Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

HATUJAMALIZAAA


Arsenal’s business is not complete. They would like to bring Roméo Lavia in from Southampton to add youth, depth and drive to the reconfigured engine room but a £50m asking price looks rich. Even though Reiss Nelson has signed a new deal, quality cover for Saka remains a live issue. Up front, at least one of Folarin Balogun and Eddie Nketiah is likely to depart.

(@NickAmes82 )

theguardian.com/football/2023/…
Tajiri miluzi tayari kashamtamani Folarin, kama mimi isingekuwa sawa kumuacha.
 
William Saliba on the new season:



“I’m so, so, so hungry because I didn’t play for four months & I didn’t help my team. I hope I won’t have an injury this season, to be here the full season with the team. I can’t wait to be on the pitch.”
IMG_20230708_203331.jpg
 
Hiki kikosi ata mimi kinanitisha, tutaenda kuvunjiana heshima na watu mtaani

Namuona nyumbu akifa nje ndani 6+ goals

Kenge chelshit huyu ndio tutambaka kabisa

Liverpunda anaenda kunipa 6 points

City azuie sare, tofauti na hapo tunabeba 6 points

hawataleta timu uwanjani
 
Yeye na Nketiah mmoja inabidi aondoke

Tatizo anataka nafasi kikos Cha kwanza ,hata Patino pia anataka hivo ,hawataki kuvumilia

Ndio maana yeye na Nketiah inabid mmoja aondoke

CF kuna Jesus , Kai , Nketiah, Trossard
Patino bado sana huyo.
 
NnYeye na Nketiah mmoja inabidi aondoke

Tatizo anataka nafasi kikos Cha kwanza ,hata Patino pia anataka hivo ,hawataki kuvumilia

Ndio maana yeye na Nketiah inabid mmoja aondoke

CF kuna Jesus , Kai , Nketiah, Trossard
After all Patino ni kiungo.
 
Ligi inaanza hata top 6 hamkutuweka

Hamuoni nyie ndio mliaibika

Kama Chelsea waliotumia £600m mwisho wakagombea kushuka daraja
Kwa hio zile Hashtag zenu za

#Asenyo Ndoo
#Haaland Kiatu

Zilikua ni za kuwahadaa tu mashabiki wa Arsenyau?

Ila mzee baba kwa nini baada ya kuanza kupigwa comebacks na kina Westham ulikimbia jukwaa na kwenda kujificha kusikojulikana na kusababisha taharuki kubwa mpaka mashabiki wenzio wakaanza kukutuhumu kua wewe ni mhaini?
 
Kwa hio zile Hashtag zenu za

#Asenyo Ndoo
#Haaland Kiatu

Zilikua ni za kuwahadaa tu mashabiki wa Arsenyau?

Ila mzee baba kwa nini baada ya kuanza kupigwa comebacks na kina Westham ulikimbia jukwaa na kwenda kujificha kusikojulikana na kusababisha taharuki kubwa mpaka mashabiki wenzio wakaanza kukutuhumu kua wewe ni mhaini?
Sidhan Kama unajua ratiba yangu yote , ila nadhan unaulizia kuja kujibishana matusi na nyie wenye hasira maana ligi inaanza manjesta simlikuwa mnasema Ni Title contender

Arsenal tulikuwa kwenye mbio za Ubingwa na msimu huu tunarudi kuanzia tulipoishia

Manjesta kazi mnayo jiandaen kuachia points 6
 
Fabio Vieira hatakwenda kwa mkopo katika msimu wa 2023/24. Mikel Arteta anajilaumu MWENYEWE kwa kukosa kumuendeleza

[@kayakaynak97/@football_ld
 
Mwaka huu tunabeba points 6 kwa manjesta


Mwaka Jana tumewapiga Goli pale kwao yule Refa akalikataa , Partey hakuwepo ,

Safari hii tupo kamili ,Sion sababu yakutochukua points 6 kwa hawa jamaa
 
Declan Rice has known Arteta’s plan for him since the pair met early this year & other suitors were always playing catch-up. Arteta wants Rice to be the linchpin for an evolved version of the 4-3-3 that served Arsenal so well last season.

[@NickAmes82]
IMG_20230704_174556.jpg
IMG_20230630_182038.jpg
 
Arteta believes Rice’s physicality, running & defensive conscience will allow those around him greater freedom of expression but also thinks Rice, playing in a more consistently front-footed side than West Ham, has the capacity to develop his attacking game.

[@NickAmes82] #afc
IMG_20230709_124431.jpg
 
Declan Rice alifahamu mpango wa Mikel Arteta tangu wawili hao walipokutana mapema mwaka huu .

Arteta anataka Rice awe kinara wa toleo jipya la 4-3-3 ndani ya Arsenal.

Anaamini umbile lake Rice , dhamiri ya kukimbia sana na kujilinda itawaruhusu wale walio karibu yake (Odegaard na Kai havertz) uhuru zaidi wa kucheza lakini pia anadhani Rice, anaweza kucheza katika upande wa mbele zaidi kuliko alivyotumika West Ham, ana uwezo wa kujiendeleza kwenye eneo la kushambulia.

[@NickAmes82
IMG_20230704_174556.jpg
 
Declan Rice has known Arteta’s plan for him since the pair met early this year & other suitors were always playing catch-up. Arteta wants Rice to be the linchpin for an evolved version of the 4-3-3 that served Arsenal so well last season.

[@NickAmes82]View attachment 2683005View attachment 2683007
Kama Xhaka ameuzwa Partey abaki....wasivuruge kiungo chte cha msimu ulopita....Lavia anaweza kuja ku take over kuanzia msimu ujao maana bdo ana miaka 19 tu...na tunahitaji winger mwingine upande wa Saka...Nelson peke yke hatoshi baada ya hapo we are good to go
 
Back
Top Bottom