huwa anahitaj nafasi 10 , Sasa ndio tegemez hao na mudrky , pamoja na mabeki wao tegemez Fofana ,James na chillwell hawa wote hakuna anayeweza kucheza mechi 5 mfululizo asiende mwaisela kwa manesi

Timu Kama hii unakuta shabaki wake anapiga kelele humu
 
Yule Sterling huwa anahitaj nafasi 10 , Sasa ndio tegemez hao na mudrky , pamoja na mabeki wao tegemez Fofana ,James na chillwell hawa wote hakuna anayeweza kucheza mechi 5 mfululizo asiende mwaisela kwa manesi

Timu Kama hii unakuta shabaki wake anapiga kelele humu
1. Arsenal
2. City
3. Newcastle
4.
5
6
7
8.
Spurs, Villa, Liverpool, Brighton, nyumbu,

Watajipanga watakavyojua wao

9.
10.
Crystal palace, Fulham,

11. Kenge chelshit Fc
12
.
.
.
Msimamo naona utaenda hivi, wapi unaona nimekosea?
 
1. Arsenal
2. City
3. Newcastle
4.
5
6
7
8.
Spurs, Villa, Liverpool, Brighton, nyumbu,

Watajipanga watakavyojua wao

9.
10.
Crystal palace, Fulham,

11. Kenge chelshit Fc
12
.
.
.
Msimamo naona utaenda hivi, wapi unaona nimekosea?
Hapo kwenye hao wajalaana hawawez kushika hiyo nafasii, niitwe mbwa nimekaa palee
 
Ni vzr kusema kile Ambacho ww kinakufanya ufurahi.

Kwhy mm nakuelewa unatak kujifuraisha na siwez kipangana na ilo ww endelea kuamin kile kinachofany ww upunguze machungu ya kua shabik wa Arsenal.

Arsenal hata Mungu akikupa Golden chance uishi hata miaka 200 sidhan kama kuna siku utaiona inabeba UCL.

Kwhy najua machungu yenu yanatokea wap na ninakuelewa mkuu.
Halafu wanasema wana Loyal Fans kuliko Manchester city.
IMG_20230708_233723.jpeg
IMG_20230708_233726.jpeg
 
The reason we now have one of the most valuable squads in World Football is due to developing young players to the next level (Ramsdale, Saliba, Gabriel, White, Ø, Martinelli, Saka, ESR etc). Their value has sky-rocketed.

We didn’t buy our way to a £1bn valuation. Nice try.
IMG_20230708_142059.jpg
 
Back
Top Bottom