Chatta g
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 612
- 985
ligi kwanza ina anza lini?Hatari tupuView attachment 2682434
ligi kwanza ina anza lini?Hatari tupuView attachment 2682434
Hiki kikosi ata mimi kinanitisha, tutaenda kuvunjiana heshima na watu mtaaniHatari tupuView attachment 2682434
Cheltako mnashuka daraja msimu huu Kama mwaka Jana mlinusurika Safari hii championship inawaitaKwa hiyo hichi ndio kikosi cha ubingwa au cha top foo?
Mkimaliza hata nafas y tano niitwe kibwengo, nimekaa paleee
Hiki kikos kinaanza kutoa vipigo tarehe 23 mwez huu kwa manjesta na Barcelona kule marekanHiki kikosi ata mimi kinanitisha, tutaenda kuvunjiana heshima na watu mtaani
Namuona nyumbu akifa nje ndani 6+ goals
Kenge chelshit huyu ndio tutambaka kabisa
Liverpunda anaenda kunipa 6 points
City azuie sare, tofauti na hapo tunabeba 6 points
hawataleta timu uwanjani
Sisi kazi yetu ni kuhifadhi comment kama izi ili inapofika April mwakani tuanze kuzichomoa wakati watu wanalia na kusaga meno.Maji mtaita mma View attachment 2682342
Kwanini msifukue wakat ligi inaanza hamkutuweka hata top 6 ,baadae tumeshika no.2 mnaona tumefeliSisi kazi yetu ni kuhifadhi comment kama izi ili inapofika April mwakani tuanze kuzichomoa wakati watu wanalia na kusaga meno.
Hamis mtonye Arteta kuwa Sancho yupo hewaniHATUJAMALIZAAA
Arsenal’s business is not complete. They would like to bring Roméo Lavia in from Southampton to add youth, depth and drive to the reconfigured engine room but a £50m asking price looks rich. Even though Reiss Nelson has signed a new deal, quality cover for Saka remains a live issue. Up front, at least one of Folarin Balogun and Eddie Nketiah is likely to depart.
(@NickAmes82 )
theguardian.com/football/2023/…
Ngoja kwanza zikibaki siku 2 dirisha kufungwa , kwasasa hatuna haraka Tena ya usajili , Main target zote tayariHamis mtonye Arteta kuwa Sancho yupo hewaniView attachment 2682780
Msimu huu ndio itakuwa balaaHii Arsenal haichoshi kuiangalia
![]()



| Mpaka sasa wachezaji sita tayari wameshasaini mikataba mipya, huku Nahodha Martin Ødegaard pamoja Ben White nao wakiwa karibu kusaini mikataba yao mipya ndani ya Arsenal.
Gabriel Jesus 
Bukayo Saka
Gabriel Martinelli 
Aaron Ramsdale
Reiss Nelson
William Saliba 
Martin Ødegaard 
Ben White
Kai Havertz 
Declan Rice
(bado kutambulishwa tu)
Jurrien Timber
(bado kutambulishwa tu)
| ARTETA KUMRUDISHA CARZOLA ARSENAL..?
Kocha msaidizi wa Arsenal, Steve Round aliondoka klabuni hapo jana kwa makubaliano ya pande zote mbili.
Steve Round amekuwa kwenye timu ya makocha ya Mikel Arteta tangu Mhispania huyo alipoteuliwa kuwa meneja mnamo 2019.
Mikel Arteta anataka kumuongeza Gunner wa zamani, Santi Cazorla kwenye benchi lake la ufundi kabla ya msimu ujao, lakini inategemea kama mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 38 yuko tayari kutundika daruga zake.
Kwani kulingana na ripoti, Cazorla anataka kucheza mwaka mmoja zaidi wa soka huku akitafuta klabu mpya baada ya kuondoka Qatar mwishoni mwa msimu uliopita.
Hakuna shaka kwamba Mikel Arteta atajaribu kumshawishi Santi Cazorla ajiunge naye Arsenal na fundi huyo wa soka amezungumza siku za nyuma ni kiasi gani anataka kurejea Arsenal siku moja.Siwezi bishana na timu ambayo Haina CL mzee Bado inajiita kubwa wtfKubishana na plastic fan ni matumizi mabaya ya energy
, hii timu Haina tofauti na spurs , Burnley...hata Nottingham forest na Aston villa Wana historia nzuri barani ulaya kuzidi huu utopolo so keep quit wanaume tunapoongea ...