arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Asilete visingizio vngne tena...kwhyo maana yke hao physicians walokuwepo hapo Unyumbuni ni vilaza wanashindwa ku handle majeruhi vzuri sio....wacha ligi ianze tuone atakuja na malalamiko gani tena 7hagTen Hag
"We have to deal with it well but Arsenal all the time their squad is totally available."
Ndio tayari Baba Ubaya ameshaanza ku deal na tatizo la majeruhi kwenye squad yake kwa kufanya usajili kabambe wa aliekua daktari wa Arsenyo.
Mkuu attention seekers kama Hawa unakaa kimya Haina haja ya kujibishana naye...unampuuza tuHadi kufikia 2015 afrika kulikua hakuna shabiki wa man city. Kutoka vyanzo vya kuaminika
Kikawaida ilikua ngumu kushabikia laliga alafu usiwe na timu epl
Plastic fans Uzi wenu unawachangiaji watatu tu
Mathematical exponentially mmeanza kuishabikia 2019, na sio Kama unavyotaka kudanganya watu hapa
Ni vzr kusema kile Ambacho ww kinakufanya ufurahi.Hadi kufikia 2015 afrika kulikua hakuna shabiki wa man city. Kutoka vyanzo vya kuaminika
Kikawaida ilikua ngumu kushabikia laliga alafu usiwe na timu epl
Plastic fans Uzi wenu unawachangiaji watatu tu
Mathematical exponentially mmeanza kuishabikia 2019, na sio Kama unavyotaka kudanganya watu hapa
Al-Hadidy njoo kuna tuhuma zako. Title contenders zinakupiga Madongo huku eti wanakuita wewe dalali😀Mtaalamu ukijaga huku unabwata kuw kuna matusi, unajifanya kama vile umetoka peponi kwenye jukwaa la Nyumbu kule
Matokeo yake kule saiz ndio kuna matusi kama yote, kuna kajamaa sijui kametokea wapi kutwa kutukana wenzie as if yeye anajua kila kitu
Kajamaa kanatuna balaa Kutwa utaskia mpumbavu, Mjinga,mafalaila kutwa kutangaza kwamba jukwaa la Arsenal ndio kuna matusi
Wakati mna kadalali kenu huko kana kazi mbili tu, kutukana na udalali maana tangu mwezi wa 5 kenyewe ni habari ya kesho team inauzwa, kesho bid mpya, kesho board inakutana, Rio kavujisha kesho hivi, kesho blaaaa blaaaa
😀😎😎🏃🏃🏃🏃Mkuu mbona haya mambo yanaongelekambona hupendi kuona Amani imetawala
Kwanza me sijamtaja mtu Jina, me dalali ninaemjua ni Maulidi kitenge, kwahiyo kama ndo umemuita huyo basi Fresh mbwai mbwai
Kaboom 💥 leo nimekubamba. Hatimaye yule shabiki wa Arsenali mtukanaji nguli kwenye jukwaa la Man U ajulikana ambaye ndio wewe. ID zako zingine fekero ni dadamlamayao @natukundakum nyamanolokwetu @baisesekwetu kengemajikwetuWewe ni msengerema tu. Hili jukwaa umelizoea kupitiliza. Kachat huko Manure huu upumbavu wako. You are a Borer.Nakuchukia kama harufu ya Kinyesi
Mkuu mbona unapiga U turn 🤣🤣🤣🤣Kwanza me sijamtaja mtu Jina, me dalali ninaemjua ni Maulidi kitenge, kwahiyo kama ndo umemuita huyo basi Fresh mbwai mbwai
CF waliofanya vizuri hujawajumuisha wa ligi ya UrenoMashabiki wengi wa Arsenal hawajui timu yao ilikuwa wapi imetoka wapi na inaenda wapi
Mtu had leo anamuwazia pepe ,kT,holding wacheze,mtu anakwambia tunahitaji CF wa maana ,ukimwambia wataje hawajui
CF waliofanya vzr last season na waliopo ulaya Ni
Halland
Kane
Osmhen
Lacazette
Balogun
Hadi hapo unaanza kusaka kwa tochi
Sasa Cha ajabu balogun tumemuweka sokon
Lacazette kwetu alifikia hatua akawekwa bench na Nketiah
Kane ,Arsenal na Spurs hawauzian wachezaji
Victor Ni €140-150m
Lakini mtu anakwambia tusajiri CF
Jesus alifunga Goli 9-10 na alikosa miez 3 nje
Ureno kule Kuna Goncalo RamosCF waliofanya vizuri hujawajumuisha wa ligi ya Ureno
Relax broo usichukulie mambo serious sana utaishia kupata maradhi bure.
Hivi ushafikiria Barcelona ikifa kutakua na raha gani ya kufatilia La Liga bila ya uwepo wa El Clasico?
Maisha siku hizi yamerahisishwa sana yamekua ni very simple, ukiona unakwazika na comments zangu unaingia tu hapo juu kwenye Option halafu una click Ignore unakua umemaliza tatizo lako.
Ila kuna fans wenzio humu wasiponiona siku 2 au tatu lazima wanitafute kwenye majukwaa mengine na kuniomba nije kuwachagamsha humu.
Akijibu najiuaDaaahhh hizi ni kufuru sasa yaani ndani ya miaka 5 iliyopita Chelsea amebeba haya makombe makubwa yote hapo chinihalafu wewe unawaita middle table team?
FIFA Club World Cup 2021-2022.
UEFA Supercup 2021-2022
Champions League 2020-2021
Europa League 2018-2019
FA Cup 2017-2018
Champions League. 2016-2017
Haya tuonyeshe hio Giant team yenu Arsenyeto ina kombe gani kubwa imebeba ndani ya miaka 20 iliyopita.
Za arsenal ngapi?Hata Forest anazo 2
Ajax anazo 5
Hapo vipi
Shabik yoyote ambaye alikuwepo wkt tunawapelekea moto had tunachukua ligi na akazid kuwepo hapa ndo naweza ongea nae tubishane.
Sio nyie oya oya mnaoibuka kipind kuna tetes za usajili na kuja na porojo za vijiweni.