Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa hiyo hichi ndio kikosi cha ubingwa au cha top foo?
Mkimaliza hata nafas y tano niitwe kibwengo, nimekaa paleee
Cheltako mnashuka daraja msimu huu Kama mwaka Jana mlinusurika Safari hii championship inawaita
 
Hiki kikosi ata mimi kinanitisha, tutaenda kuvunjiana heshima na watu mtaani

Namuona nyumbu akifa nje ndani 6+ goals

Kenge chelshit huyu ndio tutambaka kabisa

Liverpunda anaenda kunipa 6 points

City azuie sare, tofauti na hapo tunabeba 6 points

hawataleta timu uwanjani
Hiki kikos kinaanza kutoa vipigo tarehe 23 mwez huu kwa manjesta na Barcelona kule marekan
 
HATUJAMALIZAAA


Arsenal’s business is not complete. They would like to bring Roméo Lavia in from Southampton to add youth, depth and drive to the reconfigured engine room but a £50m asking price looks rich. Even though Reiss Nelson has signed a new deal, quality cover for Saka remains a live issue. Up front, at least one of Folarin Balogun and Eddie Nketiah is likely to depart.

(@NickAmes82 )

theguardian.com/football/2023/…
 
Sisi kazi yetu ni kuhifadhi comment kama izi ili inapofika April mwakani tuanze kuzichomoa wakati watu wanalia na kusaga meno.
Kwanini msifukue wakat ligi inaanza hamkutuweka hata top 6 ,baadae tumeshika no.2 mnaona tumefeli


Mimi narudia tena Safari hii patachimbika
 
HATUJAMALIZAAA


Arsenal’s business is not complete. They would like to bring Roméo Lavia in from Southampton to add youth, depth and drive to the reconfigured engine room but a £50m asking price looks rich. Even though Reiss Nelson has signed a new deal, quality cover for Saka remains a live issue. Up front, at least one of Folarin Balogun and Eddie Nketiah is likely to depart.

(@NickAmes82 )

theguardian.com/football/2023/…
Hamis mtonye Arteta kuwa Sancho yupo hewani
20230709_115122.jpg
 
The most valuable goalkeepers in the world according to CIES Football Arsenal
IMG-20230709-WA0003.jpg
 
Arteta spent approx £650m to have a £1bn valued squad…

Let’s break that down..

Saka - Free 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
Value - £162M

Martinelli - £6M
Value - £132M

Ødegaard - £30M
Value - £76M

Jesus - £45M
Value - £71M

Ramsdale - £24M 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
Value - £68M

Saliba - £27M
Value - £61M

Gabriel Magelhaes - £27M
Value - £60M

Value according to CIES obervatory
IMG_20230704_174556.jpg
 
| Mpaka sasa wachezaji sita tayari wameshasaini mikataba mipya, huku Nahodha Martin Ødegaard pamoja Ben White nao wakiwa karibu kusaini mikataba yao mipya ndani ya Arsenal.

Gabriel Jesus
Bukayo Saka 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
Gabriel Martinelli
Aaron Ramsdale 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
Reiss Nelson 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
William Saliba
Martin Ødegaard
Ben White 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

Mbali na kuwaongezea mikataba mipya wachezaji wao..

The Gunners tunaendelea kwenye soko la usajili barani Ulaya kwani mpaka sasa tumeshasajili wachezaji wapya watatu ambao ni:

Kai Havertz
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Declan Rice (bado kutambulishwa tu)
Jurrien Timber (bado kutambulishwa tu)

NB:

Declan Rice na Jurrien Timber watatambulishwa rasmi siku yoyote kuanzia sasa (wiki hii haitaisha).

FB_IMG_16888978446673266.jpg
 
| ARTETA KUMRUDISHA CARZOLA ARSENAL..?

Kocha msaidizi wa Arsenal, Steve Round aliondoka klabuni hapo jana kwa makubaliano ya pande zote mbili.

Steve Round amekuwa kwenye timu ya makocha ya Mikel Arteta tangu Mhispania huyo alipoteuliwa kuwa meneja mnamo 2019.

Lakini ni nani atakayechukua nafasi yake?

Mikel Arteta anataka kumuongeza Gunner wa zamani, Santi Cazorla kwenye benchi lake la ufundi kabla ya msimu ujao, lakini inategemea kama mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 38 yuko tayari kutundika daruga zake.

Kwani kulingana na ripoti, Cazorla anataka kucheza mwaka mmoja zaidi wa soka huku akitafuta klabu mpya baada ya kuondoka Qatar mwishoni mwa msimu uliopita.

Hakuna shaka kwamba Mikel Arteta atajaribu kumshawishi Santi Cazorla ajiunge naye Arsenal na fundi huyo wa soka amezungumza siku za nyuma ni kiasi gani anataka kurejea Arsenal siku moja.

FB_IMG_16888984599553906.jpg
 
Kubishana na plastic fan ni matumizi mabaya ya energy
Siwezi bishana na timu ambayo Haina CL mzee Bado inajiita kubwa wtf , hii timu Haina tofauti na spurs , Burnley...hata Nottingham forest na Aston villa Wana historia nzuri barani ulaya kuzidi huu utopolo so keep quit wanaume tunapoongea ...
 
Back
Top Bottom